Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Wito wa maandamano kwa Watanzania wote tarehe 21/11/2013 nchi nzima kushinikiza yafuatayo:- 1. Sheria iwe na haki sawa kwa watanzania wote. Kapuya afungwe miaka yake 30 yaishe. 2.Wote waliohusika...
1 Reactions
49 Replies
6K Views
Ndugu wanaJF, Ninaomba msaada wa kisheria katika swala zima la elimu najua jukwaa hili wapo waataaam wa mambo haya Sheria zinasemaje au zinatakaje kwa mwalimu aliye bainika kumfelisha mwanafunzi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Niliajiriwa na kampuni fulani ya binafsi hapa Dar. Taratibu zote za ajira zilifuatwa. Bahati mbaya nikiwa nimetimiza miezi miwili kukatokea kutoelewana pale kazini kati yangu na mmoja wa wamiliki...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Mama Kairuki na Afande Mlowola, tunaomba mtupe definition ya FISADI. Hii ni muhimu kwa vile ile mahakama mnayoianzisha (christened mahakama ya mafisadi), itashughulika na mafisadi. Sasa fisadi ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habarini kuna rafiki yangu hapa, so far ni mwaminifu, ila anataka nimkopeshe 4,000,000 ili ajazie kwenye working capital ya biashara yake makubaliano ni atakuwa ananilipa 5% ya deni kila mwisho...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa wale wanaotaka kujiunga law school jamani form hii hapa
0 Reactions
5 Replies
14K Views
wanasheria shikamoni, Ninahisi kuwa sheria ya nchi yetu inasema mwanamke akibakwa na mwanaume zaidi ya mmoja, au hata mmoja anatakiwa afungwe, naomba kujua kama ni kweli na ni kifungu gani...
0 Reactions
0 Replies
897 Views
Habari wanajamvi! Sorry naomba msaada namna ya kubadili matumizi ya ardhi kutoka kwenye makazi kwenda kwenye biashara kwa surveyed area. Ushauri wenu nitaomba ujikite kwenye haya: 1. Ni sheria...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Polisi wanapomshikilia mwenyekiti au Mjumbe wa serikali ya mtaa kwamba alitoa Barua ya kumtambulisha mwananchi ili aweze kumdhamini nduguye aliyekàmatwa kwa kosa la kuiibia maji dawasco. Mtuhumiwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nianze kwa historia kidogo, mwaka 2007 nilimpoteza kakangu mkubwa na mke wake wote kwa pamoja kwenye ajali ya barabarani. Kwenye ndoa yao walifanikiwa kuwa na watoto wawili ambao walichukuliwa na...
0 Reactions
2 Replies
963 Views
Mambo niaje wakuu, Polen na majukum. Nina swali mmoja tu nataka mnisaidie tafadhari, Hivi kodi ya uingizaji wa pikipiki hapa nchini inakuwa vipi?maana TRA hawajaonesha kwenye website yao wala...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello! Wadau wa sheria humu, naombeni kuuliza jambo, kuhusiana na title hapo juu, maana napata shida kujua. Nauliza, Law School Ya Tanzania, ipo chini ya Wizara ya Katiba na Sheria ama ipo chini...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Naomba mniunge humu wadau
0 Reactions
1 Replies
662 Views
Nimeshitushwa na kauli za mara kwa mara za DPP wetu kuhusu ugumu wa kuishitaki kampuni ya KAGODA. Nimeshitushwa zaidi na matamshi yake yaliyonukuliwa na gazeti la Tanzania Daima la Jumapili...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Baada ya askari anayesemekana kutukunwa na mke wa waziri wa mambo ya Nje kupost audio aliyeirekodi mitandaoni katika mazungumzo yaliyojumuisha bosi wake pamoja na mke wa waziri (Mama Mahiga)...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Mimi sio mwanasheria, wala sikubahatika kusomea taaluma ya sheria, kwa taaluma mimi ni mhandisi wa umeme na kompyuta, lakini uzoefu wangu wakujisomea machapisho mbalimbali vikiwemo vitabu vya...
11 Reactions
23 Replies
50K Views
wakuu mambo vipi? Naitaji Mwanasheria Ambae ataweza kunisimamia kwenye ishu yangu ya mgogoro wa kiwanja... kuna mtu aliniuzia kiwanja ila badae nimekuja kugundua kuwa amemuuzia na watu wengine 2...
0 Reactions
0 Replies
894 Views
Habari wanaJF, Leo nimeona ni vyema tukajuzana juu ya mkataba wa huduma kwa wateja wa shirika letu la umeme Tanzania au TANESCO. Kwasababu huu ni mkataba nimeona ni vyema niweke kiambatanisho cha...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wanajamii naomba mnisadie ushauri wa kisheria, Marehemu baba yangu alikuwa anamiliki eneo lenye nyumba na mabanda ya biashara, lenye Certificate of Ocupancy ya mwaka 1980 na kibali cha kuendeleza...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Naomba mwenye pdf Ya code of good practice and regulations GN 42/2007 ============================ Published on: PDF copy from Tanzanian Parliament website, 2004 PDF 470KB Legislation on-line...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Back
Top Bottom