Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Wakati umefika wa kuandaa maandamano makubwa ya kulaani mauaji ya vikongwe na albino ktk ukanda wa magaribi! Mimi nilifikiri imani hizi zimekwisha lakini kwa mujibu wa BBC kiswahili mauaji ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
The Chief Justice, Benjamin Odoki, on Friday decried the interference by African governments on the independence of the Judiciary, noting that the intrusion has been pronounced in the state’s...
0 Reactions
0 Replies
809 Views
MAMABO YANAYO TAKIWA WAKATI WA KUMPEKUA MRUHUMIWA KUNA mambo kadhaa ambayo ndugu msomaji unatakiwa uyajue, pale ambapo mtuhumiwa wa kosa la jinai anatakiwa afanyiwe wakati wa kumpekua na...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ni lazima watu wanaovunja ndoa wawe na sababu ya msingi? Kwenye State kama Michigan (US) wana kitu kinaitwa "no fault divorce" yaani haiitajiki kuwepo kosa kwenye ndoa kumfanya mtu atake...
2 Reactions
41 Replies
5K Views
TANZANIA KUTUNGA SHERIA KUHUSU DNA CHAPTER ONE 1.0 INTRODUCTION AND BACKGROUND INFORMATION 1.1 Mandate The Law Reform Commission of Tanzania (in this paper to be referred to as ‘the...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
By Evelyne Kwamboka Confirmation hearings against first three Kenyans at The Hague ended with spirited defence statements by the lawyers for the suspects and a strong fight-back by Prosecutor...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Suala la kufutwa kwa hati ya kukamatwa Askofu Mokiwa lina mambo mengi ndani yake yenye kutia shaka juu ya uwezo wa MAJAJI wetu kuisimamia sheria na pia siasa kuingilia uhuru wa mahakama kwani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina jirani yangu ambaye nyumba zetu zinatazamana tunaishi pamoja maeneo ya Bunju, leo jioni nilimtuma mwanangu akamfungulie ndama ambaye alikua amefungwa nyuma ya uzio wa nyumba yetu. kwa bahati...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nataka nikasome pale.Nisaidieni contacts zao
0 Reactions
8 Replies
17K Views
Wanasheria tunaomba ufumbuzi wa utata wa kisa hiki. Mama mmoja (mfanyakazi ya kuajiriwai) alifiwa na mumewe (hakumwachia watoto) ila aliachiwa kiwanja ambacho kilikuwa kimejengwa uzio wa ukuta tu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi hii kesi nyingine ya Liyumba ya kukukwa na simu gerezani mbona mi sielewi, inakuwaje anakutwa na simu gerezani? Yaani iliingiaje na hiyo simu? Au kuna wafungwa wengine hawakaguliwi wakitoka...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu wapendwa, Kuna suala moja naona kama lina walakini, na ningepata wasaa ningemshauri Waziri wa Ardhi aliangalie kwa makini. Mtu umejipinda ukapata pesa kidogo ukaingia maeneo ya Mbezi...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Liyumba matatani tena, akutwa na simu gerezani Send to a friend Friday, 02 September 2011 21:04 Amatus Liyumba James Magai ALIYEKUWA...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ile kesi ya post election conflict iliyotokea kenya sasa ivi inaunguruma Live kutoka the Hague na kurushwa na kituo cha TV cha KBC. Wadau mlio karibu na luninga mnaweza kutazama. Na sasa iko...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna sheria nyingi sana mfano, sheria za ndoa, ardhi, kazi, n.k. Mimi binafsi kwa kifupi ndiyo kwanza nimeanza kujitegemea ktk hili nimeanza kukutana na mambo mengi nahisi yanakanganya sana na hii...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za kusitua sana gazeti asubuhi hii limesomwa likieleza kuwa Twiga wamo hatarini kutoweka ,asilimia 20 ya twiga wafyekwa kila mwezi,huyu maige si ndie aliyekataa wazo la Raisi kutumia jeshi...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
The above question,tax my mind at great length.Kindly opine.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba wajuzi wa sheria mumsaidie ushauri wa nini afanye huyu dada kwa kisa cha kweli kilichompata kazini kwake. yeye anafanya nyumbani kwa afisa ubalozi (mzungu) wa moja ya balozi za nchi za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wanasheria wenzangu tuhuma za jairo za kuchangisha fedha hazina base ya sheria, bali ni base ya kisiasa. Tujadili!
0 Reactions
15 Replies
2K Views
  • Closed
Just a minute mmiliki wa blog hii au promoter wa blog hii ya Jamii Forum ni nani tumpatie shukrani zetu kwa kukuza uhuru wa mawazo huku tukisherekea miaka hii hamsini ya uhuru?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom