Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habari wakuu humu ndani. Mimi ni mfanyakazi wa serikali nipo Dodoma kikazi. Nina nyumba yangu mkoani Iringa. Baba alishawahi kuchukulia mkopo katika bank ya NMB. Leo wakati natoka kazini...
1 Reactions
46 Replies
11K Views
Habari za wakati huu wanajamvi,, Ngoja niende kwenye point yangu . . NAOMBA MSAADA WA KISHERIA NA TOFAUTI KATI YA WARRANTY NA GUARANTEE (za manunuzi)
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Husika na somo tajwa, Wakili aliebobea katika sheria za ardhi na mirathi , tuwasiliane Tafadhali
0 Reactions
2 Replies
500 Views
Kwema humu, Nisiwachoshe nimeishi na mke wangu kwenye ndoa mpaka sasa ni miaka mitano ila kutokana na changamoto za ndoa nilikuwa nahitaji tuachane kwa amani na mke wangu pasi kugombana, kwahiyo...
5 Reactions
107 Replies
6K Views
Ni hivi kuna kiwanja kilikuwa cha bibi mzaa mama,kisha baada ya miaka mingi kupita akaja akamrithisha Mama yangu kabla hata sijazaliwa na baadae tena mama akanipa mimi kile kiwanja,kumbuka hapo...
0 Reactions
3 Replies
458 Views
Wasalam waungwana na nakutakieni kila lenye kheri kwa mwaka 2023. Direct kwenye point Kuna plot tulinunua mkoa mmojawapo wa kaskazini na malipo yalikuwa kwa installments 2. Baada ya malipo ya...
1 Reactions
4 Replies
545 Views
Habari wana Jf Naomba kusaidiwa kisheria. Niliachana na mke wangu miaka miwili iliyopita, baada ya talaka aliamua kwenda mahamakani kudai mgawanyo wa mali za pamoja, na matunzo ya watoto...
0 Reactions
6 Replies
864 Views
Chanzo taarifa ya habari UTV/ TBC. 27/12/2022 Nimemsikia Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania akizindua matumizi ya akili bandia katika mahakama zetu nchini. Alieleza kuwa Matumizi ya akili...
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Ni watanzania takribani 100 tumejichanga kutafuta haki yetu ambayo wizara afya imetunyima kwanjia ya mazungumzo. Tunatafuta kampuni nzuri ya uwakili ambayo inaweza kutusaidia swala letu kupata...
3 Reactions
38 Replies
2K Views
Wakuu habari za mda huu. samahani sana naomba kuulizia hivi nitaweza kupata wapi sehemu ya kusajili wazo langu yani idea yangu ya ubunifu. nataka nisajili idea ( Hati mmiliki ya wazo). Nina...
2 Reactions
3 Replies
926 Views
Hi guys, I urgently need help on this case John O Nyaronga V. Captain Ferdinando ponti, Anil Patel and C.T.aI transport Ltd High Court commercial case no 62 of 2009. Any one with information or...
0 Reactions
2 Replies
673 Views
Habari wa kuu nahitaji kufahamishwa kuhusu namna ya kununua gari, vitu vya kuzingatia kisheria. Msaada
0 Reactions
1 Replies
552 Views
JFs, naomba mwongozo juu ya kesi ya kugonga mtu barabarani (sio kwenye zebra). Na kesi inaenda mahakamani huku mgonjwa ameshapona kabisa. Mwongozo tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Rais anajua nini kuhusu masuala ya sheria na adhabu? Rais anataka kuonekana mwema kwa raia wake, na rais anayenyonga hawezi angaliwa vizuri sana. So rais anayejielewa hawezi kunyonga mtu. Kwanini...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Dhana ya mgawanyo wa madaraka inaeleza kuwa utawala wa dola unapaswa kugawanywa katika vyombo vitatu ambavyo ni Serikali, Bunge na Mahakama. Kila chombo kina majukumu tofauti na chombo kingine...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Bila kupoteza mda nawasalimu nyote na pole na majukumu ya kujiingizia kipato. Baada ya Baba yangu mzazi kupata ajali ya Gari Ghafla alikimbizwa kituo Cha Afya Kijijini kwetu na hatimaye juhudi za...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Moja kwa moja kwenye mada, itifaki imezingatiwa! Mwaka 2018 nilinunua kiwanja maeneo ya mtaa wa mawasiliano, Mkundi -Morogoro! Baada ya kununua na kuandikishana kupitia serikali za mitaa...
0 Reactions
6 Replies
729 Views
Mwalimu Omary & Another Vs Omari Bilal, Court of appeal of Tanzania @ Dar-es-salaam, Civil appeal no. 19 of 1996. Mwenye nayo anisaiie hapa au inbox, whatever!
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kichwa cha habari cha husika. Mwaka 2020 daladala iligonga mtu na kusababisha kifo chamwanaume mmoja. Dereva akwekwa ndani, nyaraka zikapelekwa kam leseni ya dereva na cover note ya bima. Dereva...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba mwenye sample ya extracted decree from a judgment aisaidie hapa. Nime google, there is none
0 Reactions
0 Replies
334 Views
Back
Top Bottom