Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Wadao heshima yenu wakuu, naomba mnisaidie kupata mwanga juu ya swala Hilo, nmenunua kiwanja mwaka 2020 Kwa installments kwenye kampuni binafsi na nilikuwa nalipa Kashi pesa mkononi napewa risit...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
S.M. Z versus Machano Khamis Ali and 17 Others; Criminal Application No 8 of 2000: Court of Appeal of Tanzania at Zanzibar (Unreported). Criminal Law Treason – whether or not treason can be...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kushindwa kulipa deni hakuhalalishi ukiukaji wa haki za msingi za mkopaji. Mkopaji pamoja na kuwa ameshindwa kulipa deni kwasababu zozote zile bado analindwa na sheria katika haki alizonazo...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Wafanyakazi wafuatao wanastahili likizo ya malipo, Waliofanya kazi kwa zaidi ya miezi sita mfululizo, Wafanyakazi wa msimu, Wafanyakazi waliofanya kazi kwa kipindi tofauti kwa mwajiri mmoja katika...
5 Reactions
9 Replies
3K Views
Mgomo ni usimamishaji wa kazi, unaofanywa na Wafanyakazi kwa lengo la kumlazimisha au kumshurutisha Mwajiri wao au Mwajiri mwingine au Jumuiya ya Waajiri ambayo Mwajiri wao ni mwanachama, kukubali...
0 Reactions
0 Replies
483 Views
Mahakama Kuu, Dar es Salaam, imetengua hukumu iliyoiamuru kampuni ya simu za mkononi MIC (T) Limited, maarufu Tigo, kuwalipa wanamuziki wa kizazi kipya Hamisi Mwinjuma (MwanaFA) na Ambwene Yesaya...
13 Reactions
383 Replies
36K Views
Katika biashara ya nyama ni kawaida waislamu ndio wamepewa jukumu la kuchinja na bila muislamu kuchinja nyama hiyo ni kama hairuhusiwi kuuzwa. Hili limeleta mtafaruku hivi majuzi kati ya muuza...
0 Reactions
84 Replies
16K Views
MAHAKAMA TANZANIA YASEMA HAKUNA MWANAHARAMU, ILA KUNA WAZAZI HARAMU TU. Kuna hukumu-rejea ilitolewa tarehe 28/5/2020 na Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam kupitia Mh. Jaji...
10 Reactions
81 Replies
20K Views
Habari wapendwa? Tafadhali naomba ufafanuzi wenu juu ya hili Je, nini maana ya Part time worker? Na sheria ya kazi imetafsiri vipi juu ya Part time? Na je, Huyu Part time worker ni lazima...
0 Reactions
0 Replies
411 Views
Imeandikwa na Aron Seni (LLB-Mzumbe) Sote ni mashahidi mpaka sasa kuna mvutano mkali kuhusu Bandari. vyama pinzani, wanasheria na wanaharakati wanadai huu(IGA) ni mkataba wa halali wakati huohuo...
0 Reactions
1 Replies
549 Views
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa Mtandao wa Watoa Huduma ya Msaada wa Kisheria (TANLAP) na Menejimenti ya Legal Services Facility “LSF”...
0 Reactions
0 Replies
426 Views
Dkt. Damas Ndumbaro, Waziri wa Katiba na Sheria anaeleza namna ambavyo siku hizi wasimamizi wa mirathi ambao hawapo kwenye mirathi wanavyodhulumu wahusika haki zao kisa yeye anasimamia mirathi...
0 Reactions
2 Replies
486 Views
Naomba kujuzwa maana ya shauri la kesi kuondolewa mahakamani,na je kesi inaweza kufunguliwa ten au ndio imeishia hapo?
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Mfano mtu akaweka comment ya kumdhalilisha Rais akiwa katika hali ya kulewa, anakuwa responsible au anakuwa exempt?, sheria inasemaje?
1 Reactions
17 Replies
977 Views
Habari Wakuu, Natumaini Mnaendelea salama na majukumu ya kila siku. Hoja yangu ni kwamba, Inawezekana Non-resident akawa na biashara hapa nchini kisheria, Na kama ni Kampuni wanaweza...
1 Reactions
3 Replies
385 Views
Wakuu Mimi binafsi ndio kwanza najitafuta na kila anayefanya kazi ana ndoto za kuwa mtu mkubwa mbeleni huko ndivyo ilivyo na kwangu. Mimi nataka nisajili jina la biashara mbeleni kuwa hata...
0 Reactions
5 Replies
707 Views
Wakuu! Wiki 2 zilizopita nilisafiri kikazi kwenda mkoani kwa kazi ya siku 5. Siku moja kabla ya kurudi nyumbani nikaongezewa kazi ya wiki moja nyingine. Kimbembe kikawa kwa wife nyumbani...
12 Reactions
135 Replies
7K Views
Habari wakuu, samahani et naweza pata vipi maamuzi yanayotolewa na arbitration bodies za TFF?
0 Reactions
1 Replies
606 Views
Habari Wana JF! Naomba kufahamishwa ikiwa Wakili umemkabidhi fedha na hakukamilisha fedha uliyompa unawezaje kumshitaki na mahali gani unapoweza kumshitaki? Na je ukimpa kazi mtu mtu...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom