Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

habarini za asubuhi ndugu zangu, bila shaka kwa uwezo wake maulana wote hatujambo. Ni mejitokeza hapa kupata ushauri ili nami nikautoe sehemu ili kuhakikisah haki inapatikana, kuna mdogo (binti...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Dk. Kafumu amkataa jaji na Mustapha Kapalata, Nzega KATIKA hali isiyo ya kawaida jana Mbunge wa Jimbo la Igunga Dk. Peter Kafumu alimkataa Jaji Mary Nsimbo Shangali kuendelea...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Have you or anyone close to you been a victim of homophobia or transphobia at work, school, neighborhood...? Feel free to visit any Galck or Galck affiliates office for moral or legal help. The...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Lulu akiwa anaingia Mahakamani jana Tuesday, May 08, 2012 12:52 PM ELIZABETY MICHAEL ‘lulu’ jana aliiomba Mahakama ya Hakiumu Mkazi Kisutu kuhamisha kesi kwenye mahakama ya Watoto kwa kuwa umri...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mwenye nyumba wangu amenipa notis ya mwezi mmoja na notis yenyewe iko km barua ambayo anataka nisaini, sheria ya kupanga inasemaje wakuu, naomba msaada
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Ni udhalilishaji mkubwa wa wanawake na mama zetu kwa ujumla.nimesimama pembezoni mwa barabara masubiri daladala mara naona linapita landrover la polisi linawapeleka dada zetu mahakamani,kisa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kutokana na kanuni za Utumishi wa Umma kutumia mbinu yoyote ya ulaghai ni kosa. Zoezi la Kutengeneza vitambulisho vya utaifa limezaa scandal japo ni kwa sehemu ndogo tu ya watumishi wa Serikali...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jana iliahirisha hadi Julai mwaka huu kesi ya kumiliki vitu marufuku jela inayomkabili mfanyakazi wa zamani wa BOT -Amatus Liyumba.Liyumba anadaiwa kufanya kosa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wadau ivi aya mamlaka aliyonayo DPP wa Tanzania vipi?eti he is not required to give reasons for withdrawal of cases, anaeza amua kufungua kesi dhidi ya mtu na halazimishwi kufanya hivo ata kama...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Jumamosi nimetoa pesa kny ACC yangu kupitia ATM NBC kwa kutumia TEMBOCARD VISA yangu, jana nataka tena kutoa pesa kwenye Akaunti ATM ikasema sina hela kwenye ACCOUNT wakati nina hela za kutosha...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Wana sheria wa JF Salama? Ufumbuzi wa hili ukoje? Mwaka 1975 nilioa kwa ndoa ya kimila, bahati mbaya ndoa hiyo ilivunjika mwaka 1980 tukiwa tayari tumezaa watoto watatu. Mwaka 1986 nilipata...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
'Profesa' Julius Nyang'oro aliyetunga kitabu chenye utata cha kumsifu rais Jakaya Kikwete amekubwa na kashfa kubwa ya kisomi kutokana na kuiba kazi za wenzake hata kushindwa kutimiza wajibu. Wengi...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Ndugu wana jf,katika harakati za kufungua account ya kampuni,benki wameniambia nipeleke company resolution naomba msaada kwamba hii inaandaliwaje,pia katika kutafuta tender huwa wanasema power of...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Naomba msaada wa kusaidiwa kueleweshwa ni jinsi gani naweza kuusajiri umoja/chama cha wakazi wa eneo furani.Umoja huu unahusika na shughuli za kimaendeleo ya kiuchumi na kusaidiana katika shida...
0 Reactions
0 Replies
831 Views
NIKIJUA bei yao ni ile ile, nilivyonunua moderm mbili na ya ubavu wangu, nageuka huku bei ya vifurushi imepanda..maanina! yaani NINGEMKAMATA MTU HUYO.. :A S 465: wanasheria nchi hii mnashindwa...
0 Reactions
0 Replies
927 Views
habari wapendwa, nina swali naomba msaada natafuta sheria ya mahakama ya mahakimu eti naweza nikazipata wapi maana kwenye mtandao wa bunge sijaona
0 Reactions
2 Replies
2K Views
By Peter Opiyo Africa’s latest assault on International Criminal Court is under way at the African Union headquarters in Addis Ababa...
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Wanajamvi nina mtoto wa miaka kumi na ninataka kufungua private company,je wanahisa tunaweza kuwa mimi na yeye tu? Au ni lazima niwe na mtu mzima? na je kama inawezekana kwa sisi wawili yaani mimi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.JAKAYA MRISHO KIKWETE amewaapisha Mawazri wapya ambao aliwateua siku ya Ijumaaa katika Baraza Jipya la Mawaziri. Miongoni mwa Mawaziri wapya yupo...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…