Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

"District court na Resident court.. ni mahakama zenye mamalaka sawa,na hakimu wanaohusika katika mahakama hizi wana elimu sawa yaani wote wana degee ya sheria...tofauti inakuja kwenye kusikiliza...
0 Reactions
2 Replies
907 Views
Tunaofanya kazi mahakamani, tunachoshwa na usanii huu. Huyu kijana katolewa, kamwacha Mwenzake kwa kipi hasa na huko alikopelekwa ni wapi, baadaye sisi tuanze kualaumiana. Binafsi naona kama DPP...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kumekuwepo na taarifa zinazojirudia rudia zihusuzo mauaji ya vikongwe hususan wanawake katika mikoa ya Kanda ya Ziwa. Mara nyingi mauaji haya huhusishwa na imani za kishirikina na kwa bahati...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar (DPP), Ibrahim Mzee Ibrahim. Mahakama Kuu ya Zanzibar imemtaka Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar (DPP), Ibrahim Mzee Ibrahim, kuwasilisha kwa maandishi sababu za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naibu Waziri,Mahadhi Juma Maalim. Yapo baadhi ya mambo yanayotokea Tanzania ambayo hakika hayawezi kutokea mahali pengine duniani. Ebu fikiria kisanga hiki. Pamoja na kuthibitishwa wizi wa zaidi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
KENYA PRESIDENTIAL PETITION UPDATES IN SUMMARY FORM The updates of hearing of presidential election petition in Kenya are as summarised hereunder. First but not foremost, an application...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna maeneo ni mashamba ambayo yanalimwa na wazazi wetu. Halmashauri wanataka kuuza viwanja eneo hilo na wanasema hatupati chochote, je sheria ya ardhi inasemaje? Hatuna haki ya kumiliki viwanja...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
habari wana jf nimemuweke mpangaji mwenzangu dhamana kwa kosa la shambulio je kwa kosa kama hili kama akikimbia nini kitatokea kwangu na solution nini je mlalamikaji asipotokea mahakamani itakuaje
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna kesi ya madai ilipelekwa mahakama kuu ikafutwa tar 21 .mwezi wa pili leo ikaanza tena alafu ikapangwa mahakama ya wilaya ni sawa
0 Reactions
11 Replies
2K Views
habari wanaJF.. Naomba ufafanuzi wa kisheria katika hili... story ina mlolongo mrefu sana, ila naomba niandike kwa kifupi sana ili muweze kunielewa nahitaji nini hasa.. Baba alipofariki miaka...
0 Reactions
1 Replies
997 Views
Hivi nchi inaweza kua naamani kwa kutumia sheria pekeyake?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wakuu naomba mwenye kuweza kunisaidia judgement ya Waziri Amani v The Republic [1980] TLR 250 tafadhali!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba mnifafanulie "The imposition of sentences in civil cases"
0 Reactions
3 Replies
823 Views
Do we have a data privacy Act or any other laws dealing with Data Protection in Tanzania? If "YES" please i would love to get a copy and if "NO" then how do we deal with Data Privacy issue in...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
nimemuwekea mtu dhamana kwa kosa la kudhuru mwili yaani shambulio sasa nataka kujua kuna madhara gani nitakayoyapata mimi
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Mwezi mmoja uliopita jeshi la polisi lilitangaza kukamatwa kwa magunia tisini ya bangi na ushahidi wa picha ulikuwepo chakushangaza ni hayo magunia yalikua tisini pindi walipoyakamata,muda huu...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Wana JF, kesi inayomkabili Lwakatare haina tofauti na Ludovick. Hukumu atakayopewa Lwakatare lazima pia iwe sawa na Ludovick. Kama kweli Ludovick katumiwa na mzee wa mipango aitwae Magulu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
naomba tafadhali mwenye taarifa sahihi kuhus kesi inayomkabili yule kijana wa kikenya aitwaye joshua atueleze kama kesi yake nayio ni ya kigaidi kama hii inayomkabili nlwakatare.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Tanga. Hatimaye, wahamiaji haramu 47 wa Ethiopia waliokamatwa wakiwa wanasafirishwa ndani ya makontena, wamehukumiwa kifungo cha miezi sita jela kila mmoja, baada ya kupatikana na hatia ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
KWA UFUPI Mwanamke ambaye ni ndugu wa washtakiwa hao, alionekana kama mtu “aliyepandwa mashetani” na kutaka kumvamia askari wa kike ambaye katika kujihami alimpiga ngumi, kisha watu wakafanikiwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom