Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

1. Nilikuwa nimeajiriwa kwenye kampuni fulani ya Kitanzania tangu 2006 hadi 2010 na nilikuwa nakatwa mafao ya NSSF kila mwezi na nina salary slips zake na hata barua ya kuacha kazi na certificate...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
NDUGU ZANGU KUTOKANA NA MATUKIO MENGI YA KIGAIDI NA MAUAJI HOLELA YA RAIA HAPA NCHINI, NAKUSUDIA KUISHTAKI SERIKALI KWA KUSHINDWA KUWALINDA RAIA. HIVYO NAOMBA KAMA UNA USHAHIDI WA MTU KUTEKWA NA...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF: Mwaka 2010 Makao Makuu ya Chadema yalipeleka orodha ya wagombea udiwani viti maalum katika Tume ya Uchaguzi ili kuiwezesha Tume hiyo kuteua madiwani wa viti maalum kwa ajili ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Breaking News:Kesi ya Mbagala ya kuvunja makanisa yafutwa.Ilikuwa for PH na prosecution wameshindwa kukamilisha upelelezi ndani ya siku 60 na hawaku-file certificate ya kuomba further...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habarini wana Jamii Forums, Ni mara yangu ya kwanza kupost mada hapa jukwaani ingawaje nimekua member muda mrefu kidogo..Sasa ndugu zangu mm ni Mining Engineer, nafanya kazi katika moja ya migodi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
if 87+92=18 57+83=13 12+61=4 62+31=...? 91% people failed Usiogope kuna ka mchezo ka namba kanafanywa hapo juu ukikagundua utalipata jibu.
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Tarehe 29 Desemba nilikuwa nasafiri kutoka Arusha kuelekea Kijiji kimoja ambacho kipo kilometa 50 kabla ya kufika Babati Mjini. Nilipofika Kituo Kikuu cha mabasi yaendayo Babati wapiga debe...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwanafunzi wa kike anayefahamika kwa jina la Betha Ally John (16) wa Kidato pili katka Shule ya Venessa iliyopo kata ya Isyesye Mbeya amekuwa na mahusiano ya ngono na Mwalimu wake wa somo la...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Anayejiita Nabii Mwingira amemalizia Kuvunja Kiwanda Cha Zain Shaarifu Mwenge baada ya Kukivamia na kuchoma moto katika tukio la kwanza lililofanyika siku ya jumatatu ya pasaka Mwaka huu...
0 Reactions
157 Replies
16K Views
Forensic experts in East Africa have underscored the need for convergence in institutional set ups in the partner states, noting the importance of optimal utilisation of forensic capability within...
0 Reactions
0 Replies
872 Views
nisaidien facts na held ya kesi Christopher Mtikila ihusuyo constitutional.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu? Naitwa Giuseppe Zingaro, raia wa Italia, nimezaliwa Ragusa – Italia, tarehe 26/11/1960. Mwezi wa 4 mwaka 2004 pamoja na mchumba wangu wa enzi ile, Edna Boimanda (kwanzia sasa...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Kwa wale wenye taaluma ya sheria. Ikatokea umetajwa katika kesi, ambayo au husiki. Mfano, Mie: Abadala naojiwa, nika mtaja Ismail Kuwa ndio alitoa ruhusa ya mie kuiba, huku Ismail haja husika, na...
0 Reactions
1 Replies
970 Views
Jana tukiwa ktk benki moja ndani ya eneo la chuo cha Udom akatokea askari mlinzi wa hiyo benki akawazuia akina dada kuingia benki kisha kuwamuru kupiga magoti kitu kilichotufanya wadau wa haki za...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kumfukuza mwanafunzi masomo moja kwa moja kwa kufeli somo moja,au kwa kufanya udanganyifu katika somo moja ni halali?kama ndiyo haki ya mtu kupata elimu ipo wapi?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hivi adhabu ya kunyongwa mpaka kufa ilianzia wapi na lini?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello, How are you doing dear learned brothers and sisters, I am joining you.
0 Reactions
0 Replies
688 Views
Nianze kusema kuwa mimi sina utaalam wa mambo ya sheria. Siku hizi kumezuka mtindo wa mahakama zetu kumdhamini mtuhumiwa mahakani eti ni mpaka aje mdhamini ambaye ni mfanyakazi wa serikali. Huwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
kwa wataalamu wa sheria naombeni darasa juu ya maana halisi ya case law
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1.police anaekaa counter na kuandikisha maelezo kitaalamu anaitwaje? 2.police aliesoma sheria anaekaa mahakamani na kupokea majalada ya watuhumiwa kitaalamu anaitwaje 3.mkuu wa kituo cha police...
0 Reactions
7 Replies
12K Views
Back
Top Bottom