Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Nilishitakiana na mwajiri CMA nikamshinda na akaamriwa kunilipa kiasi fulani cha pesa. Tuliandikiana mahakamani na yeye akaweka sahihi maamuzi yale. Sasa muda wa malipo umefika mpaka leo ni...
0 Reactions
2 Replies
891 Views
Pamoja na umri huu, lakini bado sifahamu mahakama za hapa bongo ni lugha gani ndo inatumika hata katika utetezi.... je ni English al maarufu kikristo au ni Kiswahili?......... Ni hayo wanasiasa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana-JF, Naomba ufafanuzi au tafsiri wa kisheria kuhusiana na na hukumu iliyotolewa Mahakama Kuu kuhusu kesi ya uanachama wa Zitto Chadema. Mahakama imetoa amri ya pingamizi Kamati kuu ya...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Chet CHANGU CHA FORM FOUR HEAD MASTER WANGU KAKIUZA! NIMEAMBIWA NIMCHUKULIE #RB , SASA NAOMBA MNIJURISHE MAANA YA RB KABLA SIJAENDA CHUKUA WAZEE! Msaada WENU UTASAIDIA MAISHA YANGU
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Closed
Nimenukuu kutoka mtandao wa -----------forum: "Taarifa zilizotufikia kutoka vyanzo vya kuaminika ndani ya Chadema zinasema,Jaji Robert Makaramba ndiye aliyeandaa kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya...
3 Reactions
66 Replies
9K Views
Modes naomba muufute huu uzi umejirudia cc. Invisible
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Maamuzi ya mahakama leo ni fundisho kwa watu wanaoshabikia bila kufikiri, ni fundisho kwa watu kama kina yericko nyerere kwamba ni busara kufikiri na sio kukurupuka tu. Si nia yangu hata chembe...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Mchezaji wa simba sports club akihisi coacher hatampanga kwenye mechi anaweza kwenda mahakamani kuzuia mechi isichezwe kwasababu ya hisia kuwa hatapangwa na atapata loss kwa washabiki wake, na...
19 Reactions
80 Replies
9K Views
Hoja kuu zilizompeleka Zitto Z.Kabwe mahakamani ni mbili.Kwanza, kuizuia Kamati Kuu ya CHADEMA kumjadili juu ya uanachama wake kufuatia barua aliyopokea ikibeba tuhuma 11 dhidi yake.Pili, kuiomba...
13 Reactions
27 Replies
3K Views
Wapendwa, Naomba kujua ninaweza kupata wapi electronic version ya Law Report of Tanzania (LRT). Is it synonymous with Tanzania Law Report (TLR)-
0 Reactions
9 Replies
6K Views
HII nchi inakokwenda sijui ni wapi? PCCB wamelala usingizi mzito. Hawana msaada wowote kusaidia kukomesha katabia ka baadhi ya wafanyakazi wa hizi kampuni za simu zenye kuuza laini za uwakala...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Habari zenu ndugu zangu! Mimi ni mwanachuo wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ninayesomea Shahada ya Kwanza ya Sheria. Ninafanya utafiti kuhusu CHANGAMOTO ZA KISHERIA ZINAZOWAKABILI MAAFISA UHAMIAJI...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba mwenye link ya study materials za Family law apachike hapa au ani PM wandugu. asanteni.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu Sisi Tunao Soma Tunaombeni Muwe Mnatusaidia Pale Tunapo Kwama Katika Masomo, Sasa Nilijenga Dhana Kichwani Kwangu Kwamba Manslaughter Ni Mauaji Pasipo Kukusudia, Lakini Leo Nikaona Section...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wadau habari. Naweza kupata soft copy ya Societies Act, [Cap. 337 R.E 2002] kwa mwenye nayo Natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Naomba ushauri wana jamii,mimi nimeoa mke miezi 7 iliyopita,ndoa ya kiserikali.Mimi na mke wangu tunaishi mikoa tofauti kutokana na mazingira ya kikazi,ndoa nilikwenda kufunga nae ktk mkoa...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Naomba ushauri wana jamii,mimi nimeoa mke miezi 7 iliyopita,ndoa ya kiserikali.Mimi na mke wangu tunaishi mikoa tofauti kutokana na mazingira ya kikazi,ndoa nilikwenda kufunga nae ktk mkoa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ukiwa geti la kwanza, upande wa mandela roads kwenye kituo cha kuzalisha umeme songas kuna tangazo hili, hivi kisheria imekaaje tangazo kama hilo wakati sehemu hiyo inavyoonesha ni hatari na sio...
0 Reactions
0 Replies
960 Views
Wadau washeria naomba kuelemishwa sheria inavyoapply kwnye vyama vya siasa na mahakama ina sehemu gani juu ya maswala ya vyama vya siasa nikihusisha direct sakata la Zitto kabwe kuweka pingamizi...
0 Reactions
0 Replies
947 Views
compare and contrast the legal language and other languages
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…