Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

wana JF ambao ni wanasheria naomba mnifahamishe jinsi ya kukazia hukumu ya baraza la kata, je tunatumia fomu na. ngapi? naweza kuona mfano wa fomu hii?
0 Reactions
1 Replies
4K Views
naomba wataalamu wa humu ndani juu ya hili Ni kwamba baba alizaa mtoto wa nje mwanaume,sasa baba analazimisha kumpa shamba bila sie watoto wakubwa kuridhia. Kisheria likoje!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
1. Kuna madai kwamba mara nyingi wapinzani wanapokuwa wanataka kutekeleza haki yao ya kikatiba ya kukusanyika au kuandamana kwa amani huwa wanazuiwa na wakiendelea na kukusanyika au kuandamana...
0 Reactions
0 Replies
925 Views
Friends, HOD personally hates me and his accusations fall under the category of Minor Offenses which are not included in job termination. To work things around, HR gave me a quarterly review so...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
wakuu naombeni msaada wa kisheria namna ya kujibu barua kwa maana sheria zipi nitumie kujibu barua ya kujieleza baada ya kupewa barua kutoka kwa msimamizi wangu wa kituo cha kazi. AHSANTENI!!!
0 Reactions
4 Replies
7K Views
What happens when there is a conflict between customary laws. support this with cases in Tanzania..
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini za mchana wana jamiiforum! katika hali si ya kawaida wanafunzi watano wa stashaada ya uuguzi na ukunga tukuyu
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mimi dereva niliyehitmu mafunzo ya udereva N.I.T, Mwaka 2013 (Advanced drivers grade 2) na mwaka 2014 (Advanced drivers grade 1). MASWALI YANGU: 1. Je? ni haki kwa askari wa usalama barabarani...
0 Reactions
1 Replies
983 Views
Looking for someone to help in registering patent. Contact me via 0785 670038
0 Reactions
1 Replies
855 Views
Nahitaji msaada kutoka kwa advocates nguli haswaa ili nifile up kesi kwa NEC kwani tangu tarehe 25 October nipige kura, kidole changu hakina ari kabisa......yani kucha inaharibika......ule wino...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Nauliza wajuzi wa sheria ili nipate ufafanuzi juu ya kifungu namba 28 kifungu kidogo cha 1 na cha 2 cha sheria ya Ajira na Uhusianao kazini namba 6 ya 2004 kinachozungumzia suala la makato kwenye...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mkuu HAMY-D, ameweka video ya sakata la kuswekwa ndani kwa Watendaji wa Ardhi wa Kinondoni kwa amri ya Mkuu wa Wilaya hiyo,Mhe. Paul Makonda. Nimeitazama na kuisikiliza kwa makini sana video...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Kiukweli mimi nimesononeshwa sana na hili shirika kwanza kabisa nashindwa kuelewa wanatuchukuliaje sisi watumishi wa chini kabisa.Kuna kipindi huwa nafikia hatua ya kuwachukulia kama wezi wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari hii hapa NAIROBI, Jan. 31 (Xinhua) -- Kenyan authorities have widen investigations into the 5.44 kg of heroin seized in Nairobi last week and expect to make more arrests soon after...
5 Reactions
174 Replies
26K Views
Mimi nimeteuliwa kuwa Mrithi Mkuu katika Familia yetu, kila ndugu yangu amepewa mali yake kwa mjibu wa wosia wa Marehemu ambao uliandikwa na Maremu baba yetu enzi za uhai wake kupitia kwa Wakili...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi ni Dada wa miaka 32 niliolewa nikiwa na umri wa miaka 19 nimeishi na uyu mwanaume zaidi ya miaka 10 na tumefanikiwa kuwa na watoto watatu. Tatizo ni siku za karibuni amekua hanijali, hulala...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wataalam humu JF Kwa kifupi kuna kesi ya ubadhirifu wa fedha za umma inayomhusu mkuu mmoja Idara ya umma ambayo Mimi nilikuwa member wa bodi yake japo sasa sio mjumbe tena, swali langu ni nani...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nataka kununua gari kwa mtu,ni njia gani nzuri kisheria itakayonisaidia ili hiyo gari niweze kulimiliki.Nimeenda kuliona gari ni zuri,muuzaji kanipa namba ya akaunti nikalipie benki,wasiwasi wangu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa muda mrefu sasa kumekuwepo na migogoro ya mashamba, viwanja na nyumba hasa maeneo ya mijini. Kwa utafiti wa kawaida utagundua kwa haraka baadhi ya sababu ambazo husababisha hali...
8 Reactions
16 Replies
7K Views
Back
Top Bottom