Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

habari gani, wakuu. naomba msaada , jinsi ya kupata kitambulisho cha utaifa... ..
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hii ni story ya kweli kuhusu jinsi ya kupata hizi leseni mpya za kundesha gari. Old wine in a new bottle. Tanzanian authorities have introduced a new machine-readable driving licence to crack...
2 Reactions
39 Replies
17K Views
Hivi hakimu aliyesikiliza kesi na akaitolea maamuzi je baada ya kustaafu anaweza kuwa advocate kutetea upande mwingine ktk kesi hiyo endapo huo upande utafungua shauri la madai katika mahakama...
0 Reactions
11 Replies
968 Views
WanaBodi naombeni msaada. Maduka yanayouza vita vya SHERIA kwa MOSHI na ARUSHA ni wapi. Ninavihitaji sana.
0 Reactions
11 Replies
7K Views
  • Closed
Leo ningeomba kupewawa ufafanuzi kuhusu mtoto haramu. Katika dini ya Uislamu mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa huwa anaitwa mtoto haramu. Kwa hoja hii huwa napata maswali kadhaa, yakiwemo haya. 1...
1 Reactions
146 Replies
19K Views
Naomba kujua kama kuna sheria inayoruhusu debt collection ya deni la nje ya nchi kufuatia hukumu ya mahakama ya nje kutibitisha deni na kama ikiwa mdaiwa ni raia wa Tanzania na ana mali Tanzania.
0 Reactions
1 Replies
986 Views
Salaam fellows.Nimefungua law firm hapa DSM.Natafuta a junior lawyer (with practising certificate) tufanye nae kazi.Karibuni interested parties tuongee zaidi. My numbers are 068990000.Thanks
1 Reactions
6 Replies
1K Views
ndugu zangu wana jamvi nimejaribu kupitia thread mbali mbali zinazohusiana na sheria ya mahari na nikajifunza kuhusiana na mahari lakn wakuu nilikuwa naombeni ushauri juu ya hili. ikiwa mwanamke...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Umefanya kama familia mmefanya hivi test mmoja akakutwa ni positive vipi nafasi ya negative kisheria?
0 Reactions
3 Replies
775 Views
Naomba msaada wa soft copy ya Civil Procedure Code Act
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nchi nyingi duniani zina mifumo mikuu miwili ya urekebishaji wahalifu waliotenda makosa ya jinai. Mfumo wa kwanza ni ule wa kuwahukumu wahalifu kifungo gerezani (Custodial Corrections) na mfumo wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwanini watendaji wetu wasiwe wabunifu na akili zao zifanye kazi 24 hours? Hivi kuna umuhimu gani wa wanafunzi wanaotaka kusomea Uwakili katika shule ya sheria, au school of Law wasifungue...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Marafiki zangu wana kesi ya kosa la jinai dhidi ya Jamhuri ktk mahakama ya mkazi Kisutu. Shtaka lao la kwanza ni kula njama ya kutenda kosa la jinai Shtaka la pili kufanya mkusanyiko usiokuwa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nimeshuhudia Maafisa Watendaji wa Vijiji na Kata Wakiamuru watu wanao kisiwa kuwa wavunja amani kuwekwa ndani,hata kwa wiki kadhaa kabla ya kufikishwa mahakamani! Hata Wakuu wa Wilaya na Mikoa...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Hatuwezi kupingana na hili, endapo Muungano utavunjika Hatuwezi kupingana na hili, endapo Muungano utavunjika
0 Reactions
0 Replies
654 Views
Mdogo wangu alishitakiwa na mwajiri wake 2007. Kesi iliamuriwa 2012 may 8 kwa MAHAKAMA kumuachilia bw. mdogo kwa kutokuwa na kesi ya kujibu. Bw. Mdgo amemfungulia civil case 7/1/2016 kwa madAi ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ibara ya 6 ya Katiba inasema Lengo Kuu la Serikali ni Litakua ni Ustawi wa Wananchi na Serikali itapata madaraka na mamlaka yake kutoka kwa wananchi Je Bomoabomoa instawisha au kudhoofisha...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Salaam kwa Wadau wote! Nahitaji msaada wenu kwa wataalamu wa Sheria za Ajira! Mimi nimeajiriwa katika kampuni binafsi kwa mkataba wa KUDUMU( PERMANENT CONTRACT) tangu mwaka 2013, mwaka jana...
0 Reactions
33 Replies
6K Views
Habari zenu wanajamvi , Nakuja kwenu kwa heshima nikiomba msaada wenu wa kisheria baada ya kutumika kwenye tangazo la kibiashara kwenye televisheni bila ya kupewa pesa yoyote na pia bila mkataba...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Mtu anagongwa na Gari, anawahishwa Hospital, Madaktari wana kataa kumpokea mpaka apewe form ya Pf3 kutoka police. Mgonjwa anarudishwa Police kupewa form ya PF3. Baada ya kupata form ya PF3...
0 Reactions
8 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…