Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Naomba kuuliza nasikia kila anayetumiwa pesa za kazi (mfano za doria, kueweka uzio wa moto,kukusanya maduhuri nk) lazima arudishe fungu (kwa wale wanaoidhinisha matumizi/kupanga matumizi) ndo...
THE TEMPEST IN A CREAM BOWL SURROUNDING AN ATTEMPTED ASSASSINATION OF DR ULIMBOKA; WHO IS ON THE CROSS
By Kaunda Paul
The eve and dawn of 27th June 2012 was tainted with fear, grief...
Je kama taifa huru..lenye kulinda na kufuata utawala wa sheria . Je sheria zinasemaje juu ya uwajibikaji wa serikali na watu binafsi pale zinapo tokea hajali na watu kuumizwa na hatimaye kufa? Je...
Mbunge wa Ludewa (CCM), Deo Filikunjombe, amependekeza Waziri wa Mambo ya Ndani na Naibu wake wawekwe gerezani kwa muda wa miezi sita ili wapate uzoefu wa hali ilivyo mbaya kwenye magereza...
Tafadhali wanasheria tunaomba msaada hapa.
Kuna jambo limetokea kwa ngazi moja ya ajira serikali kuu. Awali ngazi hii ilikuwa ya kimadaraka zaidi hivyo MISHAHARA ilikuwa mikubwa kulinganisha na...
Msaada wenu wana JF,nina ndugu yangu amekamatwa Ijumaa 13/07/12 kosa ni kuwa ameokota simu ndani ya basi ambamo yeye hulala humo baada ya kazi saa 6 usiku,akampa mkewe mida ya mchana,mkewe...
Naulizia tu ,je ndani ya dini ya kikristo zimo sheria ,mfano sheria za kumhukumu mwizi endapo atakamatwa,sheria za mwanamke iwapo atazini au ataonekana sio bikira siku ya mwanzo ya kukutana na...
Naomba msaada wa haya maswali,
Nataka kufungua duka la kuuza nyama ya mbwa.
1.Je inawezekana kupata leseni ya biashara
2.Na waTz wataichukuliaje hii biashara?maana naamini hii nyama si haramu.
Kutokana na ujambazi na uuwaji wa madereva wa bodaboda unaotokea mara kwa mara hapa korogwe, madereva hao wameamua kusaka mtandao wa majambazi na kuua mmoja nakuendelea na kusaka wengine ambao pia...
Tunayo mihimili mitatu ya Dola ambayo ni Serikali, Bunge na Mahakama. Katika miaka ya karibuni kumekuwapo na mtindo ambapo mambo ambayo yanaonekana na watawala kuwa nyeti na kwamba yatahojiwa sana...
Richard Bukos na Haruni Sanchawa
Mkazi wa Bunda mkoani Mara, Elisha Makumbati anadaiwa kumfanyia ukatili wa kupindukia mkewe, Nasra Mohammed (38) kwa kumburuza na gari uvunguni, umbali wa mita 150...
It is very sickening to see people in Jamii Forums who claim to be great thinkers debate on issue they have little or no knowledge with. It is very sickening to see people affecting Jamii Forums...
Marehemu Hekima Bakari.
Marehemu Fikiri.
Marehemu Banzi.Jeneza lenye mwili wa marehemu Banzi.
Na Haruni Sanchawa
UKWELI kamili kuhusu vifo vya watu sita waliokunywa gongo Kigogo Sambusa...
...watu mnaweza kulishwa nyama ya ng'ombe isiyopimwa. Basi la kampuni ya Kilimanjaro (Arusha - Dar) limegonga ng'ombe wawili karibu kabisa na kuingia stendi ya Bomang'ombe. Mwenye ng'ombe...
Kama ni muhimu kwanini imefanyika mara chache....!
1.sababu ya umaskini wetu inaweza kuwa inasababishwa na kutofanyika kwa sensa?
2.Sensa na uchaguzi mkuu,unadhani nini muhimu...?
"vox...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Terezya Huvisa, akitoa msimamo wa serikali wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za Bunge mjini Dodoma jana kuhusu kubomoa...
Poleni wadau wa jamvini kwa mihangaiko ya kutwa Nzima. Napenda kutoa dukuduku langu kuhusu afisa mtajwa hapo juu kwani amekuwa na kauli chafu sana kwa wadau walipa kodi nchini. Mama huyu ambaye...
Wanasheria naomba mnisaidie kutafsiri hii sheria. Nimeumia kazini na mkono wangu wa kulia umelemaa siwezi kufanya nao kazi. Nimekwenda labour kwa ajili ya kupata compensation nikapewa act kuisoma...
WANAJF
Nia yangu nikupata kutoa kero yangu na kuwaomba watu ambao wanaweza kutusaidia sisi walimu tulioajiriwa kama walimu wa lesen.kwani tulikuwa tunalipwa 80% ya mshahara wa diploma na bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.