Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Hivi nyie wataalam wa sheria kuna nchi yoyote inayotumia common law system yenye sheria ya kumshitaki mwanamke aliyebeba mimba yako makusudi bila ridhaa ya mwanamme mwenye mbegu?
Wakuu natumaini mu wazima wa afya.
Ishu iko hivi, kuna rafiki yangu mmoja alifanyiwa vurugu na jamaa mmoja ivi na kupoteza kitambulisho chake cha kazi hivyo aliniomba niende nikamsaidie katika...
WADAU HABARI ZENU,
KUNA HALMASHAURI MOJA KWENYE BAJETI YA 2015/2016 IMEELEZA KUWA IMENUNUA GARI JIPYA KWA THAMANI YA MILIONI TISINI LAKINI CHA KUSHANGAZA GARI HIYO IMEKUJA NA NAMBA ZA USAJILI DFPA...
Kesi mbili zimenivutia mpaka naziweka jukwaani.
1. kwanza ni kesi iliyokuwa Mahakamani Kisutu ambako kampuni ya simu ya Tigo imeamriwa kuwalipa sh. BIL. 2. wasanii wa bongo fleva AY na MWANA FA...
Kuna kesi ya bb na bwana kuhusu nan akae na mtoto wao mwenye miaka 3. Je hii ni aina gana ya kesi? Is it a criminal case or civili case and what effects for a man?
Tunawaomba watanzania wenzetu wenye ujuzi wa mambo ya Sheria watufahamishe watanzania wenzao Juu ya Katiba Yetu inasemaje Juu ya Sheria ya Vyama Vingi.Tunaomba ufafanuzi huo kutokana Na tangazo la...
Wanasheria naomba kujua muathirika wa serikali kukataa kutekeleza amri ya mahakama ambapo serikali imeshindwa kesi anaweza kuchukua hatua gani kupata haki yake? Mfano labda inapashwa kukulipa...
Habari zenu wakuu,
Mimi ni mwajiriwa na nina mkataba wa miaka miwili ambao unaisha tarehe 01/10/2016.
Hivyo, naomba kufahamishwa haki zangu au malipo yoyote baada ya kumaliza mkataba huu wa kazi...
habar wadau, naomba kufahamishwa kuhusu sheria ya ujenz wa mabarabara na kuelekeza maji yake kwenye makaz ya watu.maana huku kwetu kuna barabara imejengwa na maji yake yameelekezwa kwenye mij yetu...
Wasaalam..
Habari ya wakati huu wan JF..
Naomba kupata msaada..
1. Ikiwa Hakimu amekataa kusaini hati ya hukumu ni nini naweza kufanya kisheria
2. Mda wa rufaa wanaanza kuhesabu toka siku ya...
1. Ardhi katika nchi hii inamilikiwa na dola ao mwananchi?
2. Ardhi kuwa shamba, kiwanja cha makazi /biashara n.k hurasimishwa na mamlaka husika, je sisi tuliojenga,kuendesha kilimo n.k huku...
Mukisa Biscuit Manufacturing Co. Ltd v. West End Distributors Ltd [1969] E.A. 696
July 31, 1969. The following considered judgments were read:
LAW, J.A.: The Suit out which this appeal arises...
Ndugu wanabodi naomba ushauri wenu wa kisheria kuhusiana na kichwa cha habari hapo juu. Kuna jirani yangu ameweka gereji bubu katika maeneo ya makazi ya watu, ambapo sasa sisi wakazi tunaathirika...
Kumekuwa na kampuni nyingi sana za mawakili (Law Firm) Tanzania. Ila zifuatazo zitabaki kuwa Law firms kubwa ziku zote na zenye huduma bora Tanzania.
1. FB Attorneys – Dar Es Salaam
2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.