Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Mahakama Kuu haina mahabusu ya wanawake Imeandikwa na Veronica Mheta, Arusha; Tarehe: 29th April 2011 @ 23:47 Imesomwa na watu: 65; Jumla ya maoni: 0...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msekwa: Yafaa spika kuwa mwanasheria, Spika Makinda asema si lazima Elias Msuya MAKAMU Mwenyekiti wa CCM, Pius Msekwa amesema ni vigumu kwa mtu asiye na taaluma ya sheria kuliongoza Bunge akiwa...
2 Reactions
56 Replies
6K Views
* Hahusiki kesi ya Mahalu Na Mwandishi wetu (Gazeti la Uhuru) Thursday, 28 April 2011 IKULU imekanusha habari kwamba imekuwa ikihaha kumsafisha Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Mimi ni mwajiriwa ( permanent & pensionable) na mwana ppf. Jambo la ajabu mwajiri anataka kuniweka kwenye ajira ya mkataba, je kwakuwa mimi kwa maana nyingine sitakuwa wa ajira ya kudumu na kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
CCM imewahi kuiba sera ya CUF ya kufuta kodi ya kichwa, pia imeiba sera za chadema kuhusu katiba, kilimo na udhibiti wa matumizi ya serikali. Binafsi naamini sera huundwa baada ya kufanya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MAAJABU YA DUNIA MBUNGE WA WADI MWANYANYA KUINGIA BUNGENI KWA 19%? CCM wanatamba kwa ushindi kama huo Ni sawa na asilimia ya 19% ya wapigakura (walipaswa kupiga kura watu 4,059 na yeye kapata...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani mimi naishi kwenye Flat na nilikuwa na mpango wa kusajiri kampuni ila kwa kipindi kama cha miezi sita nilitaka kutumia adress ya nyumbani kwani ambayo ni flat je sheria inasemaje kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
'House Girl' jela kwa kuiba mtoto Na Rehema Maigala MSICHANA wa kazi za ndani Khadija Athumani (27), mkazi wa Kimara amehukumiwa kifungo cha miaka saba jela kwa kosa la kuiba mtoto wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
habari zenu wanasheria na wanaJF wote kwa ujumla. naomna mnisaidie tafsiri ya sheria na kanuni za bunge pale PM kama kiongozi wa shughuli za serikali bungeni anapotoa jibu la kukataa hoja ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hakuna kitendo kilichonishangaza kama cha Jemsi Mbatia kufungulia kesi H. Mdee hasa kwa kuwa wote wanajiita wapinzani na lengo lao ni kuitoa CCM madarakani. Kitendo kile kinanifanya kutambua uwezo...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
QN (a) differerentiate a lease from a licence (b )is an agreement for a lease as good as lease? with reasons.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wadau. Katika pitapita zangu baadhi ya maeneo ya kanda ya ziwa nimejionea jinsi wanyama kama punda na ng'ombe wakifanyishwa kazi ngumu sana!!!, na inashangaza kuona wanaadamu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wednesday, April 20, 2011 Na Mustapha Kapalata, Nzega KATIBU MKUU wa chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA)Dkt,Willibrod Slaa amemsimamisha kazi katibu wa wilaya ya Nzega wa chama hicho...
1 Reactions
42 Replies
6K Views
Walengwa wakubwa wa lengo hilo ni wimbi la Wzanzibar wanaoishi nchi za nje ambao wengi wao wana raia zakigeni. Hii imekuja kutokana na fununu zakuwa oganazation ya Wzanzibar ya kujioganizi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni ukweli kuwa vyama vya siasa vimeundwa na binadamu, hivyo kuwepo au kutokuwepo kwake kunategemea akili za binadamu. Tofauti na ardhi na vyote vilivyomo ambavyo kwa pamoja hujulikana kama nchi...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Alishawahi kusema mwenyewe na jana Dr Slaa kakumbushia kuwa RA ana kipato cha zaidi ya Tsh Billion 240 kwa mwaka!Hii ina maana kuwa RA anaingiza faida ya zaidi wa Tsh million 657 kwa siku! Naomba...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
DIWANI wa Serengeti, Chacha Samwel Gibewa (Chadema) amesalimisha kwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Enos Mfuru bunduki aina ya AK 47 ambayo amekuwa akimiliki kinyume cha Sheria. Kiongozi huyo wa...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Jaji Bomani azilipua Kampuni za madini Tuesday, 19 April 2011 09:31 Ramadhan Semtawa Mwananchi MWANASHERIA Mkuu Mstaafu Jaji Mark Bomani, amezitaka kampuni za madini nchini kuwekeza asilimia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mh Aggrey Mwanri (mwenye suti) akiwa anasimamia kuwaweka chini ya ulinzi vijana watatu aliowakamata kwa kosa la kula maembe na kutupa maganda barabarani jijini Arusha...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…