Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
UFAFANUZI KUHUSU MAFAO YA KUJITOA KATIKA MAREKEBISHO YA SHERIA ZA MIFUKO.
Ufuatao ni ufafanuzi mfupi kuhusu marekebisho ya Sheria za Mifuko hasa kuhusu mafao ya kujitoa...
Kwa nia njema tu kabisa nauliza:(na si kwa kubeza au vinginevyo): Kwa nini hukumu nyingi (si zote nisisitize) za Mahakama kuu zikienda Mahakama ya rufaa huwa zinatenguliwa? Nimefanya utafiti usio...
Wanajukwaa
Naomba mwongozo kuhusu kichwa cha habari!
Sheria inasema hizi sticker zibandikwe wapi?
Leo traffic kanikamata, nimebandika kioo cha mlango wa kushoto, akaniambia inatakiwa bandikwa...
Wakuu,nina permanent contract na mwajiri wangu ila kila mwaka huwa ananiongezea mshahara ila kwenye mkataba haijaandika huwa tunakaa nakukubaliana tu afu badae anamodify mkataba na kuongeza...
LAW AND JUSTICE IN TANZANIA:A QUARTER OF CENTURY OF THE COURT OF APPEAL.
(The Book reviewed by Rutashubanyuma Nestory.)
The latest book release by Legal and Human Rights Centre-LHRC is...
Mimi ni mmoja wa wahanga ambao watoto wao walidhalilishwa na kufedheheshwa na Serikali ya John Pombe Magufuli kwa kufukuzwa UDOM; yaani mwanangu ni 'kilaza' kwa mujibu wa Rais JPM.
Kabla ya...
I have entered into a year lease agreement with my landlord named Charles at a monthly rent of 40,000/= and I took possession of the premises with my landlord consent.
But after a lapse of 4...
Habari wadau,
Nimekuwa nikishuhudia watanzania wenzangu wakishangilia na kufurahia swala zima la mahakama ya mafisadi...Na kusema kuwa kiama chao kinakuja...
Binafsi nimekuwa nashindwa...
Nilidhani tu kuwa UNYANYASAJI uko tu nchi za Wenzetu lakini katika hali ya KUSHANGAZA na ya KUSIKITISHA kumbe hata hapa Tanzania kwetu hali ni ile ile na yawezekana ikawa pia imezidi japo...
Kesi mbili zimenivutia na ninawasilisha kuwafanya muwe makini katika uwajibikaji na kufuata sheria za nchi:
1. ilinishangaza sana kusikia maamuzi ya mahakama ya kisutu majuma machache yaliyopita...
Samahan wanajf mm jana wakati nipo safar kuelekea chuon nimeibiwa begi ambalo lilikuwa na vyeti vyote yaan academic certificates form four na form six pamoja na birth certificate HV kuna uwezekano...
Rafiki yangu ni mtumishi wa serikalini. Mwaka 2000 aliajiriwa kama Assistant Medical Officer, na baada ya muda alijiendeleza hadi kupata Degree ya Medicine pale Muhimbili University.
Katika...
Habari zenu wanajukwaa. ..
Kama kichwa hapo juu kilivyo, ningeomba utaalamu wenu katika jambo hili ili nami niweze kuelewa vizuri..
Pindi mtu anapoingia mkataba wa mkopo, akaanza kulipa...
kwa niliyoyaskia ni kwamba mtu sasa uki resign kazi huwez kupewa hela yako mpaka ufikie umri wa kuresign.. je kuna sheria mpya iliotolewa kuongelea hili.. msaada
Habari ya saa hii
Naomba kukumbushwa kwa wajuzi wa sheria
Katika sheria ya ajira na mahusiano kazini mwaka 2004
naomba mnikumbushe ni kipengele kipi kinampa mtumishi wa umma hiyari kuchangia...
Wanasheria mlioko humu naombeni msaada
Nahitaji kumfungulia Makonda mashtaka kwa makosa ya kumtuhumu Wilson Kabwe bila ushahid
Kuwa aliingia mkataba wa kifisaidi ubungo
Na pia kumdharirisha...
Naombeni kama kuna mtu anafanyakazi tigo au anafahamiana na mtu wa tigo,anisaidie jinsi gani naweza kupata evidence ya mawasiliano kuna mtu ameiba bajaji yetu..
Wanajukwaa nakerwa na tabia hii ya uvutaji was sigara hadharani has a kwenye sehemu za burudani kama mikahawa,baa,n.k .Je ni hatua zipi kisheria unaweza kuchukua dhidi ya RAIA kama huyu? Wengi...
Tanzania ni moja kati ya mataifa yaliyo na sheria ya kunyonga hadi kufa. sheria hii haifai na ni kinyume na haki za binadamu na mapenzi ya Mungu. Ktk historia ya nchi yetu marais wamekuwa hawatii...