Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Pole na majukumu wakuu.Naomba ufafanuzi/maelezo kuhusu likizo ya uzazi.
Je,mwajiriwa mwanamke aliyejifungua ambaye hajatimiza miezi nane kazini tangu ajiriwe ana qualify kupata likizo ya uzazi...
Nimeombwa ushauri na rafiki yangu mmoja nimekosa jibu la kumpa issue yenye iko hivi:
Ni mkaka wa miaka 40 alikuwa na mahusiano na mdada mmoja wakaja wakaachana kutokana na huyo mkaka kupata...
wadau kuna habari moja iliandikwa na gazeti la Mtanzania kuhusu kukwama kwa Tume ya kuchunguza uvunjaji wa sheria wakati wa kutekeleza oparesheni tokomeza. jamaa wametoa ufafanuzi. nimeudaka...
Habari wana JF. Hii ni mara ya pili ninarudia kuandika kisa hiki kilichotokea kwa Marehemu profesa Mmoja kwa jina tunamhifadhi. NI vizuri kuandika hii hadithi ili Jamii iweze kutambua uzembe wa...
ninamgogoro wa ardhi katika baraza la wilaya kesi bado japo nimemaliza kutoa ushahidi kwa upande wa mdai na pia mdaiwa anatarajia kutoa ushahidi wake.
yapo mambo ambayo naomba msaada wenu...
Ni msemo mzuri na wenye maana yake inayojipambanua. Lakini ktk uhalisia ni kwamba kuna watu wako juu ya sheria hasa hapa TZ.
Kwa namna walivyojipanga na kuzitafasiri sheria mbalimbali...
Habari zenu wakuu.
Natuhumiwa na kesi ya kutotunza kumbukumbu za dereva. Mambo yalikua hivi, tarehe 8/6/2014 jamaa alichukua pikipiki yangu kwa ajiri ya shughuli zake binafsi huwa namuazima kila...
Je ukikamatwa na kizibiti/ushahidi mfano unauza bangi,ukakutwa na gunia 5 au unauza gongo,ukakamatwa na dumu 20 za lita 20.
1. Je ukifikishwa mahakamani kizibiti chako chote kinaletwa...
Ndg wanasheria,
Kuna rafiki yangu mmoja alimpaga ujauzito binti yeye akaenda masomoni,imepita miaka mitatu hajarudi lakini wazazi wake walimtoleaga mahari huyo binti na akaenda kuishi kwao na...
Tumesikia Serikali ya Uganda ikiwekewa vikwazo na inayoitwa jumuiya ya kimataifa kwa kuweka sheria inayoharamisha ndoa na vitendo vya mapenzi ya jinsia moja. Serikali ya Uingerza pia imetangaza...
Habari zenu wandugu!
Kuna jamaa kaniuliza swali kuwa RB ile ambayo mtu akiripoti tukio polisi huwa anapewa kirefu chake ni nini? Sikuwa na uhakika na jibu langu lakini nilijibu nadhani itakuwa...
Kwa kuwa mpaka sasa mchakato wa kupata katiba mpya umevurugwa kwa makusudi kukidhii masilahi ya makundi machache katika jamiii haswaa WANASIASA nashauri TLS (Chama cha wanasheria Tanganyika)...
Nina mpwa wangu kaolewa miaka mitano iliyopita. Kabla ya kuolewa alikuwa mfanyabiashara, na alipoolewa mumewe akamwambia afunge biashara yake wawe wanafanya pamoja akakubali.
Baada ya muda...
Wana JF poleni na mihangaiko ya toka asubuhi.
Leo baada ya kutoka kanisani nilimkuta mama mmoja jirani yangu, akaniomba ushauri ila ilikuwa ngumu sana kwangu kumpatia jibu la moja kwa moja.
Mama...
CHADEMA wana wanasheria makini kama Tundu Lissu,Marando,prof. Safari,Kibatara,Kichere,Kimomogoro nk. Walioishinda serikali dhidi ya kesi za uchochezi,uchaguzi,ugaidi nk.
Mawakili hawa...
Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam imeweka zuio la muda kwa uongozi wa muda wa Kampuni ya Uwekezaji ya Taifa (Nicol) kwa kuitaka kutojihusisha na biashara au shughuli yoyote ya...
KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna (CP), Suleiman Kova, amewataka madereva wanaoendesha vyombo vya moto, kutoa taarifa za askari wanaodai rushwa pindi wanapobainika na...
Jamani naomba kujuzwa mambo haya.
1. Mtu anapo nunua gari kutoka kwa mtu binafsi maandikishano yanatakiwa kimsingi yafanyikeje?
2. Ni vitu gani vya msingi anatakiwa avipata kutoka kwa muuzaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.