Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Mashtaka 85 kwa kigogo wa Tanesco Tuesday, 01 February 2011 21:27 ATUHUMIWA KUIBA, KUHUJUMU UCHUMI Tausi Ally MHASIBU wa Shirika la Umeme Tanzania...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Nikiwa napongeza wazo la kuwa na Mahakama ya Mafisadi najiuliza itafiti kwenye Muundo Upi katika Muundo wa Mahakama tulizo nazo Kikatiba?
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Nataka nikamshtaki jamaa mmoja baada ya kumpa simu yangu leani kwa elfu20. Akaniambia angetoka na kurudi baada ya cku kumi, lakni jamaa alikaa hadi cku 30.Alipo fika jamaa hakuwa na cm zaidi ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hivi ni marufuku kisheria kumuongezea mshahara mfanyakazi akiwa kwenye probation?
0 Reactions
2 Replies
778 Views
Wajuzi wa sheria, naomba mwenye soft copy ya sheria ya ardhi namba 4 ya 1999 toleo la kiswahili
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Habari ndugu, Kuna mtu kanitukana, bahati mbaya zaidi niko mbali nae. Sasa nahitaji mwongozo ktk hili. Nahitaji kumshtaki na kufika mbali zaidi, sababu ni matusi yasiovumilika. Pia katukana kwa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Ni wiki sasa imepita tangu Mtendaji kata alipochukua vifaa vyangu vya pool table kwa kosa la kufunguliwa kabla ya muda. Lakini kila nikimfuata anadai hajisikii kunipa na atakapojisikia kufanya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nataka kununua eneo Dar lakini nataka kulihakiki kabla sijanunua. Nina coordinates za eneo nataka kuona plan zipo je kwa eneo hilo. Naomba msaada
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nina swali kuhusu survival of course of action.
0 Reactions
2 Replies
908 Views
Habari zenu wanajamvi Nimepata shida sana katika kulijua hili na bado sijalijua vyema.Kama nchi inataka kujigawa na kuunda nchi nyingine hufuata sheria gani?Na ni mambo yapi yatakayozuilia nchi...
3 Reactions
37 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi, Binafsi nakerwa sana na ninaposimamishwa na traffic kisha kuombwa leseni, kadi ya gari na wakienda sana ni fire extinguisher na triangle! vitu hivi ni muhimu kuwa navyo na hasa...
1 Reactions
58 Replies
13K Views
Naomba majina ya Sheria hizi: Cap. 391 Cap. 392 Cap. 390 Cap. 393 Cap. 394 Cap. 395 Cap. 317 Cap. 413
0 Reactions
5 Replies
896 Views
Habari zenu wakuu., Ninaomba kujua sheria hapa ikoje, nielezee kwa kifupi tu swala lenyewe. Mzee wangu mimi alinunua kiwanja maeneo ya kibaha, ni kiwanja kilichopimwa kabisa. Yeye aliuziwa...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakuu, asalaam aleiykum Ama baada ya salaam, kama kichwa cha post kinavyojieleza, naomba yeyote mwenye Katiba ya Tanzania ya 1977 anisaidie. Natanguliza shukrani.
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Mimi ni mfanyakazi wa kampuni flani hapa Dsm na mkataba wangu wa kazi unaisha Desemba 2017. Kwa taarifa nilizonazo ni kwamba kampuni inampango wa ku outsource operations zake kwenye kampuni...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Ivi mtu wanaofungwa kifungo cha maisha, hua hawapati msamaha wa rais?!
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Leo najisikia amani sana tu. Nataka kusambaza upendo. Sasa kwa wale wanasheria wanaosoma vyuoni, au wanapenda kujisomea. Nataka kugawa vitabu vya sheria vya Cambridge. Vipya vya mwaka 2012-2016...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Naomba mnisaidie sheria inasemaje? mm nimezaa na mwanamke mtoto mmoja wa kiume nikapewa tangazo Hospitali na nikaenda Rita nikachukua cheti cha mwanangu cha kuzaliwa mtoto ana miez 10. Bibi yake...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
naomba kuelimishwa, hivi mtu unayemfahamu kama ndugu akikupigia simu akakutishia kuwa atakuua ni hatua gani unaweza kuchukua??? Mtu huyo ametumia namba yake halisi na sababu ya kutoa vitisho hivyo...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Habar wanajamii, Kwa mwenye ufahamu wa sheria inayohusiana na Financial guarantor, kwa mtu ambaye tayar amesha ajiriwa na tayar alisha saini mkataba wa kudumu wa kudumu kwa takrbani miaka zaidi ya...
0 Reactions
1 Replies
720 Views
Back
Top Bottom