Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Kuna shida kwenye nguzo inayoingiza umeme kwangu. nilienda kutoa taarifa tar 2/4/2016 hadi leo hawajaja! nimerudia kutoa taarifa jana na leo. lakini hadi sasa hawajaja! hapa kwangu nina mashine ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu nawasalimu... Ama baada ya salamu naomba msaada wa kisheria kuhusu hili. Mimi ni msimamizi wa mirathi na taratibu zote zilifatwa mpaka nikateuliwa kuwa mrithi.Tatizo ni kwamba nyumba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hbr zenu wana jf, imetokea mlalamikaji amewaomba mashahidi waliohudhuria tukio wakatoe ushahidi mahakamani wakakataa, mlalamikaji inatakiwa afanye kipi ili kupata haki yake
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wakuu habari zenyu.. Wakati fulani nikiwa ndio nakua kwenye miaka ya 90s hivi kulikua na kesi moja nilikua naisikia kwenye vyombo vya habari ilikua inamhusu mzungu mmoja ( kama sijakosea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi! Namtafuta mwanasheria mwenye uwezo wa kuandika patent kwa ajili ya huduma / bidhaa bunifu. Tuwasiliane. .. kwa PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale ndugu zangu wanaosoma sheria, Kuna Kitabu cha Mzee Samatta Kinaitwa Rule of Law VS Rulers of Law. Ukipata pesa jitahidi ukitafute; kimekusanya kesi nyingi alizozihukumu. Na kama ukisoma...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Abari zenu wadau, nimepatwa na mtihani baada yaku mzamini rafikiangu fulani bank, ili aweze kupewa mkopo. sasa baada alipo pewa huo mkopo wa milioni 4, amerejesha rejesho 4tu, akaingia mitini...
0 Reactions
2 Replies
632 Views
Mkataba wangu Mimi unaishia mwezi wa 7, Leo ni mwezi wa 4, mwenye nyumba, nyumba tunayoishi kaiuza, hajatuambia official tunasikia na mafundi wake tuu. Sasa anataka atuhamishie nyumba ingine...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
RC Makonda have to think twice before making some of his statement out of emotions. I have heard that Regional Commissioner of Dar es Salaam have officially banned religious leaders and their...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna jamaa yangu alikamatwa kwa kesi ya kuhisiwa kavunja kaunta ya Bar ,baada ya kumkamata wakampiga na kumpeleka kituo cha polisi, wakachukuliwa Maelezo na mtuhumiwa kawekwa ndani kwa siku...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nahitaji mwanasheria Mwenye kujua mambo ya CMA. Location: Mbeya mjini (lazima awe anapatikana Mbeya mjini). Contact: Naomba ani PM Asante.
1 Reactions
0 Replies
970 Views
Wakuu, nimetakiwa kumsimamia mama mjane juu ya haki zake. Mama huyu aliolewa mwaka 1997 huko Mpanda na mume aliyekuwa na watoto wanne wakubwa. Baada ya mwaka mmoja mume aliyekuwa mfanyakazi...
6 Reactions
40 Replies
7K Views
Nahitaji copy original 50 mpaka 100 za katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 lugha ya kiingereza, ni pm bei. Nipo Dar.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani ndugu zangu wataalamu wa sheria kuna mtu nilimkopesha milioni moja na tukaandikiana kuwa baada ya miezi 2 atatudisha milioni moja na laki tatu saivi ni miez minne mnisaidie nifanyeje...
0 Reactions
1 Replies
982 Views
Msaada wa kisheria kuna kesi ya ubakaji kwa mtoto wa miaka 7 amebakwa na vijana wenzie wa umri sawa na wake wazazi wake wamekataa kuelewana na wazazi wa watuhumiwa wanaomba waende mahakamani je...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Msaada wa Kifungu cha sheria kinachohusiana na uhamisho wa mke kumfuata mume naomba aniambie
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kusaidiwa mdogo wangu aliajiliwa serikalin mwaka 2012 june akiwa na cheti,anategemea kuhitimu ngaz ya dproma mwez wa tano,,hajapanda daraja mpaka leo,taarifa zlizopo watapandishwa mwez wa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kimevamiwa na mtu amejenga nipeni ushauri wa hatua za kuchukua. Ili mtu apate haki yake Kinyume cha hapo msaada unahitajika haraka mizunguko sio dili
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu habari za usiku ....nina kesi mahakama ya mkoa mwanza na kesi ipo hatua za mwisho baada ya polisi kusua sua na ushahidi toka 2010 mpaka leo na mara kadhaa hakimu anamwonya mwendesha mashtaka...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wadau samahani na mniwie radhi kama ntakosea jambo. Naomba wanaojua sheria na wenye uzoefu katika hili kwa kulipitia wanisaidie. Hivi unaweza kumpa mirathi mtoto ambae ulizaa kabla haujaoa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…