Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Am looking for a place where I can do my Field work...Please!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Poleni na kazi ngumu ya utafsiri sheria, hata hivyo nahitaji kujua au kupatiwa nakala (softcopy) kwa lugha ya kiswahili za vitu vifuatavyo: 1. mwenendo wa makosa ya jinai 2. Taratibu za sheria...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wanasheria msaada, kuna stamp duty act 1972, which requires any instrument specified in the schedule to the act executed in mainland Tanzania to be chargeable with duty. Swali: Mkataba wa mauziano...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mimi ni mwanafunzi niliyesoma Chuo cha Mwl Nyerere, nimeandamwa baada kutoa ushahidi wa Mwl aliyeniomba rushwa ya ngono. Nilirekodi tukio lote kwa kutumia simu na hadi nina sms niliyomtumia hela...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Habari huku wakubwa. Kuna tetesi kuwa wafanyakazi wapatao 200 na zaidi wamestaafishwa kinyama bila huruma wangali wadogo na mchango wa taifa bado unawategemea. Wamepewa taarifa ya maamuzi hayo...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Nimeulizwa swali juu ya mustakabali wa kisheria wa Wanafunzi wa Kidato cha Tatu huko Morogoro waliopeana mimba Je Kuna Mkondo wowote wa kisheria nyuma yao (hasa mvulana) Nini Hatma yao wote...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nawaomba wataalamu wa sheria wanisaidie katika haya: 1. Sijalipwa mshahara na mwajiri wangu tangu Septemba 2013 mpaka sasa. 2. Nilistaafu tarehe 30.06.2014 baada ya kufikisha umri wa miaka 62...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama file la kesi ya Madai likiwa halionekani mahakamani ni madhara gani mm mlalamikaji naweza kuyapata? 1. Kesi inafutwa 2. Linafunguliwa Lingine 3. Pesa Ambazo namdai mtuhumiwa ndio...
0 Reactions
0 Replies
698 Views
Habari zenu wanajf kwa ujumla. Nawapa kisa kimoja kilichotokea wakati niko kwenye daladala mali ya UDA, ilikua jumatatu ya wiki hii nilipopanda gari la UDA lililokua linatoka ubungo kwenda gongo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Members nadhani wapo wengine kama mimi ambao wanaona sio sawa kwa mtu kuikataa hali ya uhalisia wake aliopewa na mungu, kwa wale waliozaliwa miaka ya 70 kurudi nyuma watanielewa vizuri zaidi...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu, Kwa wataalam wa sheria ninapenda kujua jambo lifuatalo kwani kuna ndugu yangu amejikuta ktk mvutano na mwajiri wake ili tuone kama kuna namna anweza saidika. Mosi ya alikuwa ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nilisema katika comments flani hapa JF kuwa Mh.Kikwete hafai kuwa Raisi kama hawezi kulivunja Bunge ,wanasema hana ubavu au hakuna kifungu kinachomruhusu na kumuwezesha kulivunja Bunge la Katiba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kijana mmoja alikuja kuomba ushauri kwangu na haya ndiyo maelezo yake,anaomba ushauri kwa wanaoijua sheria. Mimi nilikuwa mmoja wa kundi la majambazi waliotingisha sana nchi na kuiba bila...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
counselors, may I have your assistance plz, nimejaribu Kutafuta legislation inayosimamia masuala ya ujenzi WA minara, unfortunately sijaipata.....ur help plz
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani naombeni ushauri. Nilipanga nyumba self, doubleroom, miezi 6 kwa ths 80,000 kila mwezi, mwenye nyumba alisema baada ya wiki 2 umeme na maji vitakuwa vimeingia...hivyo sikuona shaka. Sasa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mara nyingi nimekuwa nikiona kesi za ubakaji thidi ya wanaume, je endapo mwanamke amemuingilia mwanaume bila ithini yake, je sheria inamruhusu mwanaume kushtaki? Embu wataalam wa sheria mtusaidie!
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Jina lake kamili ni Edson oswald Mbogoro.Ni mwanasheria wa kujitegemea aliyepitia machungu mengi ikiwa pamoja na kuporwa ubunge na Nchimbi kule Songea lakini bado ameendelea kuwa mpiganaji na...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Jaman naomba kuuliza kama inawezekana rais asiye na mke akaingia ikulu. Nauliza hv kwa sababu vijana wapenda mageuzi tunataman dr. wetu Slaa aingie ikulu lakini ninavyojua mimi dr. ana mchumba tu...
0 Reactions
72 Replies
7K Views
Anna Tibaijuka najua ni memba humu, ni lini mtateua au kuajiri mwenyekiti baraza la ardhi la wilaya maswa? Cc Mwigulu Nchemba mpe mama hela za kuajiri, wana maswa watahisi mna ajenda ya siri
0 Reactions
0 Replies
1K Views
By Faustine Kapama THE government will not be taken to the International Court of Justice (ICJ) if the High Court will invalidate a decision calling for recalculation of tariffs paid to...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Back
Top Bottom