Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

WaTZ 80,000 watafikishwa mahakamani kwa kutolipa mikopo ya elimu ya juu Source BBC
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Mahalu Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Mahalu (63), amedai mahakamani kuwa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
jamani nauliza hv huu ujazaji wa fomu mpya ni kwa wateja wa CRDB tu au na benki zingine?
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Wakuu naomba kujua ni kipengelee gani cha sheria ya nchi kinachoruhusu kikosi cha zima moto kusimamisha magari na kukakugua fire exstingush na kama hauna unaandikiwa notification.msaada wakuu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamaa yangu ameshinda kesi CMA baada ya mwezi mmoja kupita bila mwajiri kusema lolote akaamua kukazia hukumu ambapo Mahakama kuu ikatoa order kwa mwajiri ikimtaka kutekeleza maamuzi ya CMA jamaa...
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Kwa wale ndugu zangu Mashahidi wa Jehova ambao hawalielewi kabisa swala la Blood Transfusion hapa mnafanyaje Section 8 Sub 3 of The Law of the Child Act 2009 A person shall not deny a child...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Enjoy, Maringo Group Mwanawasu in action - YouTube u&context=G2370e27FAAAAAAAAAAA
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mbunge wa Kilindi (CCM), Beatrice Shellukindo Elias Msuya na Leone Bahati MBUNGE wa Kilindi (CCM), Beatrice Shellukindo ametakiwa kuripoti katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala ifikapo Machi 7 mwaka...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Lini wafungwa waliopewa adhabu ya kifo watatendewa haki kwani wanapewa adhabu mara mbili..kuishi kwa wasiwasi kuwa watakufa any time then hawafi..
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuna ndugu yangu eneo lake limekodishwa na kampuni ya tigo kuweka mnara. Kutokana na kutokuifahamu lugha ya kiingereza akaingia mkataba unaombana ambapo walikubaliana atalipwa laki 5 kila mwezi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi sijui huwa mnaongea nini huko kwenye hiyo agm yenu ambayo several times inafanyikaga Arusha. Potelea mbali ongeeni muongeavyo ila pia mkumbushane kuhusu Ukimwi kama janga la Taifa. Mana naona...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nina mama yangu kijijini ambaye alikuwa na ardhi yake nusu heka sasa ikatokea tetesi kwamba tigo wanataka jenga mnara pale, baada ya muda kwel wakaja jamaa ila wakasema wanataka ile ardh kwa ajili...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Serikali imeshinda kesi dhidi ya wavuvi haramu,hivyo meli imetaifishwa.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna habari kwamba watumishi wote wa serikali ambao tunahitaji kujiendeleza kielimu katika vyuo vikuu hatuna haki/nafasi tena ya kupata mikopo kutoka bodi ya mikopo,eti tusomeshwe na halmashauri...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hakimu aagiza Slaa, mchumba wake wafike mahakamani Imeandikwa na Veronica Mheta, Arusha; Tarehe: 21st February 2012...
0 Reactions
105 Replies
9K Views
Kuna siku niliwahi kusimamishwa na polisi wa defender wasio na uniform na kuitaka niwaoneshe leseni yangu. Nikawaonesha ila bado wakaniambia kuwa pamoja na kwamba nina leseni niwaachie hela kidogo...
1 Reactions
26 Replies
15K Views
Kanisa Katoliki limeandaa mpango wa kukomesha uvaaji mbovu unaokwenda kinyume na maadili ikiwamo kuvaa vimini, nguo za kunyanyua matiti na milegezo kanisani baada ya kutangaza kuwavisha vazi la...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ahsante kwa kufungua hii mail. Nimatumaini yangu utapata muda wa kunisikiliza na kuguswa kiasi cha kunishauri haraka iwezekanavyo kwani hali ni mbaya... Nalazimika kuanza kwa maelezo yafuatayo...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
naomba ushauri nifanyaje mimi na jirani zangu ,kuna ukumbi wa muziki anaitwa ACTIVE CLUB hupo mbauda. kata ya sombetini Arusha mjini ,wana piga muziki kelele zinatoka nje ya ukumbi jirani atulali...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wanaJF ni matumaini yangu hamjambo. Tafadhali naombeni msaada wenu.Nina mdogo wangu ana umri wa miaka 11 na miezi kama 8 hivi yuko darasa la 6 ametuhumiwa kesi ya kulawiti mtoto wa jirani...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…