Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Hii ni story ya kweli kuhusu jinsi ya kupata hizi leseni mpya za kundesha gari. Old wine in a new bottle.
Tanzanian authorities have introduced a new machine-readable driving licence to crack...
Hivi hakimu aliyesikiliza kesi na akaitolea maamuzi je baada ya kustaafu anaweza kuwa advocate kutetea upande mwingine ktk kesi hiyo endapo huo upande utafungua shauri la madai katika mahakama...
Leo ningeomba kupewawa ufafanuzi kuhusu mtoto haramu.
Katika dini ya Uislamu mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa huwa anaitwa mtoto haramu.
Kwa hoja hii huwa napata maswali kadhaa, yakiwemo haya.
1...
Naomba kujua kama kuna sheria inayoruhusu debt collection ya deni la nje ya nchi kufuatia hukumu ya mahakama ya nje kutibitisha deni na kama ikiwa mdaiwa ni raia wa Tanzania na ana mali Tanzania.
ndugu zangu wana jamvi nimejaribu kupitia thread mbali mbali zinazohusiana na sheria ya mahari na nikajifunza kuhusiana na mahari lakn wakuu nilikuwa naombeni ushauri juu ya hili. ikiwa mwanamke...
Nchi nyingi duniani zina mifumo mikuu miwili ya urekebishaji wahalifu waliotenda makosa ya jinai. Mfumo wa kwanza ni ule wa kuwahukumu wahalifu kifungo gerezani (Custodial Corrections) na mfumo wa...
Kwanini watendaji wetu wasiwe wabunifu na akili zao zifanye kazi 24 hours?
Hivi kuna umuhimu gani wa wanafunzi wanaotaka kusomea Uwakili katika shule ya sheria, au school of Law wasifungue...
Marafiki zangu wana kesi ya kosa la jinai dhidi ya Jamhuri ktk mahakama ya mkazi Kisutu.
Shtaka lao la kwanza ni kula njama ya kutenda kosa la jinai
Shtaka la pili kufanya mkusanyiko usiokuwa...
Nimeshuhudia Maafisa Watendaji wa Vijiji na Kata Wakiamuru watu wanao kisiwa kuwa wavunja amani kuwekwa ndani,hata kwa wiki kadhaa kabla ya kufikishwa mahakamani!
Hata Wakuu wa Wilaya na Mikoa...
Mdogo wangu alishitakiwa na mwajiri wake 2007. Kesi iliamuriwa 2012 may 8 kwa MAHAKAMA kumuachilia bw. mdogo kwa kutokuwa na kesi ya kujibu. Bw. Mdgo amemfungulia civil case 7/1/2016 kwa madAi ya...
Ibara ya 6 ya Katiba inasema Lengo Kuu la Serikali ni Litakua ni Ustawi wa Wananchi na Serikali itapata madaraka na mamlaka yake kutoka kwa wananchi
Je Bomoabomoa instawisha au kudhoofisha...
Salaam kwa Wadau wote!
Nahitaji msaada wenu kwa wataalamu wa Sheria za Ajira!
Mimi nimeajiriwa katika kampuni binafsi kwa mkataba wa KUDUMU( PERMANENT CONTRACT) tangu mwaka 2013, mwaka jana...
Habari zenu wanajamvi ,
Nakuja kwenu kwa heshima nikiomba msaada wenu wa kisheria baada ya kutumika kwenye tangazo la kibiashara kwenye televisheni bila ya kupewa pesa yoyote na pia bila mkataba...
Mtu anagongwa na Gari, anawahishwa Hospital, Madaktari wana kataa kumpokea mpaka apewe form ya Pf3 kutoka police. Mgonjwa anarudishwa Police kupewa form ya PF3. Baada ya kupata form ya PF3...