Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Sijaona any criminality inayotokana na uvutaji wa bangi isipokua negative perception tuliyojijengea miaka mingi kuwa bangi sio nzuri.
Hili limenifanya nione kua bangi namsaada mkubwa ukiondoa...
Serikali imesema kuwa uchunguzi wa tuhuma kubwa saba za ufisadi utakamilika katika mwaka wa fedha 2013/14.
Jukumu hilo litatekelezwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru)...
Sumbawanga. Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Wilaya ya Mpanda, katika Mkoa wa Katavi, imemhukumu Abisai Joseph (40) wa Mtaa wa Kigamboni, kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya...
Bi Celestina Ananius(35) amenusurika Kuuawa na Padri ambaye kwa Sasa anaishi kwenye Makazi ya Katoliki Mbezi kwa ajiri ya Masomo.Dada huyo anasema amekuwa katika ngono na padri huyo tangia akiwa...
Hivi ukweli na haki (truth and justice) vinaeliwekaje katika fani ya sheria? Hivi katika mahakama hasa mahakama za tanzania kuna haki kweli au basi ndo mkubwa mpishe apite?
Naomba maelezo na hoja...
Parliament yesterday tasked the government to conduct thorough investigation to establish the names of Tanzanian personalities holding offshore bank accounts and the amounts held. The move comes...
Wakuu habari zenu kwa ujumla? naomba kufahamishwa kuhusu Mbunge anapofanya kosa la jinai akiwa ndani ya Bunge {Mjengoni} je ataadhibiwa na kanuni za Bunge tu au kuna uwezekano wa kufunguliwa...
Wanasheria nisaidieni, mimi siyo mbunge lakini nina hoja kibao ambazo nimejaribu kuziwasilisha kwa wabunge wangu kila mmoja nikimpa ya kwake, lakini mmojawapo aliichakachua, ikakosa nguvu bungeni...
HUKUMU YA SHEIKH PONDA YAKUMBWA NA MIZENGWE LEO
HUKUMU ya Kesi inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya maandamano...
Nina mdogo wangu aliemaliza kidato cha nne mwaka jana bahati mbaya alifeli ila alitarajia kurudia mtiani mwakani, umri wake ni miaka 21 alichelewa kuanza shule. nimesikia leo anamimba aliyempa...
Habari waheshimiwa,ninashauri linaloendelea mahakama ya mwanzo buguruni kuhusiana na mirathi,msimamizi wangu wa mirathi anauza mali za mirathi bila kugawa,amekana shitaka na ameiambia mahakama kua...
Mim ni Mtanzania niliepata passport Zazibar lakin kwa sasa natumua chet cha kuzaliwe chengine ambacho baadhi ya taarifa ambazo ni tofaut na kile cha mwanzo nilichotumia kutengezea passport. Jee...
Wana Jf, ninaomba mwenye Link ya Tanzania Law Report na kesi ya mwenendo wa kesi ya mwamwindi v R na hukumu yake. NitaSHUKURU SANA. nakama link ya kesi ya mwimwindi haipo basi nijulishe nitawapa...
Jaamani Habarinii za asubuhi!!kuna hili swala la hawa wafanyakazi wa eroplink.Kuna Bank Moja maarufu jina kapuni nilibahatika kufanya kazi mwaka mmoja chini ya hii kampuni ya erolink bahati nzuri...
Naendelea kuifuatilia kesi hii na jinsi Chadema inavyomtetea afisa wake mkuu wa usalama bw. Rwakatale. Napata kigugumizi sana nikilinganisha au nikitabiri matokeo ya kesi iwapo itafutwa kwa...
Mkurugenzi wa Usalama wa Chadema Willfred Lwakatare na Ludovick Rwezaura akiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Wiki iliyopita.Picha na Maktaba.
KWA UFUPI
Uamuzi wa kusikiliza maombi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.