Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Ndugu zangu naombeni ushauri,ndugu yangu amesababisha ajali ya basi na imeua mmoja,baada ya ajali alikimbia hadi sasa ila anatafutwa na polisi na basi lipo kituoni.
Kuna thread ipo jukwaa la habari mchanganyiko,huko Morogoro mikese kuna mtoto wa miaka kumi na nne amelawiti watoto wadogo yani wadogo zaidi yake.Swali langu ni je sheria inasemaje mtu wa umri...
habari za majukumu wana jamii forum; naomba ushauri kadri inavyowezekana, mm ni mtaalamu wa miamba yaani mjiolojia nilipata mteja akiomba kuandikiwa ripoti ya kijiolojia katika eneo lake...
Nilienda jela miaka10 iliyopita kwa kosa la kumpa mimba mwanafunz.Kimsingi mimba haikuwa yang ilikuwa ya mwanaume mwingine
Kwa sababu ya binti kutaka kumhifadhi aliyempa mimba wakapanga dili...
Habari zenu wakuu!
Binafsi naishi nyumba ya kupanga uswahilini na nimegombana na wenye nyumba, wamenikatia umeme kwenye vyumba vyangu, je nitawezaje kupata tena umeme kumbuka mkataba unasema...
Do we have any Renewable Energy Law that is intended to improve the countrys energy security as well as to promote renewable energy generation in Tanzania?
Habari Ndugu,
Ningependa kujua kama kuna yeyote anafahamu juu ya HUKUMU ILIYOTOLEWA JUU YA MITA ZA MWISHO YA "MOROGORO ROAD" ESPECIALLY MAENEO YA KIMARA HADI CHALINZE.....Thanks.
Ndugu wadau wa Jf naomba mniweke sawa hasa katika masuala ya kisheria kwa mtumishi wa uma anapopata matatizo ya kiafya akiwa kazini.
Nina mdogo wangu ameajiriwa halimashauri ya Masasi, Mtwara...
Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila. Picha ya Maktaba
KWA UFUPI
Kesi hiyo imefunguliwa na IPTL ambayo ni mdai wa kwanza kwa kushirikiana na Kampuni ya Pan African Power...
Habari zenu wakubwa
Samahanini nina ndugu yangu anaishi Tabata maisha yao yahali yachini sasa wamejimake make wakabadili bati wakaeka msouth
Cha kushangazwa eti wameletewa barua waende kujieleza...
Naitaji msaada wa sheria za mifuko ya jamii ikoje mwajiri wangu anakataa kusaini form za nssf na kuzuia mafao yangu nisipate
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Mama yangu amefanya kazi kama mwalimu wa awali kwa miaka 19 akiishi eneo la shule ilipo.Amepaendeleza na kupaboresha.
Hakuwahi kupewa likizo wala pesa zake hazikuwahi kupelekwa mfuko wa...
Naomba msaada:
Mdai akipata ruhusa ya mahakama baada ya certification of point of law, ni muda gani (time limit) anapewa kisheria ili alodge appeal.Sasa ni mwaka tangu mdai huyo apewe leave to...
Jf ni kwa magreat thinker wenye tafakuzi mujarabu naamini hapa wanasheria wamejaa na wanao weza nisaidia kwa hili:
1.Nimedhamilia kukifungulia kesi hiki chama cha CCM kwa kutusababishia umasikini...
Ninatafuta wakili yoyote mzuri atakayeweza nisaidia kusimamia kesi dhidi ya Barclays Bank.
Nikiwa kama mwajiriwa wa serikali nilichukua mkopo Barclays mwaka 2012 kama Premier member.
Baadaye...
Mimi ni mwalimu wa shule ya sekondari, niliomba ruhusa kwa mkuu wangu kwa njia ya simu kwani shule ilkuwa imefungwa. Nilikaa muda wa wiki 1 lakini kabla ya kurudi shule nliambiwa ile nyumba...
Naombeni ushauri jamani nimefanya interview katika company fulani nimekubaliwa ila nahisi kuna utengenezwaji wa rushwa ili niingie kazini sasa nishaurini nifanyeje?
Na kazi naitaka nitumie sms...
MKURUGENZI wa Utetezi na Maboresho kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Harold Sungusia, amesema adhabu ya kunyongwa inachangia kupoteza nguvu kazi nchini.
Sungusia alitoa kauli...
Heshima mbele sana wakuu.
Kama ilivyoelezwa kwenye kichwa cha habari hapo juu, naomba kujuzwa utaratibu unaotakiwa kufuatwa ili kuweza kusajili eneo ambapo tayari kuna nyumba na watu wanaishi...