Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Hivi sheria inamruhusu askari polisi kufanya kazi ya ulinzi kwa wachi?Maana hata kazi yao wameitelekeza kabisa! Wanapewa mpaka job card ambayo husainiwa kila anapotoka.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu wanasheria huwa nasikia hii kitu, ni mazingira gani yanasababiha Preminary Hearing, hasa kwenye kesi za traffic?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
post hii naileta hapa kwenye jukwaa la sheria nikiwa na matumaini kwa wanajamvi pamoja na mengine kunisaidia masuala ya kisheria imekaaje,.mimi ni mtumishi wa MAMLAKA YA RELI YA TANZANIA NA ZAMBIA...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za sikukuu wakuu! Ninaomba ushauri wenu kwenye hili ninalosimulia hapa chini. Ni kwamba hapa ninapoishi nina jirani yangu ambaye ana plots 2, moja niko opposite nayo na nyingine ni ya nne...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Rufiji: Watu wawili wanaodaiwa kuwa raia wenye asili ya Somalia, wamepewa ekari 100 za ardhi na Halmashauri ya Kijiji cha Chumbi C, Kata ya Chumbi, wilayani hapa bila kushirikisha wananchi wala...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau naomba ushauri. Nyumba yangu ina ukuta na geti. Mtu hawezi kuingia bila kukaribishwa, labda awe mwizi. Nataka kutega umeme madirishani na mlangoni ili kama mwizi karuka ukuta akigusa tu...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kuna kijana amefanya ka kwa wachina miezi miwili,kabla ya kupewa mkataba,akapata ajali akiwa kwenye gari la kazi akaumia nyonga,je afanye nini ili apate haki yake?
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Habar wakuu.nimesababisha ajar nimegonga m2.usafiri wangu uko polisi mgonjwa amelazwa.nifanyenje kama atakufa,ndugu zake wanasema nichangie gharama za hospital nanimefanya hvyo,sasa kisheria...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Raia wa China,Xu Wenze (29) amefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Wilaya ya Mpanda akikabiliwa na tuhuma za kukamatwa na meno matatu ya fisi.Mwendesha mashitaka wa hifadhi ya wanyamapori ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
hili swala ambaye amelishikia bango zaidi ni mbunge wa temeke mh' abbas mtemvu na mkuu wa wilaya wa temeke Sophia Mjema. wanaendelea kuwalagai wananchi wakati wanajua kesi ipo mahakamani.kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kardinal Pengo ana haki zote kuhoji ni wapi upepelezi wa mauaji na kupigwa risasi kwa mapadri kulikofikia. Kardinal Pengo akiwa kiongozi mkuu wa mapadri na waumi wake ana haki za kuhakikisha...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Wana JF naamini ndani ya jukwaa la sheria nitapata msaada wa hili neno "Defence Alibi" maana yake nini?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Amani na mshikamano ukae nanyi wote wakuu wa JF! ni mara ya kwanza kuanzisha mada katika jukwaa hili. Mimi sio mwanasheria na ngependa sana kujua kwanini wahalifu mbalimbali wanapokamatwa na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nimegundua kuna mtu kaiba jina analitumia kimasomo. Msaada wa kisheria kuhandle hii issue. amekopa hata bodi ya mikopo. msaada wandugu.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hii imetokea leo mapema.source afande wa oysterbay
0 Reactions
54 Replies
8K Views
nataka kufahamu if corona court is part among the other types of court
0 Reactions
0 Replies
763 Views
1.inapotokea umeenda polisi kupeleka malalamiko yako....pale charge room huwa kuna kitabu ambapo charge room officer huandika maelezo.nataka kujua a.kile kitabu kinaitwaje? b.ndani ya kile kitabu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waheshimiwa wana JF Nimeleta taarifa hii ambayo chanzo chake ni WAPO FM inayosema kwamba hapo jana mnamo majira ya saa kumi jioni maeneo ya Kinondoni Mkwajuni Bondeni kulitokea mauaji. Tukio hilo...
0 Reactions
64 Replies
8K Views
bofya hapa lakin samahani nimeshindwa kuweka maelezo ni mengi mno
0 Reactions
10 Replies
2K Views
JESHI LA POLISI LINAWASHIKILIA MHANDISI MKUU (MAIN CONTRACTOR) WA JENGO LILILOPOROMOKA NA MHANDISI WA WILAYA YA ILALA AMBAYE NDIE ALIYETOA KIBALI CHA KUJENGWA JENGO HILO LAKINI PIA MKUU WA MKOA...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom