Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Nilipata huduma kutoka kampuni moja inayouza Solar na vifaa vyake. Miongoni mwa bidhaa ilikuwepo TV set . Baada ya siku mbili sikuwa nimeridhishwa na huduma za kifaa chao niliwaarifu kwa njia ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu? Mmeshindaje? Sasa Wakuu kuna shida kidogo nahitaji ushauri wenu kuna mdogo wangu alikuwa anasoma Arusha shule ya msingi sasa kule kulitokea shida kidogo akaamishwa shule...
2 Reactions
33 Replies
5K Views
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa onyo kwa wananchi kuepuka kukopa au kufanya Biashara na Taasisi, Kampuni, Mtu au Watu Binafsi ambao hawana leseni. Kifungu cha 16 (1) cha Sheria ya Huduma Ndogo...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Ndugu wanasheria salaam, Kwanza poleni na majukumu mbalimbali, naombeni msaada, kuhusu Jambo hili, Mimi Ni mtoto wa aliyekuwa mtumishi wa umma , baada ya kustaafu 2014 mama angu alilipwa kwa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Sheria kwa ajili ya kuweka masharti kuhusu misingi ya ulinzi wa taarifa binafsi kwa lengo la kuweka kiwango cha chini cha matakwa ya ukusanyaji na uchakataji wa taarifa binafsi, kuanzisha Tume ya...
0 Reactions
0 Replies
103 Views
Wanabodi, habari. Ndugu yangu ni mtumishi Wa Umma. Alikuwa na kesi ya jinai ya kumtukana mtu. Kesi imeenda mahakamani na mahakama imempiga faini. AMELIPA. Mwajiri wake amepelekewa taarifa kuwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu zangu naomba kuuliza: 1.Kesi ya maslahi ya wanahisa wa kampuni inaanzia kusikilizwa mahakama ipi? 2.inaweza endeshwa na wanahisa wenyewe bila wakili? ASANTENI SANA.
1 Reactions
5 Replies
518 Views
Habar wanajukwaa, naomba kufahamishwa ikiwa marehemu ameacha watoto aliozaa na mama tofauti na ikatokea mmoja wa hao watoto aliachwa na baba akiwa bado anasoma. Je, Kwenye utaratibu Wa mirathi...
0 Reactions
2 Replies
341 Views
Vyuo vya afya vimepanga ratiba ya mithani hadi siku ya siku kuu ya kiserikali. Vyuo hivi vina watumishi wa umma pia ambao kwa namna moja ama nyingine wanayo majukumu katika siku hii maalum ya...
0 Reactions
3 Replies
422 Views
Mwenye tatizo la sheria za kazi , mfano kufukuzwa kazi kimakosa, kukosa mkataba kisheria na matatizo yote ya kazi,bila kujali dini, kabila na jinsia nipigie simu namba 0782766657 au text whatsapp...
1 Reactions
0 Replies
504 Views
Ndugu members wa jukwaa la sheria! Kama thread head inavyojieleza hapo juu! Nahitaji mwanasheria ambaye yupo songwe au mbeya au Dare es salaam,ambaye anaweza kunisaidia kufatilia madai ya fidia ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari ndugu wana sheria! Ningependa kujua jambo moja kuhusu urithi wa mali za marehemu kwenye scenario hii! Kuna mzee mmoja alioa kwa ndoa na kupata watoto wa kwenye ndoa na mmoja nje ya ndoa...
0 Reactions
7 Replies
968 Views
Nina ndugu yangu alipata kazi kwa mkataba wa mwaka mmoja na kampuni x, mkataba ukaisha, lakini hakuwahi kupewa namba ya uanachama ya mfuko wa jamii pamoja na kuwa akikatwa mchango kila mwezi...
0 Reactions
3 Replies
454 Views
Habari za majukumu mawakili, kuna mkwaruzano umetokea kati ya mwenye Nyumba na mpangaji Sasa msaada wa ushauri kwenu mawakili. Ni hivi jamaa ameingia mkataba na baba mwenye Nyumba huo mkataba...
2 Reactions
11 Replies
972 Views
Waraka Na. CCB.228/271/01 wa tarehe 7 Agosti, 2012 Tafadhali, kwa yeyote mwenye waraka huo au anayejua maudhui yake naomba anisaidie Waraka huo unazungumzia: Utaratibu wa kuomba Kibali cha...
0 Reactions
2 Replies
663 Views
Habari, Natumaini ile Good morning glory inatekelezwa vyema, Bila kupoteza muda twende jamvini. Nina ndugu yangu alipohitimu elimu ya juu akaona bora atafute mahala pa kujishikiza ili aweze...
1 Reactions
13 Replies
636 Views
Ipi ni saini yake ya kweli ???
14 Reactions
224 Replies
36K Views
Naomba kujua time limitation ya kufile execution proceedings ni ipi? My search could not give me any clue! Assisit please
0 Reactions
0 Replies
409 Views
Hello, leo nakuletea enforcement mechanisms au mfumo wa utekelezaji wa haki za binadamu duniani na vyombo vinavyohusika (monitoring bodies). Nitaanza na enforcement mechanisms chini ya Umoja wa...
0 Reactions
0 Replies
825 Views
Usiku wa kuamkia jumapili nilienda kwenye sherehe ya jamaa angu alikuwa anaoa nyumbani nilimuacha mdogo wangu, Ilivyofika usiku nikamuagiza dogo aje kama anaona yupo bored. Asubuhi tunarudi...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Back
Top Bottom