Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Wakuu jana na leo gari la matangazo limekuwa likipita mitaa mbalimbali ya jiji la Mwanza na vitongoji vyake likitangaza tangazo la serikali ya CCM la kuwaamuru wamachinga wote, mama ntilie na wote...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hivi ukimtole mwanamke mahali na umezaa nae baada ya hapo mkakosana na kutenge je anahaki ya kuomba talaka? na kuhusu mtoto ninahaki ya kumchukua baada ya muda gani mtoto mwenye now ana mwaka...
1 Reactions
24 Replies
6K Views
Naomba msaada wenu kama kitendo hiki hakiwezi kuibua a cause of action in tort au la.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Kwa anayejua naomba anisaidie,ni viongozi gani wenye kinga ya kimahakama?
0 Reactions
5 Replies
948 Views
na Walter Mguluchuma, Mpanda MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Mpanda imemuhukumu Kassim Lugendo (41) mkazi wa Kijiji cha Kambanga kifungo cha miaka 10 jela baada ya kupatikana na hatia ya...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Jackson Simbo anayedaiwa kumgonga kwa gari marehemu trafiki Elikiza Nko wiki iliyopita maeneo ya Bamaga-Mwenge jijini Dar es Salaam amepandishwa kizimbani leo katika mahakama ya Kisutu
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza sasa limeamua kutumia polisi wa kimataifa (Interpol) kuwasaka viongozi wawili wa dini wanaodaiwa kutorokea nchi za nje kukwepa kukamatwa kwa tuhuma za kurekodi kanda...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kutokana na sheria ya ndoa ya Mwaka 1971, ndoa inatafsiriwa kuwa ni muungano wa hiari baina ya mwanaume na mwanamke, muungano unaokusudiwa kudumu kwa muda wote wa maisha yao. Kutokana na tafsiri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habari za jf? Nia na madhumuni yangu ni kutaka kujua je kama kiongozi wa kanisa katoliki duniani anaweza kushitakiwa au kukamatwa? Kwa maana kama sikosei ilikuwa mwaka 2010 kanisa lilikuwa na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Salaam wanajamii, Ninaomba kuuliza maswali yafuatayo: 1:Hivi naweza kuchimba madini nikiwa na primary mining licence bila kuwa na mining licence? 2:Kama nina primary mining licence ni hatua zipi...
0 Reactions
0 Replies
716 Views
KWA UFUPI Wakaniangalia kana kwamba nimetoka kwenye sayari nyingine. ‘Hii ni Tanzania Bwana. We vipi?’ ‘Kwani hii ndiyo maana ya Utanzania?’ ‘Sasa. Wale wasomi wenzio wanakwapua mabilioni, wewe...
0 Reactions
0 Replies
939 Views
HI. naomba nisaidiwe katika hili,kuna haki gani anayotakiwa kupata mfanyakazi ambae amesitishiwa ajira yake eti kwasababu elimu aliyokuwa nayo haiendani na nafasi ya kazi aliyonayo kwa wakati...
0 Reactions
0 Replies
757 Views
Mtoto wa Kaka yangu ilikua apelekwe india kwa ajili ya macho i mean alikua na uvimbe watu wa insurance yake wakachelewa kumpatia go ahead wakawa wanamzungusha miezi mingi tu mpaka amekua kipofu...
0 Reactions
0 Replies
742 Views
Mimi nidereva wa kampuni nilioajiriwa.. Hufanyishwa Kazi nyingi tofauti na Kazi yangu ya udereva na kwamalipo Yale Yale...!! Swali langu ni Jeh Sheria inambana vipi muekezaji kama Uyu...!!!?
0 Reactions
4 Replies
964 Views
Ndg wan JF, kujua kesi ya Rwakatale inaanza kusikilizwa lini? Mbona sijasikia hata humu jukwaani ni lini inaanza kusikilizwa? naomba kufahamishwa au ndo ushahidi bado?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
jaman natishiwa maisha,naogopa kutoa taarifa police
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Estimated value of the deceased estate determines the appropriate court to file an application for grant of probate or letters of administration. Critically discuss basing on the current updates...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, Ningependa kujua ni lini ile sheria ya kua kila kampuni ya kibiashara ambayo inataka kuwekeza katika sekta yoyote ni lazima ipewe miaka kadhaa ili baadae ndio ianze kulipa kodi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kesi tajwa huenda ikachukua muda zaidi, ikiwa haki itatendeka, kwa maana ya hadi wahusika wote washukiwa katika kesi hii watakapo hojiwa... Kwa jinsi hali ilivyo sasa wanaopaswa kuunganishwa na...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Helloh peoples...........................! may u tell me the source of labour law in Tanzania? Function and composition of the labour court in Tanzania identify institution that implement...
0 Reactions
9 Replies
9K Views
Back
Top Bottom