Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habari. Napenda kujua, Sheria ya Kazi inataka mfanyakazi afanye kazi saa ngapi kwa siku? Wafanyakazi wa CRDB Bank hasa Tawi la Premie huwa manatakiwa saa 1:30 asubuhi wawe wako ofisini...
0 Reactions
9 Replies
9K Views
Wakuu poleni kwa majukumu. Naomba ushauri wenu wa kisheria juu ya jambo hili. Nulinunua nyumba iliyouzwa kwa mnada kupitia kwa dalali alieteuliwa na Benk fulani iliyoko jijini Dar es Salaam...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwezi wa 11 mwaka jana kijana wangu wa kazi ambaye alidumu kwa siku 6 tu, alivunja ndani kwangu na kuiba vitu vya thamani karibu Tzs mil 30. Lap top, simu za mikononi ambazo nilikua situmii, vitu...
0 Reactions
29 Replies
9K Views
Nimesikia kwamba mwanaume na mwanamke wakiishi pamoja kwenye nyumba moja kwa zaidi ya miezi sita kisheria automatically wanakua mke na mume hii kwa sheria za Tanzania ipo?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari nyote. Msimamizi wa mirathi moja iliopitishwa mahakamani tayari hapa Tanzania, kamgawia mwanae nyumba ambayo ni mali ya marehemu. Msimamizi huyu ni mdogo wa kuzaliwa tumbo moja na marehemu...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari ndugu wana Jf?. Naomba msaada wa kisheria kwa urithi wa watoto kwa baba aliefariki akiwa na watoto4 pamoja na mkewe!. Akaacha wosia kwamba watoto wawil kati ya hao hawatamrithi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
SHAHIDI upande wa mashtaka Koplo Waziri, amewasilisha muamala wa M-Pesa kama ushahidi mahakamani. Ushahidi huo unawasilishwa katika kesi ya kula njama na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
naomba msaada kuna muwekeza anataka kuingia ubia ameniandikia hivi sasa nifanyaje would like to have separate partnership agreements with each of them (need to work with lawyer there) to form...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni baada ya muda gani mlalamikaji au mlalamikiwa anastahili kukata rufaa baada ya maamuzi ya mahakama
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau nina ndugu yangu ambaye amefiwa na mkewe baada ya miaka minne ya ndoa yao ya kikristo.wote walikuwa ni wafanyakazi wa serikali kabla na baada ya kuoana.walipooana ndugu huyu alikuta marehemu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nikiwa barabarani nakokota pikipiki nikielekea kwa fundi, gafla akatokea jamaa kavaa kilaia, na kuniomba anikague, nikamruhusu, akabaini bima imeisha na element haikuwepo, nikaahilisha kwenda kwa...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Habari zenu wanajukwaa, Samahani nilikuwa naomba msaada wa kesi zinazohusu kosa la utakatishaji wa pesa. (Money laundering) ambazo zishahukumiwa tayari.
0 Reactions
0 Replies
707 Views
MKAZI wa kijiji cha Kidamali, Joseph Balami juzi alihukumiwa kunyongwa hadi kufa na Mahakama Kuu kanda ya Iringa baada ya kukutwa na hatia ya kumuua Stani Singaile (42) kwa makusudi. Ilidaiwa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wamiliki wengi wa magari ya binafsi au biashara wanatembelea mikataba ya mauziano bila kwenda TRA na kubadili umiliki ili jina lisomeke kwenye kadi(motorvehicle registration card)ya gari kwamba...
1 Reactions
22 Replies
13K Views
Habari zenu wanajamvi! Namtafuta mwanasheria mwenye uwezo wa kuandika patent kwa ajili ya huduma bunifu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu zangu wana JF habari• Kuna mama wakizenji (kama si pepo) ameniamulia na amezamilia kuvunja ndoa yangu• Huyu mama ananipigia simu nakunitumia sms akidai nimemtelekeza mtoto...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari wakuu, Kama kichwa kinavyojieleza mwanangu yuko kidato cha kwanza sasa. Nilihisi ana mahusiano na jamaa mmoja mfanyakazi wa umma na nilifanya mawasiliano na mwalimu wa malezi ili amuulize...
1 Reactions
47 Replies
7K Views
Wakuu Salamaa? Naombeni muongozo wa kisheria juu ya jambo lifuatalo; Kunashamba ambalo mmiliki anashida na anahitaji kuniuzia ila shamba lenyewe kuna mtu analima (kawekewa rehani mpaka afanye...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Sabakher Wanasheria; Naomba Mnisaidie! Ikitokea Wazaz Wa Mama Yangu {babu na bibi Yangu} Wakafariki! Na Wakati Wa Ufuatiliaji Wa Mirathi Mama Yangu Nae Akafa! Je Katika Ule Mgao Wa Mama Kama Mtoto...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nilifiwa na mzazi wangu ambae alikuwa mtumishi nikiwa mdogo sana.Mpaka leo yapata miaka 18. Nimejaribu kufuatilia mirathi katika halmashauri husika nakaambiwa hakuwa anachangia mfuko wowote ,hivyo...
0 Reactions
2 Replies
838 Views
Back
Top Bottom