Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Public flogging in Pakistan Human Rights Muko wapi kuwatetea hawa jamaa?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
....Kuna bwana mmoja kanunua shamba jirani yetu!mipaka iliyokuwepo tangu awali sikuwahi kusikia tatizo la mipaka.baba yangu alifariki july,ss huyo jirani mama yake ambaye alikuwa mmiliki...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
  • Closed
Jana Mahakama imewataka polisi wametakiwa Kuacha kumfungua Pingu sheikh Ponda kwani ni udhalilishwaji mkubwa kwa haki za binaadamu nchini. wametakiwa kuacha kutumia vibaya sheria zilizopo...
1 Reactions
40 Replies
6K Views
ALHAMISI, FEBRUARI 14, 2013 05:40 KULWA MZEE NA MANENO SELANYIKA, DAR ES SALAAM *Asema anadaiwa kuhusika na Al-Shabaab, vurugu za Zanzibar *Polisi yawaonya Waislamu wanaotaka kuandamana kesho...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
  • Closed
*Asema anadaiwa kuhusika na Al-Shabaab, vurugu za Zanzibar *Polisi yawaonya Waislamu wanaotaka kuandamana kesho MKURUGENZI wa Mashitaka Nchini (DPP), Eliezer Feleshi, amesema hatumii madaraka...
3 Reactions
105 Replies
10K Views
MCHUNGAJI wa Kanisa la PAGT, Isaya Rutta (52), mkazi wa Kijiji cha Katoro, Wilaya ya Geita, mkoani Geita, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuchinja ng'ombe mmoja na mbuzi wawili...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wanawake, watoto na mabinti visiwani Zanzibar wanadaiwa kupigwa picha za ngono za video za kuwadhalilisha ambazo husambazwa kwenye mitandao ikiwamo ya simu. Vitendo hivyo vya udhalilishaji wa...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Source majira Katika hari inayoelekea kujitungia sheria kulingana na matwakwa ya pande anayoamini yeye either kwa kushauriwa au kwa matakwa binafsi mkuu wa Wilaya Ya Temeke bi Sofia kaamuru...
0 Reactions
51 Replies
5K Views
  • Closed
Wana JF maandamano ya waisilamu kesho hayana baraka za jeshi la polisi. Je viongozi na wafuasi wengine waliohusika kuratibu maandamano hayo watakubaliana na hilo? Nawasilisha. Chanzo: TBC usiku...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
[SIZE=3][FONT=book antiqua][COLOR=black]Ma
0 Reactions
8 Replies
1K Views
HATIMAYE Jumuiya na Taasisi za Kiislamu jana zimetangaza maandamano makubwa yatakayofanyika Februari 15, mwaka huu iwapo Katibu wao, Sheikh Ponda Issa Ponda, hatopewa dhamana. Azimio hilo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
MWALIMU wa Shule ya Msingi Mfaranyaki iliyopo Manispaa ya Songea, Theresia Fuli anashikiliwa na polisi kwa kosa la kumjeruhi kwa kumng’ata ulimi hadi kukatika wifi yake kwa wivu wa mapenzi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imemhukumu kifungo cha miaka 6 jela, Abdallah Mzombe (39) baada ya kupatikana na hatia ya kumuibia rais mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi habari za saa hii! Hope mko poa. Nataka kuattend a certain conference in us, via a company. Je ni documents gani muhimu zinahitajika,na ni vitu gani nitimize ili niweze pata visa? Na visa...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Rais kikwete amemteua jaji mujulizi aloys kuwa m/kiti tume ya marekebisho za sheria. Kabla ya hapo alikuwa chuo cha mahakim lushoto. Kama mtakumbuka wakti wa kesi ya mh lema. Alikataliwa na wakili...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Za asubuhi waungwana, hivi karbuni nilisikia kwenye radio(sikumbuki ni redio station gani)ya kwamba nchi yetu inareview sheria ya ndoa ili kuwalinda mabinti wenye umri chini ya miaka 18. Naomba...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hivi raisi anapoteua jaji anakua anamfahamu au anateua kwasababu katiba ina mpa mamlaka? Nakama ni kweli mbona kwenye case ya lema chande alijitoa akidai anintres na case.
0 Reactions
3 Replies
998 Views
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Kampala nchini Uganda, wameilalamikia Serikali ya Tanzania kwa kulitoza Sh3 milioni basi lao kwa madai ya kuzidisha uzito lilipopimwa kwenye mizani wakati likitokea...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nimharibiwa siku yangu yote, asubuhi wakati naenda kazini nikaona niingie sheli tabata kujaza mafuta, wakati nataka kutoka barabarani basi la wafanyakazi la polisi lenye namba PT 0242 likiwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu utaratibu wa ndoa ya kiserikali upoje kwa wenye uelewa mtusaidie kwa hili tafadhali
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom