Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Are non Muslem lawyers allowed in kadhi courts? Can a non Muslim lawyer allowed to appear before Kadhi court and/or acting/represent a Muslim client? Do you think it will be a waste of time as...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
mi ni afisa wa kata,leo nimekamata fataki kijijini kwangu,anamuoa mwanafunzi aliyefanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi wiki iliyopita,tafadhari tusaidieni wasomi wetu sheri inasemaje ili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mama mwenye mimba anapohukumiwa kifungo na kisha akajifungulia jela , hapo inabidi atumikie kifungo yeye pamoja na mtoto wake mchanga ili aweze kumpa mahitaji yake muhimu.. je hapa si sawa na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
KATIKA nyumba tunazoishi kila mtu anahitaji kuwa huru akijisikia kufanya atakalo yeye binafsi au pamoja na familia au jamaa yake. Hii ni pamoja na nyumba zile zenye wakazi au wapangaji wengi wa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Its a long story. I once had a very loving Dad. We used to leave in nairobi then back to Moshi kilimanjaro. Our Dad got a scholarship for 4 years in Canada. Fortunately he went with our mum. On...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
DO NOT TAKE THEM TO COURT DO THIS:Last night during Obama's Los Angeles event at the House of Blues, some guy mustered up the guts to shout at the top of his lungs at the President, alternating...
0 Reactions
0 Replies
729 Views
Nduguzangu wana sheria, naomba kufaham kwakina,juuya ulinzi shirikishi. Nilazima kwa kila mtz. Au nilazima kwakila mkoa. Au nilazima kwakila ,wilaya,kata,kijiji,au kitongoji?.huku kwetu ughaibuni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nishangaa sana hii nchi na kamwe sitaacha kushangaa, kuna huyu mtu anaitwa director of public prosecutions, sidhani kama jamaa anauwezo wowote kwenye hii kazi kwani hakuna hata shitaka moja kubwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau eti ni kweli magari ya Serikali hayakatiwi BIMA? ndo maana wind screen zinakuwa hazina kitu. Kama ni kweli je ni sahihi?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
MAMLAKA ya vyombo vya baharini Zanzibar, zimesimamisha huduma za meli tano kutokana na meli hizo kutokidhi viwango vinavyotakiwa kusafirisha abiria na mizigo. Meli zilizositishwa safari ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nina rafiki yangu ambye ana mchumba wake aliye ishi naye kwa zaidi ya miaka mitatu,akiwa anafahamika kwa wazazi wa msichana kwani ametoa posa na kujitambulisha pia.mwezi huu msichana huyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mh Pinda kaja juu, ati kama Polisi wameshindwa kuzuia uvushaji wa sukari kwa magendo kwenda Kenya, Serikali itatumia JWTZ! Siku mbili baadae Makao Makuu Polisi wanadai kuwa Polisi imejipanga...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi watanzania waliolewa na foreigners inapotokea kaachwa na hajalipwa haki zake sheria gani inamsaidia mtanzania kama huyu ili kupata msaada,,ikiwa pia kaachiwa na watoto? Na foreigner kasharudi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Siku hizi kumekuwa na mtindo ambapo mtu mwenye kiwanja anamkodishia mtu mwingine ajenge frem ya duka then awe mpangaji. Sasa huyu jamaa yangu kaingia mkataba wa aina hii na mwenye kiwanja na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndesamburo, mchumba wa Slaa wakwamisha kesi ya Chadema Send to a friend Friday, 23 September 2011 19:38 Peter Saramba, Arusha MAHAKAMA ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sun, Sep 25th, 2011 | Tanzania Fake permit The Immigration Department processed and granted fake resident permits to 43 Pakistan nationals, enabling them to work in the country...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu, hasa wajuzi (wataalamu) wa mambo ya sheria/mahakama, naomba mnijuze: Mara nyingi huwa nasikia mtuhumiwa anafikishwa mahakamani, say Kisutu kusomewa shitaka fulani, baadaye inasemwa kuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
waliokuwa madiwani kupitia chadema wilaya Arusha mjini na chadema watatinga mahakamani ni kwenye sakata la wasaliti hao kutaka kurudishiwa uanachama wao na kuendelea udiwani wao, madiwani hao ni...
2 Reactions
136 Replies
13K Views
Hatimaye Liumba ameachiwa huru leo!
0 Reactions
58 Replies
7K Views
Mimi sio mwanasheria na pia naomba kujua sheria inachukua mkondo gani endapo mtu anawaita watu na mbele ya makamera jamii au ulimwengu wote wakamsikia akidai atajiua? hii ni mujibu wa sheria zetu...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom