Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habarini za asubuhi bunge la juzi tuliona marekebisho ya sheria ya kuajiri mahakim waliohitim chuo kikuu kuendesha kesi katika mahakama za mwanzo lakini kabla ya marekebisho hayo tayari serikali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman Chande, amesema kuwa mahakama imeelemewa na mzigo wa kesi kutokana na uhaba wa majaji na mahakimu. Amesema kuwa mahakama inakabiliwa na changamoto ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa walicho fanya viongozi wa chadema kutoa namba ya simu kwa raia na kuwataka wawatumie sms za kujiuzuri . Hakuna sheria yakuwa shtaki kwa kosa lakutoa namba bila hizini
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jerry Muro kortini tena *Kesi aliyoshinda kusikilizwa upya Mahakama Kuu Na Rehema Mohamed MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo inatarajiwa kuanza kusikiliza rufaa ya Serikali dhidi ya...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari za kazi wanasheria WA HUMU JF Shida yangu ni je, katika sheria za kazi kuna kipengere kinachomruhusu mwajiri hawastaafishe wafanyakazi walioko katika mkataba wa kudumu na hawaingize katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana Jf! Mimi ni mtumishi wa serikali ambaye nimeajiriwa miaka 3 iliyopita! Toka mwaka jana/oktoba, faili langu ktk ofisi za DED (MKURUGENZI) halionekana! Nimerudia mara 3 lakini...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
linnah amekua akipost sana status zake kwenye mitandao ya kijamii kuhusu Tanzania loans society kuwa yeye imemsaidia sana kimaendeleo hasa kwenye facebook amekua akipost sana status za kusaport...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Ndg zangu.siku za hivi karibuni watanzania tumeshuhudia mwenendo mbaya wa bunge letu kiasi cha baadhi ya watu kutumia maneno ya kashfa na matusi wanapo Adress bunge. mfano ni michango ya watu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimejaribu kufanya tathmin ndogo ila nimegua kesi nyingi hatari zinaishia vituo vya police kama vl ubakaji, ujangili, n.k Kwan polisi wamekuwa mahakimu wa kesi nying!!! Swal kuna haja ya kuwa na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani naomba kama kuna mtu ana nakala ya marekebisho ya ya sheria yaliyopitishwa na bunge letu tukufu jana tarehe 08.02.2013. Najua JF ni Jungu Kuu hivyo sina shaka document itapatikana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kifungu cha 13 (1) cha Sheria ya Ndoa sura ya 29, kinasema kuwa mwanamume mwenye umri wa chini ya miaka 18 na mwanamke mwenye umri wa chini ya miaka 15 hawaruhusiwi kufunga ndoa na mtu yeyote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Daniel nsanzugwanko wiki mbili zilizopita,akiwa na Nape Nauye apa kasulu mjini. Aliwambia wananchi kuwa kesi yake ilichakuliwa koti kuu na mahakama ya rufan na ata mahakama ya rufani. Alisema kuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi watanzania hatuna sheria tunayoweza kutumia kumkataa spika?Nauliza hili kwani pesa zinazotumika kuwalipa mishahara na posho ni kodizetu lakini kazi wanazofanya Bungeni hazina manufaa kwetu
0 Reactions
2 Replies
936 Views
Ngd wanasheria na wataalamu wa Afya, inafahamika kuwa daktari anapomtibu mgonjwa huwa inabaki kuwa siri kati yake na mteja. Je, inapotokea kuwa Dr ametoa siri hiyo kwa watu wasiohusika...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
hey I 'm new in if..can u please welcome me!
0 Reactions
3 Replies
637 Views
Jana February 6, 2013 ilikuwa Siku ya Sheria na theme ilikuwa Utawala wa Sheria. Sherehe hizo ambazo ziliongozwa na Rais Jakaya Kikwete zilihudhuriwa na Jaji Mkuu, Mohamed Chade Othman, Waziri wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi hamis nataka kujua. je ni haki mtuumiwa anapofikishwa kituoni kuwekwa lockup bila kujieleza?
0 Reactions
1 Replies
711 Views
Habari za asubuhi! Kwa mwenye ule waraka wa Said Mwema wa haki za raia anapokamatwa na traffic naomba anisaidie copy tafadhali! :attention:
0 Reactions
2 Replies
829 Views
Mimi nimwajiriwa katika kampuni mojakubwa hapatanzani iliyoko arusha tatizolinakuja kwenye kukatwa mshahara kwakiwango kikubwa sana kulinga nisha na mshahara unakata masaa kwakiwango malipo ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
[ Akina mama walikokuwa katika sherehe hiyo wakitahamaki baada ya kachero wa polisi kujitambulisha ….Binti huyo (kushoto) akiwa chini ya ulinzi wa polisi akitolewa ndani na kuingizwa kwenye...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom