Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Wakuu hata kama Lwakatare atafunguliwa kesi uwezekano wa serikali kushinda ni mdogo sana, soma hapa chini. A Youtube picture/video by itself is not enough to win your case. “If you cannot prove...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimekuwa nikisikia kila mara madiwani wa halmashauri fulani wamemwazimia mtumishi fulani tena maeneo mengine madiwani wamemkataa mtumishi fulani labda mkurugenzi au yeyote. Najiuliza kama hivyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Peter Serukamba. KWA UFUPI “Kutokana na kazi kushindwa kufanyika kwa wakati hasa kutokana na zuio la wananchi mahakamani.” Dar es Salaam. Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu wanakusudia...
0 Reactions
0 Replies
930 Views
Jamani juzi tu tumemzika Dada yetu Elikiza, leo trafiki mwingine kama anavyoonekana. Jamani madereva tuhurumieni.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Je ni kosa kuendesha gari ambalo kioo cha mbele kina Crack (ndogo) ? maana nasumbuliwa sana kwa hili... je wale ambao wameweka ribbon kama urembo kuuficha hiyo crack mbona hawasimamishwi?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana jamvi. Naomba kupata mchanganuo wa jinsi sheria inavyo weza kumlinda mwanachi wa kawaida kuhusu hili. Makampuni ya simu yamekuwa yakifanya wizi ambao unaonekana wazi ama usumbufu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ninaitaji msaada wa kisheria tafadhali je endapo umeishi na mwanaume kwa mda wa miezi 8 pasipo kufunga ndoa na katika kuishi kwenu kuwepo na haadi za kufunga ndoa hapo baadae lakini ikatoea...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
BREKIN NEWWWWS WAFUASI 52 WA PONDA WAHUKUMIWA KIFUNGO CHA MWAKA MMOJA JELA BOFYA HAPA KUPATA HABARI KAMILI
0 Reactions
0 Replies
989 Views
Kukaa rumande kwa zaidi ya saa 24 bila kufunguliwa mashitaka. Je huu si uteswaji wa wazi. Au ndio yuko kizuizini? Tumpokee lini mtaani kama shujaa kwa mkutano
0 Reactions
28 Replies
3K Views
when does the life start according to the law?help me please!
0 Reactions
1 Replies
672 Views
Hivi katika sheria za kazi kunakipengele kinasema uumpe mfanyakazi mkataba wa mwezi mmoja mmoja kila akimaliza tu unampa mwingine wa mwezi tena nizaidi ya mitano sasa utaratibu ni huo huo...
0 Reactions
1 Replies
702 Views
Kuna binti nilikuwa ninamahusiano naye ya kimapenzi, Binti anaishi mkoa wa Dodoma mi ninaishi Pwani, huyu binti kunakipindi aliniambia anaujauzito wangu, hyo ilikuwa ni baada ya mimi kwenda Dodoma...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Naanza kupata picha juu ya kesi ya Lwakatare. Hii si kesi ya kweli kwani kama kweli serikali yetu ingeamua kupambana na magaidi ingeanzia mbali: 1. Waliomtesa Dr. Ulimboka ni akina nani? Je...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Mtu pekee ambae bila shaka umma una hamu ya kusikia kauli yake kuhusu ukweli wa ile video ambayo baadhi wamedai ni fake na wengine kudai ni ya kweli ni Lwakatare mwenyewe. Maelezo ya nini...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
<strong>Jamani wadau wa sheria naombeni msaada!<br>Mi nimekua mfanyakazi wa kuajiliwa shirika fulani hapa TANZANIA yapata miaka 8 lakini nimeamua kuacha kazi mwezi ulioisha ili niendelee na maisha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MCHUNGAJI wa Kanisa la Yehova la mjini Songea mkoani Ruvuma amehukumiwa kifungo cha miaka saba jela baada ya kupatikana na kosa la wizi wa vifaa vya umeme.Hukumu hiyo ilitolewa dhidi ya mchungaji...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wapendwa tuliambiwa ati Kamanda Lwakatare ni Gaidi ndani ya nchi ambayo walisema ni kisiwa cha amani na mfano wa kuigwa na mataifa ya nje hivi hii imekaaje Gaidi from peacefull State?Na kumbe...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kesi hii ya Kusisimua ilitokea katika mahakama ya kijeshi Nchini na kuibua hisia kali kwa waliokuwa wanaujua ukweli. Jeshi (Kikosi cha Jeshi-KJ, ambacho ni kikosi cha huduma, na Kikosi cha...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
“Katika kesi hii ya Lwakatare ninachokiona ni matumizi mabaya ya sheria na wale waliombakizia kesi Lwakatare wanastarehe na kufurahi kuona Lwakatare anaenda kuishi gerezani”alidai Profesa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mwanza. Watu 462 kati ya 1,205 waliokuwa wakisailiwa na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kupitia Baraza la Famasi, wamebainika kuwa na vyeti bandia. Kubainika huko kulijitokeza wakati wakifanyiwa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom