Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Ndugu wana Sheria, Nimeombwa niwasilishe kwenu ombi la Msaada wa kisheria kwa Mayatima hawa ambao wanataka kupata mwanga wa kisheria kama kuna uwezekano wa kupata urithi wa haki za Merehemu baba...
1 Reactions
2 Replies
840 Views
Nilijaza leaving cert. kimakosa kwenye tarehe badala ya 7 nilijaza 17. Swali je nifuate hatua gani ili tarehe niziweke ziwe sawa. Ahsante
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari wana JF naleta mrejesho wa kesi ile ya mgogor wa urithi. Baba aliyezaa na wanawake tofauti. Baada ya kwenda mahakamani ikaonekana ilikuwa ni kampuni na si mali ya mtu binafsi. Na katika...
1 Reactions
6 Replies
629 Views
Ni familia ya rafiki yangu mmoja. Iki hivi baba yao alioa mke wa kwanza akazaa nae watoto 2. Baada ya mikaa 3 mke alifaliki. Akabaki baba na watoto 2. Ila baadae baba yao akazaa na mwanamke...
1 Reactions
66 Replies
2K Views
Wadau wa jukwaa salamu! Nawasilisha swali langu hivi, kama mfanyakazi ameachishwa kazi lakini hajafikisha vigezo vya kulipwa pensheni je atalipwa tu malipo aliyochangia au atapewa na faida...
0 Reactions
9 Replies
897 Views
MSAADA TUTANI Hello folk! I'm humble, asking for your legal help! I may be ignorant of the right path of legal procedure in handling this case! Mr X come to my shop one day and he asked for some...
0 Reactions
1 Replies
673 Views
Habari wapendwa? Tuna watoto 4, ila mtoto mkubwa wa kwanza sio wangu nilioa mke wangu akiwa tayari ana mtoto, watoto watatu ndio nilizaa naye. Huyu mtoto wa kufikia tangu akiwa mdogo miaka 2...
9 Reactions
152 Replies
18K Views
Foleni ni tatizo linalosumbua wananchi wote tu. Magari ni mengi. Wenye uwezo wananunua magari yao. Magari mengine madogo, mengine makubwa ya familia. Magari ya usafiri wa umma yanabeba watu...
0 Reactions
2 Replies
633 Views
THE LEGAL BATTLE TO INHERIT THE ESTATE OF THE BUSINESS TYCOON LATE REGINALD MENGI: HISTORIC AND MONUMENTAL JUDGEMENT BY HIS LORDSHIP MLYAMBINA. "The dead commands nothing from his grave except...
3 Reactions
19 Replies
4K Views
Primary Courts/ Mahakama za Mwanzo 1.0 UTANGULIZI Mahakama ya mwanzo ni Mahakama ya chini kabisa katika mfumo wa Mahakama hapa nchini Mahakama hii inaanizishwa kwa mujibu wa fungu la 3 la sheria...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Historia ya Nafasi ya Mtoto wa nje ya Ndoa katika Mirathi Katika masuala ya mirathi jambo mojawapo ambalo limekuwepo katika jamii na limeibua changamoto kubwa ni nafasi ya mtoto wa nje ya ndoa...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
How to enforce foreign judgements in Tanzania (jinsi ya kutekeleza hukumu ya nje ya nchi hapa Tanzania). Kupitia makala hii utajifunza mambo yafuatayo: 1: Whether a foreign judgement can be...
0 Reactions
0 Replies
916 Views
Habari zenu wakuu, Mnamo tarehe 09/07/2023 nilifanya muamala kutoka simu yangu kwenda kwenye kampuni moja ya michezo ya kubahatisha 'kubet'. Ni kampuni kubwa tu kwa hapa Tz. Hiyo fedha...
0 Reactions
1 Replies
802 Views
Habari wadau ! Leo nimeandikiwa fine kisa taa ya break imeungua na taa zinaungua muda wowote , je hii kisheria imekaaje ? si alipaswa kunipa taarifa tu kama onyo au mimi ndo sijui
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Huku ni kukomoana aka kuwakomoa wananchi wenye nia ya kuwa na Passport ya kusafiria lohhh Majangaa kweli ya nchi yetu.
0 Reactions
5 Replies
856 Views
Habari wanajamvi, Siku ya juzi tarehe 19 september 2023 tumeletewa notisi ya malipo ya kodi ya ardhi (nimeambatanisha) ikiamrisha tulipe kodi ya ardhi jumla ya shilingi 244,700/=tshs Kodi ya...
1 Reactions
17 Replies
822 Views
Nilikuwa nafuatilia passport nikaambiwa niandae Cheti Cha kuzaliwa Cha mzazi au kiapo/ afidavit. Naomba kufahamu namna ya kupata afidavit. Je, inawezekana kuipata katika Mahakama ya mwanzo...
2 Reactions
4 Replies
742 Views
  • Poll Poll
Ninaomba msaada wenu wakuu. Kwenye makaburi ya kinondoni alipokua amelazwa marehemu mama yangu kuna kaburi la mtu mwingine na limejengelewa haswa. Nini nifanye nipate haki ya sehemu ya mama yangu...
0 Reactions
3 Replies
632 Views
Habari zenu wanajamvi, kuna viwanja msasani mikoroshini viwanja viliishia kupimwa na vingine havijapimwa sasa huyo msomali alishashtaki siku nyingi na akaombwa alipe fidia maana yeye kanunua...
0 Reactions
0 Replies
860 Views
Huyu jamaa anakukumbusha wapi na mwaka gani.. Personally he reminds me some way back more than ten years ago with my friends .Some of them are no longer breathing ..Those were the days bana..We...
1 Reactions
15 Replies
7K Views
Back
Top Bottom