Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

hellow wadau , mimi na tatizo la la kisheria linalonisumbua n kwamba kuna jamaa ambaye ni business partener wangu na nahish nae hapa dar, tunafanya biashara pamoja zaid ya miaka minne sasa ila...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba msaada wa charter iliyoestablish chuo cha ESAMI, na je kuna limitation yoyote kwenye kufungua madai yanayotokana na breach ya contract, do a person need to get a waiver before instituting...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Learned Brothers & sisters, I real need your help on this... With much thanks to you...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Hivi ile pesa wa mdhaamana huwa inarudi au kurudishwa kama mshatikiwa akishinda kesi??
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hivi inaweza mtoto kuwa na majina mawili tu na asiwe na surname. sheria za tanzania zinasemaje? yaani lets say mtoto anaitwa jacob ww unaitwa ladislaus surname massawe. je mtoto anaweza kuitwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Charles Ghankay Taylor arrest. Freetown, Tamba Ngaujah has little doubt who was behind the Revolutionary United Front rebels who, 20 years ago, gave him "short sleeves". "They put my arms...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WanaJF naombeni msaada wenu, ni sheria gani inayoyataka makampuni yote nchini kuorodhesha share zake DSE..? Ntafurahi zaidi mkinasaidia na possible sections za hiyo sheria. Asanteni.
0 Reactions
1 Replies
962 Views
The EAC integration process in my view shud be the medium for promotion and protection of Human rights.Why is it taking so long to negotiate the draft protocol on human rights?In globalised world...
1 Reactions
0 Replies
881 Views
Pamoja nakuwa sijui sheria za misri zinasemaje, lakini naona kama ni vigumu kwa jaji ku-implicate mtu kama amesababisha vifo vya watu katika vurugu hizo. Mens rea na identification ya aliowahukumu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ndugu wanaJF naomba mnisaidie kuhusu sheria za kazi zinasemaje kwa hii tetesi ninayo isikia,.Mimi ni mtumishi wa MAMLAKA YA RELI YA TANZANIA NA ZAMBIA(TAZARA) ambapo kwa kipindi kirefu sana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Closed
A Catholic Christian Masanja Hamis, 27 yrs of Kahama Parish, Kahama Disrict, Shinyanga region in Tanzania, on 31st Oct, 2011, was imprisoned for 4 monthsbeing accused of slaughtering animals for...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
x, alifungua kesi ya kuvunja ndoa mahakamani kwa madai ya kupigwa, na mahakama baada ya kusikiliza pande zote mbili ikaona kuwa mdai ameshindwa kuthibitisha dai lake, hivyo ndoa haikuvunjwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kutokana hukumu mbalimbali ambazo imeamuliwa na mahakama ya mwanzo na baadae kukatiwa rufaa ambayo itampatia mrufani ushindi Itakuwaje kwa hakimu wa mahakama ya mwanzo alietoa hukumu?Sheria...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba msaada wa kisheria kuhusu hili suala: binti kuolewa akiwa na umri kati ya miaka 14-15 na mwanamume mwenye umri sawa na baba yake kwa sheria za Tanzania zinasemaje?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wanajanvi. Ningependa kujua kama dhamana ile ambayo inatolewa mahakaman kwa minajil ya kumwachia mfungwa kwa muda, hv huwa inarudi baada ya kesi kupata hukumu? Au huwa hairudi? Kwa mfano m2...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Jaji aliyepangiwa ...Kusini na Mashariki zote zinalingana, Dhamana: Mawakili wa "Lulu" wawasilisha maombi; Kusikilizwa Ijumaa, Januari 25 21/01/2013 0 Comments MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna hili swala watendaji wanapita kwenye biashara za watu kudai hiyo service rev(wanavidai ni karibisha mteja, pale naposema mteja karibu basi lazima nilipie kwa mwaka hiyo karibisha mteja) sasa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa naomba mnisaidie kunipatia majina ya majaji wa rufaa Tanzania. 1. Justice Munuo 2. Justice Nsekela 3. Justice Kimaro 4. .................. etc, etc
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wapendawa wanasheria wa JF naomba muipitie hukumu hii ya Mheshimiwa muone aliyokuwa akiyasema Tundu Lisu. Tuainishe mapungufu/nguvu (weakness/strength) ya hukumu hii, bila kutukana bali kupata...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kujua sheria gani inaweza kutumika kumfanya mme awajibike ndani ya nyumba?
1 Reactions
1 Replies
834 Views
Back
Top Bottom