Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Nawasikia watu wengi wakisema eti tukiharibu hapa tutakuwa tumejiharibia miaka mingine 50 mbele!Ama utasikia Kenya wameanza kujuta kwa kupitisha katiba waliyodhani ni mkombozi na sasa magavani wa...
0 Reactions
1 Replies
788 Views
Wale viongozi wa jumuiya ya UAMSHO leo hii wameachiwa huru kwa masharti ya mahakama. Viongozi hawa wamewaamsha Wazanzibari kwa kudai nchi yao kutoka kwa wakoloni Tanganyika na ndio kama tunavyoona...
0 Reactions
0 Replies
862 Views
Ndugu zangu wanajamii naomba kujuzwa kuhusu hili. Mfanyakazi anakuwa na haki gani ama kama kuna malipo yoyote pale mkataba wake wa kazi inapokatishwa ghafla.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimesoma hii kipande nkaona ni vyema tuwekane sawa kwenye gazeti la mwananchi wanasema mh lema amefungiwa miaka 5 kushiriki uchaguzi wowote sasa kama hivi nahisi wakati muafaka wa kukimbilia rufaa...
0 Reactions
9 Replies
10K Views
"kujichukulia sheria mkononi" kwa lugha ya kisheria kwa kiingereza yanasemekaje!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Samahanin naombeni kujua.Je kwa mtu mwenye diploma ya accounts upper second anaweza kuchukua degree ya sheria .mliman au mzumbe...?
0 Reactions
1 Replies
876 Views
I salute you all! I 'm writing this thread on behalf of my uncle in regard to his request for legal advice. The below information I'm going to provide is obtained from him and quoted in full...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
msaada wakuu unapokuwa umetenda uhalifu ukakamatwa na kuwekwa lock up kwenye kituo cha polisi, ni mazingira gani yatakayo kuwezesha kupata dhamana ya polisi?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Napenda kujua sheria ya kazi ambayo inaruhusu kwa mwajiri wako kukukata mshahara kama fidia la kosa ulilolifanya kazini, na ni hatua zipi za kisheria zinatakiwa kuchukuliwa kabla mwajiri hajakata...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Samahani wakuu, Naombeni ushauri, nataka kununua kiwanja, kwa sh.7,000,000 mshikaji anayeniuzia nimepeleleza ni kweli ni chake na ndio anayetambulika na majirani.Tatizo lipo kwenye mauziano...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wanaJF nimesoma katika magazeti ya jana na leo kuhusu amri iliyotolewa na mahakama kwamba gorofa 12 kati ya 18 za jengo lile lililojengwa pale karibu na ikulu zibomolewe! Hii kitu...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Jana Chama chetu cha Wanasheria wa Tanganyika tulifanya uchaguzi wa viongozi wetu. Peter Kibatala alikuwa ni mmoja wa wagombea wa.nafasi ya Umakamu wa Rais - nafasi aliyokuwa akiitetea kwani...
0 Reactions
150 Replies
17K Views
Nilinunua pikipiki then nikampa mtu kwa mkataba wa kuniletea elfu kumi kila siku na matengenezo ni yake, ila baada ya mwaka pikipiki inakuwa yake, lakini mtu huyu anaweza kukaa siku tatu ajaleta...
0 Reactions
1 Replies
815 Views
Tajiri wa lake oil na ulawiti wa mfanyakazi wake Barua ya mlalamikaji kwa Waziri Mkuu Mlalamikaji katika barua yake kwa Waziri Mkuu, anaanza kwa kusema, "Mheshimiwa, jina langu lipo hapo juu ni...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wakuu naomba mnipatie template ya sale agreement in both swahili and english language tafadhali, nataka niuze kibajaji changu in a more sophisticated way to avoid probable inconveniences.
0 Reactions
0 Replies
965 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu hivi majuzi nilipata nafasi ya kuudhuria kesi ya jiran yangu ambaye ni fundi radio aliyekamatwa na vitu vya wizi katika ofisi yake ya kazi, wiki moja...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Introduction: An In house Counsel is a Lawyer employed in a corporate to handle specialized tasks such as Tax work, mergers and acquisitions, Labour Laws and Intellectual property, something...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna shamba ambalo kwa sasa ni kiwanja.Mzee/baba alinunua mwaka1985 heka 2.5.Alijenga nyumba ndogo ya mlinzi miaka ya tisini.Miaka ya 2000 mwanzoni akataka kuanza kujenga nyumba Kubwa lakini...
0 Reactions
0 Replies
818 Views
MCHUNGAJI WA KANISA LA EAGT JIJINI MBEYA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 30 NA VIBOKO 12 BAADA YA KUBAKA NA KUMPA MIMBA MWANAFUNZI WA MIAKA 19..!! MCHUNGAJI wa Kanisa la Evangelical Assemblies of...
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Jana natoka zangu ofisini jioni hii niko kwenye foleni, dereva kibajaji kaja na abiria wake 3 wanaume kawapakia kwa nyuma. Akanipigia honi na kunionyesha ishara ya kuomba aingie kwa mbele kwani...
1 Reactions
80 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…