Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Watuhumiwa wa kuuza gongo ya sumu: 1.Ramadhani Selestini 2. Salehe Omary 3.Shukrani Malungu 4.Charles Ibrahim[ huyu wampeleke Kisutu] 5.Fadhil Juma 6.Abdalah Mnazi Marehemu waliokufa kwa...
0 Reactions
0 Replies
896 Views
Leo Nimepita Ofisi ya Shirika la Reli ya kati na kukuta kitangazo cha Maka pen nyekundu,kuwa Wale wote wanaoenda kukata ticketi waende na utambulisho wa vitu vifuatavyo.... 1.Barua kutoka...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa maelezo na longo longo nyingine zote Global Publishers
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Naomba ufafanuzi kujua haki itatendekaje ili tuweze kupata ardhi yetu, iliyouzwa na mwanaume aliyekuwa anaishi na marehemu dada yetu. Huu mji tulikuwa tunaishi sisi familia baadaye wazazi wetu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wataalamu wa sheria naombeni muongozo wenu, maana tumeshapoteza imani na Bunge, Jeshi la polisi pamoja na mwenendo wa mahakama juu ya masuala mbalimbali. Je raia wenye nia njema wakiamua kujiundia...
0 Reactions
0 Replies
903 Views
New Employment Rules For serious Companies to adopt SICKDAYS We will no longer accept a doctor's certificate as proof of sickness. If you are able to get to the doctor, you are able to come to...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
NOT that she had taken another woman’s child to the shrine to be sacrificed for sh80m but her own ten years –old son. High Court in Kampala presided over by Justice Jane Kiggundu sentenced...
0 Reactions
2 Replies
855 Views
Wakuu naomba kuuliza huyu ACP H. Msangi ametuhumiwa kuhusika na kutekwa na kuteswa Dr Ulimboka kwanini hakamatwi? Je kuna sheria inayomlinda?
0 Reactions
3 Replies
799 Views
mi ni mwalimu shule flani secondary wakuu wananisumbua kunipa uhamisho wa kumfuata mume wangu aliko na ni nimepereka cheti cha ndoa na barua ya kuomba kuhama ,naambiwa nitafute mwalimu mbadala ni...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mdogo wangu alikua ameajiriwa na jamaa anaitwa richard kwenye kibanda cha tigo pesa amepata short katika hiyo biashara, kulingana na maelezo yake, hiyo short aliipata kutokana na network mbovu ya...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Madaktari wanalilia kuondokana na hali hii. Utashangaa wengine wanang'ang'ania kuwa eti Madaktari wanataka mishahara minono. Ikiwa hii ndiyo hali ya hospitali zetu nyingi, kuna tofauti gani ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau sijui kama hii inafaa kuwa huku. I lost my passport on saturday and I was to go for an interview on Monday 16/7/2012. What should I do?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Samahani naomba msaada ndugu zangu, * Ndugu yangu wa kike anaishi Arusha mjini, alitengana na mume wake miaka2 iliyopita kutokana na ukatili na udhalilishaji wa mumewe, alikuwa akimfanyia kila...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama nipesa basi Mji wa wagumu Mkoani Kilimanjaro Unaongoza kwa Mungu Onisha Sasa Hela ilipo(MOSHI). Polisi Mkoani kilimanjaro inashikilia wauzaji maarufu wa nyama ya mbuzi katika Baa ijulikanayo...
0 Reactions
60 Replies
8K Views
Godfrey Sanga amehukumiwa kwenda jela kifungo cha miaka mitano baada ya mahakama kuthibitisha kuwa julai 7 alichinja mbwa wanne na kuwauza katika klabu ya pombe za kienyeji iitwayo...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Taarifa kutoka Mahakama kuu zinaonyesha kuwa kesi husika itatajwa tarehe 1/06/2012 baada ya kuandikwa katika magazeti ya Mwanahalisi na Uwazi.Mgogoro uliyojitokeza kwa wale ambao hawajui...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
habari ya kushangaza kidogo, watu 7 wafariki na wengine wapo hoi wamelazwa hospitalini kwa kunywa pombe haramu ya GONGO!, hiii gongo iliwekwa nini wakuu?, mavi au?
0 Reactions
18 Replies
3K Views
MKAZI mmoja wa kijiji cha Piyaya kilichopo wilayani Ngorongoro aliyefahamika kwa jina la Alaisieleke Korio (48) amefariki dunia baada ya kupigwa fimbo kichwani na mwenzake . Kamanda wa polisi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kamanda wa jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es salaam,Suleiman Kova ameonya juu ya maandamano yanayoratibiwa na jumuiya ya madaktari pamoja na yale ya baraza la kiislamu.Kamanda Kova ameamuru...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana jamvi niko safarini kuelekea Mwanza lakini ninachokiona kwa matrafiki wetu kwanza ni usumbufu pili ni wizi au rushwa ya wazi. Tangu kutoka Arusha mpaka Babati tumeweza kusimamishwa zaidi ya...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Back
Top Bottom