Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Wakuu wanasheria
Mzee Bingili alikuwa na watoto wawili wa kiume, Kibaki na Kaputi. Akafariki na kuacha mashamba ekari 100 lakini hakuwahi kugawa mashamba kwa watoto wake Kibaki na Kaputi ila...
Habari za leo ndugu zangu,
Nimemfungua kesi ya Madai ya kumdai mdaiwa wangu jumla ya Tsh 5,874,500/= tangia Tarehe 17.03.2023 katika Mahakama ya Mwanzo Dodoma.
Hukumu ya kesi imetoka tarehe...
Napenda kujua kuwa katiba ya Zanzibar imeeleza vipi pale ambapo Rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) anapofariki au kupoteza uwezo wa kuongoza.
Ni kiongozi yupi atakaeshika madaraka...
Nina miaka Tisa kazini toka nimeajiriwa serikalini,mwezi huu nimepata barua ya uhamisho kutoka Dodoma kuja Mwanza lakini barua yangu inasema uhamisho wangu hautagharamiwa na ofisi.
Naomba kama...
Napenda kujua ikiwa mtu au taasisi ikitoa mkopo kwa mtu mwingine lakini ikitokea katika mkataba husika hakuna kipengele cha "loan purpose na madhala yakapatikana ktk mkopo huo, nani kati ya...
Tunapoongelea Wanandoa kugawana mali tunaongelea Talaka. Hakuna Mgawanyo wa Mali zilizotokana na Ndoa bila ya kuwepo talaka.
Kisheria Talaka inapotoka, hatua inayofuata ni mgawanyo wa Mali na...
Je kama hujapewa taarifa ya utwaajwi wa ardhi yako na hata taarifa hiyo ya utwaaji haipo kwenye gazeti la serikali, je hapo Kuna utwaaji? Je utwaaji huo ni halali? Je wapi nikalalamike? Je nani wa...
Ninaomba mnifahamishe utaratibu wa unyonyeshaji mtoto kwa mfanyakaz
Inafahamika mfanya kaz amepewa masaa mawili ya kunyonyesha. Je masaa hayo huanza baada ya muda gan wa kaz?? Au unajipangia wew...
Naomba kufahamu kuhusu hii adhabu na mahali inapotekelezwa mtu anapohukumiwa?
Pia ni makosa yapi ambayo mtu akiyafanya hupelekea kupewa hii adhabu?
Nani anatumika kuchapa viboko hivyo na hutumia...
I kindly request for the interpretation on application of Rule 90(5)CAT Rules of 2019 that read as;
..."Subject to the provisions of subrule (1), the Registrar shall ensure a copy of...
Kuna mtu ali mortgage shamba lake some 50 yrs back from today. ameshakufa sasa watoto wake wanaingia kwenye shamba na kuchua mazao wakidai ni shamba la baba yao. Nifanyeje?
1. Je kuna limitation...
Habari Waheshimiwa,
Naomba kuuliza kama ni lazima kwa sheria za kazi Tanzania kwa employer kukupa a written employment contract unapoanza kazi. Na kama ni lazima, na employer...
Ni ipi course nzuri na yenye ajira kati ya BED in psychology na BCS.in chemistry and physics na zote zinahusiana na nini na field zake zipo wap msaada jaman kwa mwenye uelewa na haya mambo[/QUOTE]
Shemeji yangu alichukua mkataba wa pikipiki dada yake akamdhamini baada ya muda miezi sita ikatokea ajari ikapelekea kifo cha abiria pikipiki ikakamatwa kituoni shemeji yangu, ambae ndiye aliepewa...
Habari wanajamii, kuna rafiki yangu (raia wa Tanzania anataka kufunga ndoa na mpenzi wake ni raia wa Marekani anayeishi nchini kwa kufuata taratibu zote . Hivyo nahitaji kufahamu ni taratibu zipi...
Wakuu kuna mwanamke nilizaa nae mwaka 2007, wakati nikiwa na mke wangu, na sikuwai kuishi nae zaidi ya kuwa nilikuwa naenda alikopanga mara moja moja, na mara nyingine akishindwa kodi ya nyumba...
Hakutembelea Makumbusho ya Vita ya Majamaji bali alitembelea makumbusho ya Uhalifu wa Kikoloni.
Hivi ndivyo inavyoitwa duniani, ni uhalifu wa Kikoloni "Colonial Crimes'. Na hivihivi tumwambie...
Habari zenu wakuu.
Nimekuwa naona nyuzi nyingi sana watu wakilalamika wanawake wao kuchepuka nje ndoa na kupelekea ndoa kuvunjika.
Mimi ni kijana ambae nina mpango wa kuoa huko mbeleni (Sio leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.