Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Learned Sisters and Brothers, Naomba kujuzwa namna ya kutumia sheria hiyo. Mathalani ID fulani imeweka picha au habari za kunikashfu hapa Jamii Forums, Nafanyaje?!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tafadhali naomba nipate gn 106 or labour court rule please wana jamvi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama adhabu ya viboko inatolewa ukivunja sheria gani? Majibu kwa mnaojua sheria...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu zanguni Salaama? Kwa muda sasa kupitia mwamvuli wa vigezo na masharti kumekuwa na mabadiliko ya mara kwa mara katika bei za vifurushi vya mawasiliano kwa mitandao yote mikubwa, yaani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naomba kuuliza, Ikitokea mwanaume kaoa mke ndoa ya kiislam wakaishi takribani miezi 9, wakaamua kuachana, Je mali zitagawanya nusu kwa nusu? Ikumbukwe mwanamke kazikuta mali zote.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Salaam ndg Wanajukwaa, nimepanda hapa jukwaani ili nieleweshwe yafuatayo, je, Katiba ya Nchi inasemaje ikiwa Wagombea wawili watapata idadi sawa ya Kura katika uchaguzi mkuu? mf: Magufuli na...
0 Reactions
4 Replies
990 Views
Sasa hivi taasisi nyingi za serikali hutangaza kazi na kuhitaji vyeti kuanzia kidato cha nne na cha sita. Kama mtu amepotelewa vyeti hivyo na amebakiwa na copy tu, anaweza kufanyaje ili wamuelewe...
0 Reactions
0 Replies
772 Views
Madereva WA daladala njia ya Mbagala wanalaani rushwa inayodaiwa na polisi WA usalama barabarani. Wanasema Kuna askari anaitwa Obama anawataka watoe rushwa ya zaidi ya laki kwa kosa la kuandikiwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu, Naombeni msaada wenu, Jirani yangu amemfumania mke wake akiwa na njemba guest mchana kweupe, Njemba imefanikiwa kutoroka baada yavurugu kubwa. Kisheria achukue hatua gani?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Shule nimemaliza na majina mawili mfano yani ALLY JUMA ndio ipo kwenye vyeti ila kila napoambiwa kujaza jina la tatu uwa naliweka katikati ili JUMA iendelee kuwepo mwisho yani; ALLY KASSIM JUMA...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nilipomaliza kidato cha sita nilipata kazi ya kufundisha katika shule moja ya binafsi huku mkoani kwangu.Baada ya mwaka mmoja niliomba kwenda masomoni. Baada ya kumaliza masomo nilirudi tena...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimekasilishwa sana na ujumbe ambao anaendelea kuusambaza huyu ndugu yangu unaohusu masuala ya siasa.Binafsi sijapenda tabia anayoifanya. Ametumia sms ya kumkashifu Rais wetu ajae, eti anasema...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari msoma wa uzi huu, Ni matumaini yangu u bukheri ya afya. Kama kichwa cha uzi inavyosomeka, naomba kufahamu kama mtu anaweza kuacha kazi (ajira) akiwa anadaiwa mkopo kazini kwake. Kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Familia yetu Baba, mama, mimi na wadogozangu wawili tumefunguliwa mashitaka katika mahakama ya mwanzo na tayari tumepokea samasi kufika mahakamani hapo tarehe 10 mwezi huu. HISTORIA YA MGOGORO...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
SalaamWanajamiiforums! Naomba kujuzwa yafuatayo kwa mujibu wa sheria ya kazi na mahusiano kazini yamwaka 2004 1.Je nikweli kwamba muajiriwa haruhusiwi kuchukua annual leave wakati akiwakwenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za muda huu. Naomba msaada juu ya shauri hili langu. ORDER YA MAHAKAMA. "In the event the plaintiff's claim is based on general damages and not specific damages which is conceded by...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari za Leo, Wiki iliyopita gari yangu ilikamatwa na kampuni binafsi iliyoteuliwa na TRA kukamata magari ambayo hayajalipiwa kodi ya mapato, gari ndio kwanza imeanza kazi. Mtu wa kampuni hiyo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Umofia kwenu wana JF, Ndugu yangu ambaye alikuwa anafanya kazi softnet amefukuzwa kazi kwa sababu alichukua fedha zake za NSSF wakati bado anaendelea na kazi. Amekuja kuomba Ushauri kama...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu. Kuna mtu anataka kujenga ghorofa ana pesa zake nyingi tu, ila inasemekana kujenga ghorofa inabidi ukope mkopo bank la sivyo serikali itakufuatilia vyanzo vyako vya mapato na...
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Back
Top Bottom