Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Kama kuna aliye mahakamani atupe maendeleo ya kesi ya LISU
0 Reactions
1 Replies
879 Views
Hivi nyie wataalam wa sheria kuna nchi yoyote inayotumia common law system yenye sheria ya kumshitaki mwanamke aliyebeba mimba yako makusudi bila ridhaa ya mwanamme mwenye mbegu?
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Wakuu natumaini mu wazima wa afya. Ishu iko hivi, kuna rafiki yangu mmoja alifanyiwa vurugu na jamaa mmoja ivi na kupoteza kitambulisho chake cha kazi hivyo aliniomba niende nikamsaidie katika...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
WADAU HABARI ZENU, KUNA HALMASHAURI MOJA KWENYE BAJETI YA 2015/2016 IMEELEZA KUWA IMENUNUA GARI JIPYA KWA THAMANI YA MILIONI TISINI LAKINI CHA KUSHANGAZA GARI HIYO IMEKUJA NA NAMBA ZA USAJILI DFPA...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Naomba mwenye hukumu za Jaji Mutungi aniwekee hapa. Nimegoogle sijapata Thanks you!
0 Reactions
0 Replies
898 Views
Kesi mbili zimenivutia mpaka naziweka jukwaani. 1. kwanza ni kesi iliyokuwa Mahakamani Kisutu ambako kampuni ya simu ya Tigo imeamriwa kuwalipa sh. BIL. 2. wasanii wa bongo fleva AY na MWANA FA...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kuna kesi ya bb na bwana kuhusu nan akae na mtoto wao mwenye miaka 3. Je hii ni aina gana ya kesi? Is it a criminal case or civili case and what effects for a man?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tunawaomba watanzania wenzetu wenye ujuzi wa mambo ya Sheria watufahamishe watanzania wenzao Juu ya Katiba Yetu inasemaje Juu ya Sheria ya Vyama Vingi.Tunaomba ufafanuzi huo kutokana Na tangazo la...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Msaada tofauti kati ya bachelor of law na bachelor in law enforcement na mtu akisoma kazi zao zinakaje
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanasheria naomba kujua muathirika wa serikali kukataa kutekeleza amri ya mahakama ambapo serikali imeshindwa kesi anaweza kuchukua hatua gani kupata haki yake? Mfano labda inapashwa kukulipa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Mimi ni mwajiriwa na nina mkataba wa miaka miwili ambao unaisha tarehe 01/10/2016. Hivyo, naomba kufahamishwa haki zangu au malipo yoyote baada ya kumaliza mkataba huu wa kazi...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
habar wadau, naomba kufahamishwa kuhusu sheria ya ujenz wa mabarabara na kuelekeza maji yake kwenye makaz ya watu.maana huku kwetu kuna barabara imejengwa na maji yake yameelekezwa kwenye mij yetu...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wasaalam.. Habari ya wakati huu wan JF.. Naomba kupata msaada.. 1. Ikiwa Hakimu amekataa kusaini hati ya hukumu ni nini naweza kufanya kisheria 2. Mda wa rufaa wanaanza kuhesabu toka siku ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1. Ardhi katika nchi hii inamilikiwa na dola ao mwananchi? 2. Ardhi kuwa shamba, kiwanja cha makazi /biashara n.k hurasimishwa na mamlaka husika, je sisi tuliojenga,kuendesha kilimo n.k huku...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
What does the International Criminal Court do? - What does the International Criminal Court do? - BBC News
0 Reactions
0 Replies
750 Views
Nauliza , hivi mtu akikata mti wa asili bila kibali wala sababu yoyote ya msingi naweza mshitaki? Na je? Sheria inasemaje kuhusu hili?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mukisa Biscuit Manufacturing Co. Ltd v. West End Distributors Ltd [1969] E.A. 696 July 31, 1969. The following considered judgments were read: LAW, J.A.: The Suit out which this appeal arises...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau rejeeni somo hapo juu naombeni mawazo yenu ili niweze kupata hati ya kimila ya shamba langu la ticks maeneo ya Kilosa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wanabodi naomba ushauri wenu wa kisheria kuhusiana na kichwa cha habari hapo juu. Kuna jirani yangu ameweka gereji bubu katika maeneo ya makazi ya watu, ambapo sasa sisi wakazi tunaathirika...
0 Reactions
4 Replies
916 Views
Kumekuwa na kampuni nyingi sana za mawakili (Law Firm) Tanzania. Ila zifuatazo zitabaki kuwa Law firms kubwa ziku zote na zenye huduma bora Tanzania. 1. FB Attorneys – Dar Es Salaam 2...
0 Reactions
27 Replies
11K Views
Back
Top Bottom