Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Namaanisha mwanafunzi wa kiume mwenye umri wa miaka 14 Ni kidato Cha pili! Mwanafunzi huyu anatuhumiwa kumpa mimba Mwanafunzi wa kike kidato Cha kwanza miaka 13 ya umri Mwelekeo ni kwamba wote...
2 Reactions
28 Replies
1K Views
Kuna jamaa yangu kabisa tunafanya biashara moja kwa hiyo huwa tuna aminiana anaweza kunipa mzigo niende kumuuzia au kumnunulia na pia mimi nampa pia Mwaka jana mwezi wa 5 nikampa mzigo wa kama M6...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Asalam aleykum, nilifukuzwa kazi na utumishi na mamlaka yangu ya nidhamu. TSD kwa sasa TSC. Mimi ni mwalimu, nilikata rufaa Tume ya Utumishi wa Umma. Nao walikataa rufaa yangu. Nikakata rufaa kwa...
1 Reactions
39 Replies
8K Views
Mimi ni fundi ujenzi kuna jamaa namdai yeye ni fundi aliniuzia kazi sasa kwenye kunilipa ndio shida hatujaandikiana ila ushaidi wa kawaida kua namdai upo sasa naomba kujua kama naweza kumshitaki...
1 Reactions
5 Replies
378 Views
Habari Wanasheria mlioko humu, Mimi nilijenga nyumba yangu maeneo yasiyo rasmi ( squatter) tangu mwaka 2014 na kuhamia , kipindi hicho hakuna barabara , umeme Wala maji. Wanacnchi tulijichanga...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Za asubuhi wapendwa, hope nyote mu wazima wa afya, na kwa wale wagonjwa Mwenyenzi Mungu awafanyie wepesi. Hapa mtaani kuna mama amerehemika, huyo mama ameacha mume na watoto 3. Mali zote...
1 Reactions
8 Replies
781 Views
Kawaida, tena on the spot, judgment zinazotolewa na HC and CoA zinawekwa kwenye website ya TANZLII. Such a sensitive judgment one would expect to be posted as soon as possible! Tuwekeeni...
0 Reactions
3 Replies
596 Views
MGAWANYO WA MALI ZA FAMILIA BAADA YA MUME NA MKE KUACHANA. SEHEMU YA 1 Kumekuwa na maswali mengi kuhusu mgawanyo wa mali za familia kwa wanandoa baada ya kuachana. Makala hii inajibu maswali...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
📌 UWT YAJIKITA KATIKA KUTOA MSAADA WA KISHERIA KWA WANAWAKE NCHINI. 📍Dodoma Mwenyekiti wa UWT Ndg Mary Pius Chatanda (MCC) ameielekeza kamati ya Haki na Sheria ya UWT inayoongozwa na Mhe. Zainab...
0 Reactions
0 Replies
306 Views
🔰🔰🔰WAJUMBE WA KAMATI YA UTEKELEZAJI YA BARAZA KUU LA UWT WANOLEWA KUHUSIANA NA SERA YA JINSIA 📍Dodoma Wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza kuu la UWT chini Mwenyekiti Ndg. Mary Pius...
0 Reactions
0 Replies
294 Views
Iko hivi... Mimi ni mmoja wa wanahisa wa kampuni fulani mkoani Arusha.Katika harakati za kutaka kuongeza mtaji,wazo la kwenda taasisi za fedha kukopa likaibuka.Moja ya mahitaji ya hiyo taasisi...
1 Reactions
1 Replies
677 Views
Judiciary and Stakeholders' Role in Strengthening the Integrated Criminal Justice System Introduction For over two decades, the judiciary has marked Law Day with significant implications...
1 Reactions
0 Replies
436 Views
Kwema Wakuu? Nilikua naomba usaidizi wenu wa msaada wa mawazo. Ninamdai mtu kama TZS 18mil hivi na nikamfungulia kesi ya madai kwenye Mahakama moja ya mwanzo hapa Dar es Salaam. Bwana yule...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Boss wangu alinijulisha kwa mdomo kwamba natakiwa kuwa rentrenched kwa hiyo HR watanijulisha Zaidi. Siku mbili baadae, nikapewa Termination Letter ambayo inasema ajira yangu itakoma baada ya siku...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Habari? Kuna changamoto niliipata na kampuni moja ya ukopeshaji mtandaoni.. Nilikopa kwao pesa 21/01- Na makubariano yalikuwa niwalipe siku ya tarehe 27. Ilikuwa siku ya tarehe 27 nikapokea simu...
4 Reactions
14 Replies
712 Views
Wanasheria na wazoefu ambao mmewahi fika mahakamani, nimepigiwa simu na mwanasheria wa Serikali niende nikatoe ushahidi. Kuna tukio lilitokea na mimi ni mmoja kati ya walioshuhudia. Kipi cha...
7 Reactions
68 Replies
4K Views
Mtu akistaafu (on compulsory retirement) , hawajamlipa stahiki zake time limitation ni ipi to claim that in a court of law? Nijuavyo if UNFAIR termination from employment, time limitation to lodge...
2 Reactions
16 Replies
666 Views
Sheria imeweka kinga maalum za msingi ili kuhakikisha mazingira ya kazi yanakuwa ya staha na heshima kwa kukataza ajira ya mtoto, ajira ya shuruti na kupiga marufuku ubaguzi katika ajira. Makatazo...
0 Reactions
3 Replies
778 Views
Mim ni mteja wa crdb bank nna visa card ya bank tajwa hapo juu. Nliibiwa tembo card yangu na mwizi akafanikiwa kuniibia kiasi cha 3.7m kwa mda wa siku tatu. Siku ya kwanza alitoa one M. Siku ya...
2 Reactions
33 Replies
7K Views
Back
Top Bottom