Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Jeshi la Polisi Mkoani hapa limefanikiwa kumkamata mtu mmoja aitwaye Ismail Swalehe Sang?wa (20) ambaye ni mwenyeji wa kijiji cha Sepuka wilayani Ikungi katika Mkoa wa Singida kwa tuhuma za...
0 Reactions
68 Replies
13K Views
Mimi Cjaelewa Kdg. Tunaposema Tutaanzisha Mahakama Kwa Ajili Ya Kuwashughulikia Mafisadi, >Je, Kwani Sheria Tulizonazo Zilikua Zinaruhusu Ufisadi? >Alafu Je, Makosa Ya Ufisadi Hayawezi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari!! Hivi ni kufungu gani cha sheria ambacho kinatumiwa na sumatra kupanga nauli elekezi kwa daladala za dar lkn unashindwa kuwapangia nauli hawa wa mabasi ya #MwendoKasi?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wanasheria, naomba msaada wenu kuna watu na wadai pesa muda mrefu na uvumilivu umenishinda. Nimepewa ahadi za kutosha ambazo hawazitimizi na leo nimeamua kuja kwenye jukwaa lenu kuomba...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
This massage has been deleted
0 Reactions
0 Replies
971 Views
Mimi ni mfanyakazi kwenye sekta binafsi. Nimepitia sheria ya ajira na mahusiano kazini sikuweza kuona kifungu kinachoongelea utaratibu wa kuhamishwa kituo cha kazi. Hivo nimekuja kwenye jamvi la...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
MAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi Mpanda mkoani Katavi imemhukumu Amani Rashid (30), kutumikia kifungo cha miaka 30 jela baada kupatikana na hatia ya kumiliki meno nane ya tembo yenye thamani ya Sh...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naitwa Nolren J. Naomba msaada wa kisheria. 2011 nilimaliza kidato cha NNE. Nikipata alama za kufeli mitihani za chini. Ambazo zingenipa fulsa ya kuendelea na masomo kwa namna tofauti. Kwakuwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
baba na mama walifunga ndoa miaka karibu 40 iliyopita. Miaka 5 baada ya ndoa baba aliondoka kwenda wilaya fulani kutafuta kazi akamuacha mama yetu kijijini. Alifanikiwa kupata ajira ya kudumu...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Salaam JF naomba kujuzwa hapo, nimesahau kidogo ni maana ya kipengele hicho katika sheria 12A or 12B nk inaweza kuwa namba yeyote katika sections..
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu zangu,mimi ni mmoja ya wazawa wa kanda ya Ziwa.Mwaka 2014 mwezi wa tatu nilitoa mahari kwa kulazimishwa kwa binti mmoja hivi aliyepata ujauzito wangu.Nilitoa ng'ombe 15,huyu binti skukaa...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari wana JF, Natumai mpo vizuri wakati huu wa "mapumziko". Nina swali kuhusu sheria za kuendeleza ardhi. Tunafahamu kuwa mara nyingi hati ya umiliki wa ardhi inapotolewa, mmiliki hupewa muda...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nahitaji msaada wenu wanasheria, ukifunga ndoa kanisani au bomoni ni cheti kipi kinatambulika na serikali katika maswala yote ya kiserikali mfano uhamisho wa mke je, utachopewa kanisani au kile...
0 Reactions
13 Replies
12K Views
Please accept with no obligation, implied or implicit, my best wishes for an environmentally conscious, socially responsible, low stress, non-addictive, gender neutral celebration of the winter...
1 Reactions
0 Replies
645 Views
Hukumu ujenzi wa ghorofa jirani na Ikulu Januari 15 Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Makumba Kimweri Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imesema itatoa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu naomba kujuzwa Sheria inasemaje kuhusu kampuni au Taasisi kupunguza Wafanyakazi...nini stahiki ya Mfanyakazi anaepunguzwa? Natanguliza Shukrani
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu salama ? Tunahitaji wakili wa kujitegemea alioko MKURANGA au maeneo jirani MAPEMA Ni kwa ajiri ya kutetea kesi ya madai kuhusu BIMA na waliodhurika na ajali ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salamu wanajamvi! Kama kuna mtu yeyote ambaye ana softcopy ya kanuni za utumishi wa umma 2003 (Public Service Regulations 2003), tafadhali sana naomba nisaidieni. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Za majukumu wakuu, Msaada wa taratibu za kisheria, Wadau poleni na majukumu ya ujenzi wa Taifa na ya kuelimisha umma kwa masuala ya kisheria. Samahani nawaombeni msaada wa taratibu za sheria za...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habari zenu Wanasheria... Ninaomba msaada wa kunielewesha kuhusu haki za Mtanzania aliyeukana Uraia wa Tanzania na Kuchukua uraia wa Nchi nyingine lakini bado anataka kuendelea na Maisha yake...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom