Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Habari. Napenda kujua, Sheria ya Kazi inataka mfanyakazi afanye kazi saa ngapi kwa siku?
Wafanyakazi wa CRDB Bank hasa Tawi la Premie huwa manatakiwa saa 1:30 asubuhi wawe wako ofisini...
Wakuu poleni kwa majukumu.
Naomba ushauri wenu wa kisheria juu ya jambo hili.
Nulinunua nyumba iliyouzwa kwa mnada kupitia kwa dalali alieteuliwa na Benk fulani iliyoko jijini Dar es Salaam...
Mwezi wa 11 mwaka jana kijana wangu wa kazi ambaye alidumu kwa siku 6 tu, alivunja ndani kwangu na kuiba vitu vya thamani karibu Tzs mil 30. Lap top, simu za mikononi ambazo nilikua situmii, vitu...
Nimesikia kwamba mwanaume na mwanamke wakiishi pamoja kwenye nyumba moja kwa zaidi ya miezi sita kisheria automatically wanakua mke na mume hii kwa sheria za Tanzania ipo?
Habari nyote.
Msimamizi wa mirathi moja iliopitishwa mahakamani tayari hapa Tanzania, kamgawia mwanae nyumba ambayo ni mali ya marehemu.
Msimamizi huyu ni mdogo wa kuzaliwa tumbo moja na marehemu...
Habari ndugu wana
Jf?.
Naomba msaada wa kisheria kwa urithi wa watoto kwa baba aliefariki akiwa na watoto4 pamoja na mkewe!. Akaacha wosia kwamba watoto wawil kati ya hao hawatamrithi...
SHAHIDI upande wa mashtaka Koplo Waziri, amewasilisha muamala wa M-Pesa kama ushahidi mahakamani.
Ushahidi huo unawasilishwa katika kesi ya kula njama na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu...
naomba msaada kuna muwekeza anataka kuingia ubia
ameniandikia hivi sasa nifanyaje
would like to have separate partnership agreements with each of them (need to work with lawyer there) to form...
Wadau nina ndugu yangu ambaye amefiwa na mkewe baada ya miaka minne ya ndoa yao ya kikristo.wote walikuwa ni wafanyakazi wa serikali kabla na baada ya kuoana.walipooana ndugu huyu alikuta marehemu...
Nikiwa barabarani nakokota pikipiki nikielekea kwa fundi, gafla akatokea jamaa kavaa kilaia, na kuniomba anikague, nikamruhusu, akabaini bima imeisha na element haikuwepo, nikaahilisha kwenda kwa...
Habari zenu wanajukwaa,
Samahani nilikuwa naomba msaada wa kesi zinazohusu kosa la utakatishaji wa pesa. (Money laundering) ambazo zishahukumiwa tayari.
MKAZI wa kijiji cha Kidamali, Joseph Balami juzi alihukumiwa kunyongwa hadi kufa na Mahakama Kuu kanda ya Iringa baada ya kukutwa na hatia ya kumuua Stani Singaile (42) kwa makusudi.
Ilidaiwa...
Wamiliki wengi wa magari ya binafsi au biashara wanatembelea mikataba ya mauziano bila kwenda TRA na kubadili umiliki ili jina lisomeke kwenye kadi(motorvehicle registration card)ya gari kwamba...
Ndugu zangu wana JF habari Kuna mama wakizenji (kama si pepo) ameniamulia na amezamilia kuvunja ndoa yangu Huyu mama ananipigia simu nakunitumia sms akidai nimemtelekeza mtoto...
Habari wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza mwanangu yuko kidato cha kwanza sasa. Nilihisi ana mahusiano na jamaa mmoja mfanyakazi wa umma na nilifanya mawasiliano na mwalimu wa malezi ili amuulize...
Wakuu Salamaa? Naombeni muongozo wa kisheria juu ya jambo lifuatalo;
Kunashamba ambalo mmiliki anashida na anahitaji kuniuzia ila shamba lenyewe kuna mtu analima (kawekewa rehani mpaka afanye...
Sabakher Wanasheria;
Naomba Mnisaidie! Ikitokea Wazaz Wa Mama Yangu {babu na bibi Yangu} Wakafariki! Na Wakati Wa Ufuatiliaji Wa Mirathi Mama Yangu Nae Akafa! Je Katika Ule Mgao Wa Mama Kama Mtoto...
Nilifiwa na mzazi wangu ambae alikuwa mtumishi nikiwa mdogo sana.Mpaka leo yapata miaka 18. Nimejaribu kufuatilia mirathi katika halmashauri husika nakaambiwa hakuwa anachangia mfuko wowote ,hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.