Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Kuna Bwana afya Kata ya Kariakoo kwenye Manispaa ya Ilala anatishia usalama wa kazi za kiafya, yeye yuko na maafisa afya wenzie wawili yaani jumla ni watatu kwenye Kata hiyo isipokuwa yeye ni...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Jamani wana FJ naomba mnisaidie hasa upande wa sheria, mimi nina gari siku moja asubuhi na mapema nilimwomba mdogo wangu aendeshe gari kunipereka stand ya basi nilikuwa nasafiri, aliingia barabara...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakili maarufu jijini Arusha, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na kiasi kikubwa cha fedha kwenye akiba yake binafsi, zinazodaiwa kuingia kwa njia isiyo halali. Wakili huyo...
0 Reactions
87 Replies
12K Views
Kakobe , wadai wake watishiana kulipuana mahakamani Send to a friend Sunday, 07 August 2011 21:51 James Magai ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Full...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Kesi ya vigogo BoT kughushi vyeti yakwama Send to a friend Friday, 12 August 2011 21:32 Nora Damian MAWAKILI wa upande wa utetezi katika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Niliingia mkataba na taasisi fulani kwa kazi fulani ya fasihi miaka kama mi 4 hivi imepita. Sijawahi kufaidika na mkataba huo asilani. Sasa nataka kuitumia kazi yangu hiyo kwa ishu zingine ila...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mnamo mwezi wa kumi mwaka jana nilipata ajali ambapo niliumia kiasi na kulazwa kwa wiki mbili Hopspitalini, Dreva wa gari alifariki dunia papo hapo, Gari ilikuwa na comprehensive insurance na bima...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakili maarufu mjini arusha ashikiliwa na polisi kwa order kutoka marekan baada ya kugundulika akaunt yake ya benki ya stanbic tanzania kua na kias cha tsh 40bill..wakili huyo alishikwa ktk gari...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
jamani nisaidieni kama **** member yeyote ashafika na kuhudumiwa na watendaji wa brela
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Wanajamii naomba ushauri wenu wa kisheria. Sisi wafanyakazi wa Hospitali ya mji wa NJOMBE iitwayo KIBENA tulihamishwa kuanzia Juni 2010 kutoka kwa mwajiri wetu wa awali ambaye ni DED - NJOMBE DC...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jana jioni nilimsikia Mkurugenzi Mkuu wa EWURA akisema kuwa wametumia kifungu cha sheria (xyz?) kutoa "Compliance order" kwa Makampuni yanayosambaza na kuuza mafuta ... Kwa wanaofahamu sheria za...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Uchunguzi tuhuma za Jairo ngoma nzito Send to a friend Monday, 08 August 2011 21:30 Ramadhan Semtawa MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Sheri ipi inafaa katika kuamua shauri Primary Court, the magistrate Act au The Primary Magistrate Act
0 Reactions
1 Replies
913 Views
Mahama sasa at least Eti ule muswaada wa 20011 wa Uongozi wa mahakama vipi, unaompatia Mkuu wa mkoa uwenyekiti katika tume ndogo ya nidhamu, haileti ka mockery kidogo kwa mahakimu, haileti...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jaji Werema mbona unatia mashaka na professionalism yako. Leo umejibu swali na Tundu Lissu (kuhusu mamlaka ya kuhamisha fedha bila mamlaka ya bunge) kama hakimu wa mahakama ya Mwanzo, and not as a...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
EXEMPTION CLAUSE XXXX imported a cargo worthy USD 75,000. XXXX engaged YYYY to handle the cargo. The contract to that effect was concluded. The contract, however, contains an exemption clause...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Jaji awashauri waliomshtaki Askofu Kakobe kuondoa kesi Send to a friend Tuesday, 02 August 2011 20:13 James Magai JAJI wa Mahakama Kuu...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
[emoji134][emoji134]
0 Reactions
0 Replies
763 Views
Mganga wa jadi kortini akidaiwa kutapeli Sh70 mil Send to a friend Friday, 05 August 2011 08:47 Hadija Jumanne MGANGA wa jadi, Ismail Idd...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna mtu anataka kuniuzia haki ya kukaa kwenye nyumba ya NHC yani mpangaji huyu anataka kutoka kwenye nyumba hii sasa anahitaji nimpe mil 5 ili aniachie haki ya kuwa na mkataba wa kuwa mpangaji...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom