Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Wadau naomba kama kuna mtu ana sample ya mkataba wa kuuziana umeme wa Richmond, Dowans au IPTL aniwezeshe wakuu nina shida nao sana.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu Wakuu wenzangu naomba kuuliza Swali hili je Sheria za Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, kuhusu Mtanzania kuwa na Uraia wa nchi mbili hapo kwetu imepitishwa na Serikali...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jaji Aliyemhukumu Nguza "Babu Seya" Akana Tuhuma Kuwa Alishinikizwa Na Kiongozi Mmoja Wa Serikali Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Thomas Mihayo, jana aliukana uvumi ulioenea kuwa...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Katika maisha nimejifunza kuiga mambo mazuri. hili la kuwa na mwanasheria wa familia nafikiri ni moja ya hayo ila sijui wanapatikanaje na kwa juu juu pia wanaojua wanaweza kunijulisha hili liko...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
huwa napenda kubaishia wanawake kwenye daladala na pia kama nimzuri basi lazima ni mkonyeze je ni kosa?
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Ndugu zangu wanaJF, nnategemea kupata 1st degree ya sheria(LLB) next year then after nategemea kwenda kujiunga na law school of tz but da problem z dat i dont know the procedures, qualifications...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
OES/S FOR NANCY CARTER-FOSTER AF/E FOR TREADWELL E.O. 12958: N/A TAGS: ECON SOCI UNGA TZ SUBJECT: TANZANIA: DISTRACTED DRIVING REF: STATE 6703 ¶1. Ambassador Lenhardt delivered reftel...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katiba inatamka Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar,cha ajabu kuna mamlaka zinaitwa za Tanzania na wakati huo huo,Tz visiwani nao wanaanzisha mamlaka hiyo hiyo,ila kwa jina la...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa mara ya kwanza naingia jukwaa hili japo nimekuwepo kwa muda forum nyingine naomba mnipokee
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hivi karibuni nimeona kwenye web ya heslb kwamba equivalent entry candidate ambao hawasomi ualimu na sayansi siyo eligible candidate kukopeshwa elimu ya juu nauliza wanajf nimeelewa sahihi ...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani wa jamii Forum naombeni msaada kama naweza kuwashtaki hawa Tanesco, hapa maeneo ya Tabata umeme hauna mgao, dakika moja unawaka, dakika moja haupo kwa siku unaweza kukatika na kuwaka hata...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Sheria yetu inazungumziaje juu ya ajali, na nini hatma ya wanaofariki kwenye ajali zinazosababishwa na uzembe wa wakaguzi. ( wakaguzi ni kuanzia fundi, dereva...
0 Reactions
0 Replies
833 Views
KATIKA jamii ya makabila mengi ya Kiafrika kumekuwepo mtazamo kwamba mwanaume akishalipa mahari kwa ajili ya kumuoa mwanamke fulani hata kama yeye mwenyewe hana habari au hapendi, atapaswa akubali...
0 Reactions
2 Replies
42K Views
Naomba msaada kwa mwenye sheria ya NGOs anipatie hapa!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba maelezo yenu wanasheria....kama wenza wa ndoa ya kikristo wametengana rasmi na kugawana mali zilizopo wakati huo lakini baadae (wakati wowote post separation) mmoja wao (mume au mke) akiwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
By Alex Ndegwa and Judy Ogutu Deputy Prime Minister Uhuru Kenyatta has taken a bold and potentially risky move, which will see him cross-examined as a witness at the International Criminal...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau,endapo mtu anafariki je mrithi au msimamizi wa mirathi pia ana haki ya kuaccess mail accounts zake na membership/profiles zake ktk social networks? Je,anaweza kuobtain court order na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu wana Jf habarini za leo, Nina ndugu yangu amefungwa miaka 15 tokea tarehe 8 mwezi wa pili mwaka huu kwa kosa la kupiga roba na kupora simu katika mahakama ya Mwanzo,ikumbukwe kua hukumu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
KAMPALA Day Two of plea-taking at the International Crimes Division of the High Court yesterday saw surprises when two suspects pleaded guilty to terrorism and conspiracy to commit terrorism...
0 Reactions
0 Replies
776 Views
Hivi kwa mfano mimi nimejenga nyumba na nikaipangisha kwa mtu halafu likatokea tatizo kwenye hiyo nyumba;labda kuungua moto kulikosababiswa na uzembe wa mpangaji; wakati ambapo kwenye mkataba wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…