Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Wakuu wanasheria Mzee Bingili alikuwa na watoto wawili wa kiume, Kibaki na Kaputi. Akafariki na kuacha mashamba ekari 100 lakini hakuwahi kugawa mashamba kwa watoto wake Kibaki na Kaputi ila...
3 Reactions
33 Replies
2K Views
Habari za leo ndugu zangu, Nimemfungua kesi ya Madai ya kumdai mdaiwa wangu jumla ya Tsh 5,874,500/= tangia Tarehe 17.03.2023 katika Mahakama ya Mwanzo Dodoma. Hukumu ya kesi imetoka tarehe...
5 Reactions
38 Replies
5K Views
Naomba msaada wa rules za Probate na Admnistraion za Tanzania
1 Reactions
1 Replies
327 Views
Napenda kujua kuwa katiba ya Zanzibar imeeleza vipi pale ambapo Rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) anapofariki au kupoteza uwezo wa kuongoza. Ni kiongozi yupi atakaeshika madaraka...
0 Reactions
0 Replies
208 Views
Nina miaka Tisa kazini toka nimeajiriwa serikalini,mwezi huu nimepata barua ya uhamisho kutoka Dodoma kuja Mwanza lakini barua yangu inasema uhamisho wangu hautagharamiwa na ofisi. Naomba kama...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Napenda kujua ikiwa mtu au taasisi ikitoa mkopo kwa mtu mwingine lakini ikitokea katika mkataba husika hakuna kipengele cha "loan purpose na madhala yakapatikana ktk mkopo huo, nani kati ya...
0 Reactions
0 Replies
187 Views
Tunapoongelea Wanandoa kugawana mali tunaongelea Talaka. Hakuna Mgawanyo wa Mali zilizotokana na Ndoa bila ya kuwepo talaka. Kisheria Talaka inapotoka, hatua inayofuata ni mgawanyo wa Mali na...
11 Reactions
17 Replies
19K Views
Je kama hujapewa taarifa ya utwaajwi wa ardhi yako na hata taarifa hiyo ya utwaaji haipo kwenye gazeti la serikali, je hapo Kuna utwaaji? Je utwaaji huo ni halali? Je wapi nikalalamike? Je nani wa...
2 Reactions
19 Replies
872 Views
Ninaomba mnifahamishe utaratibu wa unyonyeshaji mtoto kwa mfanyakaz Inafahamika mfanya kaz amepewa masaa mawili ya kunyonyesha. Je masaa hayo huanza baada ya muda gan wa kaz?? Au unajipangia wew...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba kufahamu kuhusu hii adhabu na mahali inapotekelezwa mtu anapohukumiwa? Pia ni makosa yapi ambayo mtu akiyafanya hupelekea kupewa hii adhabu? Nani anatumika kuchapa viboko hivyo na hutumia...
1 Reactions
4 Replies
811 Views
I kindly request for the interpretation on application of Rule 90(5)CAT Rules of 2019 that read as; ..."Subject to the provisions of subrule (1), the Registrar shall ensure a copy of...
2 Reactions
10 Replies
611 Views
Habari wanajamvi nilikua nauliza je mtu akiacha kazi utumishi wa umma bila sababu yoyote na kutoa taarifa anastahili kulipwa mafao yake
0 Reactions
4 Replies
590 Views
Kuna mtu ali mortgage shamba lake some 50 yrs back from today. ameshakufa sasa watoto wake wanaingia kwenye shamba na kuchua mazao wakidai ni shamba la baba yao. Nifanyeje? 1. Je kuna limitation...
0 Reactions
22 Replies
939 Views
Habari Waheshimiwa, Naomba kuuliza kama ni lazima kwa sheria za kazi Tanzania kwa employer kukupa a written employment contract unapoanza kazi. Na kama ni lazima, na employer...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Ni ipi course nzuri na yenye ajira kati ya BED in psychology na BCS.in chemistry and physics na zote zinahusiana na nini na field zake zipo wap msaada jaman kwa mwenye uelewa na haya mambo[/QUOTE]
0 Reactions
2 Replies
389 Views
Shemeji yangu alichukua mkataba wa pikipiki dada yake akamdhamini baada ya muda miezi sita ikatokea ajari ikapelekea kifo cha abiria pikipiki ikakamatwa kituoni shemeji yangu, ambae ndiye aliepewa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wanajamii, kuna rafiki yangu (raia wa Tanzania anataka kufunga ndoa na mpenzi wake ni raia wa Marekani anayeishi nchini kwa kufuata taratibu zote . Hivyo nahitaji kufahamu ni taratibu zipi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu kuna mwanamke nilizaa nae mwaka 2007, wakati nikiwa na mke wangu, na sikuwai kuishi nae zaidi ya kuwa nilikuwa naenda alikopanga mara moja moja, na mara nyingine akishindwa kodi ya nyumba...
1 Reactions
9 Replies
810 Views
Hakutembelea Makumbusho ya Vita ya Majamaji bali alitembelea makumbusho ya Uhalifu wa Kikoloni. Hivi ndivyo inavyoitwa duniani, ni uhalifu wa Kikoloni "Colonial Crimes'. Na hivihivi tumwambie...
0 Reactions
2 Replies
432 Views
Habari zenu wakuu. Nimekuwa naona nyuzi nyingi sana watu wakilalamika wanawake wao kuchepuka nje ndoa na kupelekea ndoa kuvunjika. Mimi ni kijana ambae nina mpango wa kuoa huko mbeleni (Sio leo...
0 Reactions
2 Replies
404 Views
Back
Top Bottom