Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Women/Law: "Police in mini-skirt arrest threat in Swaziland" Women in Swaziland risk arrest if they wear mini-skirts or tops which expose part of their stomach, police spokeswoman has said...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau na wanasheria tunaomba ufafanuzi iwapo wabunge hawa wa chadema wamefanya kosa kisheria kupiga picha na yule askari kwenye mkutano wa kisiasa. Hivi kama yule mwanajeshi alifanya vile kwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nilikuwa nasafiri kwa gari binafsi kama dereva kutoka Chalinze kwenda Tanga,Nilipofika check point ya KABUKU nikazuiliwa na maaskari nikituhumiwa kulipita gari la mbele yangu(overtaking) sehemu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu, hapa chini nimejaribu kuwadondoshea na kuwafunghashia kwa rejea yenu baadhi ya hukumu za hivi karibuni zilizotolewa na Mhe. Jaji Rwakibalira na kutenguliwa na Mahakama ya Rufani ya Tanzania...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimeona nijitokeze hadharani kuelezea idadi ya kadi za vyama vya siasa ninazomiliki ili kama kuna sheria inayokataza mtu kuwa na kadi zaidi ya moja za vyama vya siasa nisifungwe bure. 1. Kadi ya...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
with the advance of technology in tz cybercrimes may also increase.how does penel code reflect messures aganist cyber crimes?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi nime kaa na mke kwa miaka kumi na nne sasa na tuna watoto wanne, lakini mwanzoni mwa mwaka huu mke alitoroka nyumbani na kwenda kwao na kukaa huko kwa miezi saba hivi, lakini aliporejea...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
While some torts are also crimes punishable with imprisonment,the primary aim of tort law is to provide relief for the damages incurred and deter others from committing the same harms,citing with...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
hivi wadau kwanini kesi nyingi zinazoamuliwa na mahakama kuu huwa na dosari nyingi na zinapopelekwa mahakama ya rufaa zinabatilishwa? je kuna udhaifu wa majaji katika mahakama kuu? je ni hatua...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Heshima wakuu, Hapa najiuliza ufanisi wa jaji Gabriel Rwakibarila aliye hukumu kesi ya Lema uko wapi katka mhakama anayofanyia kazi? nani atakaye amini maamuzi yake? huyu ni wa mahakam kuu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nia ya kuanzisha chombo hiki ni kurudisha matumaini kwenye chombo hiki muhimu cha DOLA cha utoaji wa HAKI. Tumeshuhudia hukumu nyingi za hovyo, zenye utata mwingi, zenye kuacha maswali mengi huku...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Uandaliwe utaratibu maalumu wa kumwajibisha Judge aliyetoa hukumu katika kesi ya Mbunge Godbless Lema mahakama kuu ya Arusha.Wajibisho hilo laweza kuwa la kitaaluma,kisheria,kinidhamu au kimaadili...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kwa kawaida huwa kuna makosa madogo ya liufundi ambaye anapelekea hakim au Jaji kuhukumu vinginevyo shauri lililo mbele yake. Lakini kwa hukumu hii ya Godbless Lema nalazimika kumuuliza huyu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau..badala ya kupena umbea ..pia tupeane na mambo kama haya..pata nakala ya hukumu ya lema , jisomee uone mwenyewe. Mkali..
4 Reactions
9 Replies
3K Views
Mama Anna Tibaijuka, Mama wa makazi !!! hebu fuatilia kwa undani kwelikweli uone watu wa ardhi wanavyokula rushwa. je walitenda haki katika hili kweli ? ikiangaliwa kiundani kuna giza nene...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
TUJIFUNZE YAFUATAYO: Kumbe ni kweli watu wengi wanaonewa Je inapotokea majaji wametumia vibaya taaaluma zao, je nini kifanyike? Wana-Arusha mjini wamekosa mwakilishi kwa kipindi kirefu...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
The trial of the libel action of Regnald Mengi v Hermitage commenced in the UK this week. Reginald Mengi, a Tanzanian businessman and philanthropist, is suing Sarah Hermitage, a non-practicing...
18 Reactions
23 Replies
5K Views
Tangu jana nilielezea kwamba nimepata taarifa kuvuja kwa hukumu ya mh Lema. Mods aliunganisha link yangu na nyingine zilizokuwa zinashabihana na hilo. Kitaaluma mimi ni mwanasheria na hakika kila...
44 Reactions
131 Replies
12K Views
nmenunua umeme kwa mitandao yote miwil kwny salun yangu nikakaa masaa saba cjapewa umeme wateja wanakuja wanaondoka. je nikawafungulie mashtaka ntalipwa??
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunaomba mwenye kaupenyo ka kupata hukumu ya Kamanda LEMA ya leo aturushie tuone sheria ilivyodadavuliwa. Nawasilisha
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…