Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Jana katikia taarifa iliyotolewa na kamishna wa sensa imetaja kwamba dini, kabila au mambo ya kisiasa ni mambo ambayo hayatakuwamo wakati wa sensa ya Mwaka huu. Napenda kupata ufahamu zaidi je ni...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wana JF habari zenu.... Hii ishu ya mipaka ya Tanzania na vuguvugu la Muungano limeniacha nikijiuliza itakuwaje. Mipaka hii nayozungumzia ni Contiguous Zone na Exclusive Economic Zones (EEZ)...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba kujua hii bill iliyokuwa bungeni majuzi kuhusu mabadiliko ya mifuko ya hifadhi ya jamii ni no ngapi na naweza kuipataje?
0 Reactions
0 Replies
804 Views
Iddi Simba NI KUJIBU MASHTAKA YA UFISADI UDA, AJIDHAMINI KWA MALI YA SH8 BILIONI BADALA YA SH500 MILIONI ILIYOTAKIWA Tausi Ally na James Magai MWENYEKITI wa Bodi ya Shirika la Usafiri Dar es...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MKATABA WA HALI BORA WA WAFANYAKAZI TANZATE ONE WAELEKEA KUSAINIWA NA MENEJIMENTI. Hivi ni wakati gani kisheria mwajiri anatakiwa kusaini mkataba wa hali bora kwa wafanyakazi ...
0 Reactions
0 Replies
792 Views
huyu jamaa mpiga picha ,tumefanya mkataba baada ya kuwa kazi imekwisha fanyika order yangu ni picha 100 tu, katoa picha 165 tumekwenda polisi nika notes kitu jamaa wana force nimlipe tu kwa kuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nimeshtakiwa na mpiga picha,baada ya mimi kumshtaki mahakamani kwa kosa la kuzidisha picha tofauti na mkataba wetu wakati huohuo ameuza picha bila idhini na analazimisha nimlipe pesa za picha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika hali isiyo ya kawaida katika kesi ya kupinga matokeo katika jimbo la Igunga ambapo Mbunge P. Kafumu alipita kwa njia za panya huku mpiga debe wake akiwa ni Mwigulu Nchemba amepelekea...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
jamani naomba kuuliza hivi kama mtu ameajiriwa na akasaini mkabata lakini hakupewa copy ya mkataba na mwajiri (mwajiri amebaki nayo) je anaweza kumdai mwajiri mkataba wake hata kama amefanya kazi...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Africa Review*- 500 killed in Tanzania annually over witchcraft claims
0 Reactions
2 Replies
944 Views
Elizabeth Michael@Lulu ataachiwa huru kutoka kesi inayomkabili ya mauaji ya aliyekuwa mpenzi wake marehemu Kanumba. Kwa taarifa toka chanzo cha ndani sana,,Serikali imeamua kumsaidia/kumbeba...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
mada 1.Historia ya utungaji wa katiba zanzibar katika muktadha wa Muungamano
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Msaada wa kisheria: Endapo wanandoa wameoana kwa zaidi ya miaka mitano hawana mtoto.Na wamefunga ndoa ya kiserikali. Katika ndoa yao kukawa na mgogoro wa muda mrefu uliopelekea kufikishana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
NI YULE MWENDESHA MASHTAKA KESI ZA EPA, R I P BROTHER. MKURUGENZI Msaidizi wa Mashitaka nchini na Mwendesha Mashitaka mashuhuri katika kesi kubwa mbalimbali nchini, Stanslaus Boniface amefariki...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Vitu kama hivi lazima vipelekwe mahakamani ili kuhakikisha baadhi ya issues katika kesi ya Bi Lulu.
2 Reactions
28 Replies
7K Views
Gharama za mwaka wa school of law ni sh.ngapi?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimeamia kwenye nyumba miez 3 iliyopita nimelipa kodi ya miez 6! Wiki 2 zilizo pita choo kimejaa! Mwenye nyumba anataka 2change pesa 2wezekuvuta! Mi na wangaji wenzangu 2megoma mwenye nyumba kadai...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama serikali haitapiga marufuku unjwaji wa pombe hadharani, Tanzania itakuwa ktk hatari ya kuwa na raia walevi kupindukia kama Urusi au Australia. Sasa hivi vijana wengi wakishika fedha kidogo...
0 Reactions
3 Replies
895 Views
MAMLAKA ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imesema sheria ya ununuzi wa umma hairuhusu kampuni kuomba kazi kwenye Taasisi ya Umma bila zabuni ya kazi husika kutangazwa. Katika taarifa yake...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom