Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

mdai (baba) ameshinda mahakama ya mwanzo ya kuishi na mtoto (wa miaka 7), mdaiwa ameenda ofisi za ustawi wa jamii ('kukata rufaa') kwamba haridhiki na uamuzi huo na anataka apewe haki ya kuishi na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimesikia katika taarifa kwenye radio kiongozi wa CWT anazungumza kuwa'tulipenda pia kuonyesha serikali na sisi(CWT) tunaweza kudai maslahi yetu kwa njia ya mgomo.' Mi sijaona tija yoyote kwa huu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale ambao masuala haya yametuathiri kwa kiasi kikubwa, wale wenye mikataba ya ajira kwa vipindi maalum. Je bado kuna haja ya kuunga mkono CCM na Serikali yake? Mimi siungi mkono hata...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
BALOZI wa Uholanzi nchini, alipotmbelea gazeti la MwanaHALISI na kukutana na uongozi wa gazeti hilo, Saed Kubenea Mhariri Mtendaji na Jabir Idrissa, Mhariri mkuu wa gazeti hilo. Wakati huo...
2 Reactions
42 Replies
5K Views
Jamani naombeni msaada wa haraka,nilienda kutoa pesa kwenye ATM ya CRDB na palikuwa na mtu ambaye alinielekeza mambo flani,na huyu mtu aliona namba yangu ya siri,je ataweza kuniibia kwa namna...
0 Reactions
25 Replies
9K Views
kuhusu mgomo wa walimu kiukweli ccm wanatupeleka vibaya na wanatumia siasa katika mambo yasioitaji siasa, Maana walimu wetu ndio wanaowatengeneza wao wawe katika nafasi zao. kama Raisi wa nchi...
0 Reactions
0 Replies
704 Views
Wa Tanzania kwa kupenda kujichukulia sheria mikononi mwao ahhh nchi hata wananchi nao Wamechoka na utawala wao utafikiri nchi hii Polisi hakuna? Polisi wanakuja baada ya tukio limeshakwisha mtu...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Hebu nisaidieni jamani maana nina jambo linanikwaza sina wa kumuamini,hebu nipeni ukweli pls!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Je ni sheria gani inayotoa mamlaka kwa mahakama kutoa adhabu ya kifungo kwa mtu aliyekataa kuhesabiwa sensa kama mkuu mmoja wa wilaya alivyosema kwa kuonya raia kutosusia zoezi la kuhesabu watu?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naomba kujuzwa, hivi hii pesa inayoombwa na makarani mahakama za mwanzo unapoenda kufungua kesi ya mirathi ni rushwa au ni wizi. Tatizo ni kwamba pesa hiyo inayolipwa haitolewi stakabadhi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina mdogo wangu amekufa kule Handeni kwa kunyongwa na majambazi toka mwaka 2008 mwezi wa 3 ila hadi leo eti hakuna aliye kamatwa wala aliyegundulika kuhusika je,mimi mwenye ndugu yangu kwa mujibu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MKUU wa Wilaya ya Tandahimba, mkoani Mtwara, Ponsiano Nyami amesitisha kwa muda malipo ya tatu ya mauzo ya korosho kwa wakulima wilayani humo baada ya kutokea vurugu zilizosababisha kuharibiwa kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna uwezekano mkubwa sensa huenda ikaahirishwa ili kujiandaa upya Kuweka kipengele cha ''DINI" KTk dodoso ili hatimaye tujuwe dini ipi yenye wafuasi wengi waislam/wakiristo. Waislam wameshaweka...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Nilinunua shamba dogo tu hekari mbili 2009. Baada ya kuuziwa shamba, mfanyakazi au mlinzi wa muuzaji alinifuata kuniomba kununua kipande kingine kando. Nilikataa kwani shamba alilotaka kuniuzia...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
baadhi ya magari ya maaskari na ya serikali ni mabovu sana na yakipita hayasimamishwi. Lakini pita na gari lako lina kreki ya kioo kwa mbaali, atataka akupeleke kituon, lakini ya kina nanihi hata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni katika sakata la ujenzi wa mji mpya kigamboni,wamesema serikali iking'ang'ania na mpango wao basi wataifungulia kesi katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu na kivita ya uholanzi(The Hague)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ndg zangu tupia hapa yanayojili kuhusu majina na usahili wa makarani wa sensa maana kuna sehemu zingine mpaka sasa hakieleweki. Hii kitu muhimu sana maana habari toka ndani zinasema malipo si...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Hapa Arusha leo ni kelele mji mzima kupitia vipaza sauti kwenye magari mawili yanayotangaza zoezi la ukusanyaji wa kutoza ushuru wa magari yanayopaki Arusha mjini pamoja na viunga vyote vya jijini...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Shirikisho la vyama vya wafanyakazi ndio watetezi wetu sisi wanachama. Lakini kutokana na sheria iliyopitishwa hivi karibuni kuhusiana na mafao eti mtumishi hadi atimize miaka 55 ndiipo apate...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Termination of Employment under ELRA read together with S 4 of the ELR(code of Good Practice) S.4(3) na (4) Kama Mfanyakazi ameendelea kufanya kazi na baada ya mwezi mmoja (baada ya mkataba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…