Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Wadau hivi inawezekana kubadilisha jina ÑIDA na kupewa kitambulisho kipya kutumia jina la Ubatizo ?. Mfano nilikuwa naitwa KINYESI MKOJO MAVI, sasa nataka lisomeke JEKA MKOJO MAVI...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Mzee wetu kasha fariki kaacha wake wawili na watoto 8 kila mke ana watoto wanne. Mzee kaacha nyumba moja na kiwanja kimoja na shamba. Nyumba moja anaishi mke mdogo na kiwanja kimoja, mke mkubwa...
0 Reactions
14 Replies
973 Views
Kuna jambo naomba msaada wenu wa kisheria. Nilioa mwaka2008 ndoa ya kiislam, mwaka 2019 mke wangu aliondoka nyumbani na kuniachia watoto wa4 baada ya kutoa mimba ya hawara, kutishia kuniua na...
3 Reactions
9 Replies
706 Views
Mimi ni mtumishi katika mkoa mmoja hapa Tanzania, Mwezi wa 5 mwaka Jana niliomba mkopo katika benki ya CRDB, lakini wakachelewa kunipatia mkopo wakisema mwajili wangu hakuidhinisha makato,mwisho...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu wana JF? Yamenikuta ndugu yenu, naombeni msaada wa kisheria, hii kesi itanibana wapi? UZI ULIOPITA KUHUSU SWALA HILI...
1 Reactions
39 Replies
2K Views
Benki kuu imeweka dawati la kushughulikia kesi zinazohusu mabenki na wateja wao, lkn wamesema kesi ambazo wao kama Benki Kuu wanasikiliza ni zile zisizozidi milion 15, Sasa je Kama madai yanazidi...
0 Reactions
1 Replies
481 Views
Watu wanazungumza mengi kuhusu katiba mpya wapo wanaosema itakuwa mkombozi na itawatoa kwenye maisha magumu. Chonde chonde tufanye yote ila KUMPUNGUZIA mamlaka rais linaweza likawa kosa kubwa...
2 Reactions
17 Replies
545 Views
Ukiingia kwenye Tanzania Legal Information Institute (TANZLII) unakuta most of the Court of appeal registries, hazina hukumu za miaka ya nyuma kama 2 au mitatu au hata mmoja. What is wrong? Ni...
0 Reactions
0 Replies
556 Views
Naomba msaada wa kisheria. Ukiwa kama wewe ni mshitakiwa ambapo kesi yako imeshatajwa mara mbili na ulitokea ikahairishwa hadi muda mwengine ndo ianze kusikilizwa, ndani ya muda huo wewe...
1 Reactions
3 Replies
914 Views
Naomba, kwa anayefahamu (kwa mawakili tu), msaada wa kupata ile VC kwenye Wakili Stamp System. Nitashukuru sana kwa hili.
0 Reactions
0 Replies
761 Views
WanaJF hasa wajuzi wa sheria ya ndoa nina jambo naomba kupata ufafanuzi. Majuzi niliona cheti cha ndoa cha mme na mke waliofunga ndoa ya kikristo miaka kadhaa iliyopita. Kwenye cheti niliona...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Moot Court Scenario for LLB-II Ally, son of Ramadhan, and Aneth, daughter of Fredrick, are childhood friends. Two years ago, they completed their Bachelor of Laws degree together at Lawyers Only...
1 Reactions
8 Replies
849 Views
Wakuu heshima kwenu, naomba msaada katika suala hili. Nilipofikisha umri wa miaka 10 niliugua sana, katika kutafuta tiba mzazi wangu akakutana na ushauri wa mimi kutumia jina jingne (nimefupisha...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna nyumba ya urithi,wanafamilia wahusika wote tumekubaliana kuiuza,na tumeandika muhtasari wa kikao cha kuuza,kiasi cha pesa na mgawanyo wake wote,tumeukabidhi mahakamani. Jambo linalotutatiza...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
FAHAMU KUHUSU MAKOSA YA RUSHWA NA ADHABU ZAKE KWA MUJIBU WA SHERIA. SEHEMU YA KWANZA (01) Mr. George Francis Mwalimu Nyerere katika hotuba aliyoitoa kwa waandishi wa habari mwaka 1995 alisema...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Nisaidie maelezo ya hizi sections by giving ILLUSTRATIONS 17. (1) Where a person, who would, if he were living, have a right to institute a suit or make an application, dies before the right...
0 Reactions
0 Replies
373 Views
Habari za asubuhi, mchana na jioni. Hapa mtaani kuna sekeseke limetokea, mzee mmoja Mangi wa Rombo ameowa mwanamke wa kidogo kutoka mkinga huko Tanga. Katika maisha yao ya ndoa wamejaaliwa watoto...
3 Reactions
41 Replies
3K Views
Hello, katika mada ya leo tutajifunza maana, sifa na aina mbali mbali za makampuni (categorization of companies). Makala hii imeandaliwa na kuletwa kwako na Zakaria Maseke - Advocate Candidate...
2 Reactions
1 Replies
7K Views
Nachelea kusema hivyo kwa kuona kabisa mahakamani ni wanafiki wanaposikiloza kesi za wananchi wakati huohuo wamawasimamisha watumishi wao kwa kipindi kirefu pasipo kutoa maamuzi juu ya tuhuma...
0 Reactions
4 Replies
428 Views
Back
Top Bottom