Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Hivi mnahabari kuwa pengine hizi kelele za kubadili katiba zinabarikiwa na Wazungu?!!! Vijana tufumbue macho, historia inamueleza mzungu kama mtu wa uchu wakututawala toka enzi kiakili na kwa kila...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Baada ya kuona tangazo la kazi gazetini rafiki yangu aliandika barua na kuomba kazi hiyo kama maelekezo yalivyotaka. baadaye aliitwa kwenye usaili wa kwanza akafanikiwa kupita kwani waliomba zaidi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Haar za jioni wakuu na poleni na majuku ya wiki nzima. Kuna zimevuma sana mwishoni mwa wiki hii kua ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi (DPA) wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Amatus Liyumba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wapendwa wana JF, naomba msaada wenu, yeyote mwenye sheria inayohusu kufanya biashara nchini kwa kutumia fedha ya Tanzania tu anipatie. Hivi sasa kumezuka sana tabia ya wafanya biashara...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Court dismisses Tanzania’s attempt to block Serengeti suit Updated 12 hr(s) 7 min(s) ago By Peter Orengo The...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Luhanjo atumiwa kukaidi amri ya Mahakama Kuu Na Mwandishi Wetu UONGOZI wa Chama cha Muungano wa vyama vya wakulima wa chai Lupembe (MUVYULU) chini ya katibu wake Bw. Medeck Mhomisoli...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF, hivi hizi daradara, Bajaji na bodaboda zina kibari cha kuto kufuata sheria. Maana mara kwa mara tunasikia vyombo vya dola viki sisitiza kuwa yeyote atakaye tanua barabarani atachukuliwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Je kama mfanyakazi na una uanachama NSSF,PPF etc. Je kuna uwezekano wa kuhama uanachama sehemu moja na kwenda kwingine? kwa mfano: UPO PPF na UNATAKA KUHAMIA NSSF; Pia kama kuna sheria husika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nashangazwa na hawa jamaa wa CUF,mwaka 2005 CDM waliruka angani kwa kampeni wenyewe wakaponda,katika chaguzi ndogo hasa ile ndogo ya busanda badala ya wao kufanya kampeni kisasa na kwa mahitaji ya...
0 Reactions
0 Replies
922 Views
jamani kunakitu nataka kufahamu kati ya wakili wa serikali na wakili wa kujitegemea mnataka kunishawishi kwamba wakili wa serikali haijui vyema kazi yake au huwa inakuwaje mana 80% ya kesi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kaburu wa kampuni ya uranium katika kashfa nzito ya ubakaji Mwandishi Wetu Ruvuma 15 Jun 2011 Toleo na 190 Abaka visichana vidogo wilayani Namtumbo DC akiri kwamba wageni hao ni hatari...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ni siku kadha waasi wamekuwa wakinyemelea nchi ya ghadafi huko libya kwa nia ya kumpora mafuta ambayo ndio chanzo kikubwa cha mapigano hivi ni kweli ndungu zangu, kisheria ni kweli kwamba mtu...
0 Reactions
2 Replies
993 Views
mimi huwa napenda sana kuwa namtu anaeitwa wakiri ila msaada wake kwangu niupi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamii rafiki yangu tuko nae kazini ameshitakiwa na mkewe kwa kosa la kupiga na kumjeruhi jino, jino limelegea. Yuko nje kwa dhamana. Je sheria inasemaje kuhusu adhabu ya mtuhumiwa. Ni kifungo...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Mimi pamoja na familia yangu, tumedhurumiwa ardhi na mwekezaji! Story ilikuwa kama ifuatavyo: Mama yetu aikuwa na ardhi iliyoanzia barabarani na kwenda umbali wa mita kama 400 hivi hadi kufikia...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naomba wadau mnifahamishe procedure inasemaje kwa mtu ambaye amechelewa ku-file complaint CMA, je condonation na form no. 1 zinakuwa filed kwa pamoja?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari za mida hii waungwana. Ni wapi nitapata kale kakitabu ka Katiba ya Kiswahili? Nimejaribu duka la serikali mtaa wa Jamhuri hawana. Ahsante.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
State has removed my security detail, says ex-Chief Justice Send to a friend Tuesday, 23 August 2011 22:02 digg Former Chief Justice, Mr Augustino Ramadhani, By Sylivester Ernest The...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
source: ippmedia Retired Chief Justice Augustino Ramadhani has urged decision-makers in the country to make right decisions at the right time when defending people’s rights. He made the...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Githu warns against amending new law Updated 10 hr(s) 27 min(s) ago By Peter Opiyo Attorney General-elect, Prof...
0 Reactions
1 Replies
699 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…