Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Wabunge wataka madiwani wakopeshwe magari Send to a friend Saturday, 16 April 2011 08:31 0diggsdigg Boniface Meena WABUNGE wa CCM, wameishauri serikali ifanye jitihada za kupeleka fedha za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Je mpangaji katika nyumba analindwa vipi na sheria dhidi ya wenye nyumba wanaopandisha kodi za nyumba kiholela?. Endapo mpangaji anaamini kwamba mwenye nyumba amepandisha kodi kwa kiwango kikubwa...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Vigogo 23 ‘kortini’ kwa kutotangaza mali zao Imeandikwa na Na Halima Mlacha; Tarehe: 11th April 2011 @ 23:59 Imesomwa na watu: 55; Jumla ya maoni: 0...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Kesi ya kumtishia mke wa Mbowe yaunguruma Na Angelina Mganga KESI ya kutishia kuua kwa maneno iliyofunguliwa na mke wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu tafadhali msaada kwa huyu mkubwa hapa chini ni ndugu yangu kaniomba msaada na mie sio mtalaam wa sheria msome hapa chini: "Nimefungiwa ofisi na mwenye nyumba wangu bila taarifa (Notice)...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari wanasheria, Naweza kupata msaada wa 'utaratibu wa kisheria' unaotakiwa kufuatwa pindi mtu anapofanyiwa RETRENCHMENT au Redundancy kazini? Aksanteni, K. Tise.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani naomba kuuliza,mdogo wangu amezaa na Mwanamke mmoja ambaye hawakuona nae na sasa mtoto ana miaka minane! Lakini cha ajabu huyu mtoto anavyozidi kuwa na umri mkubwa huyu dada ndo anavyozidi...
0 Reactions
27 Replies
27K Views
Hi Kwa mfano job advertiser katangaza nafasi ya kazi in a certain organization; watu wakaapply baadae ikaja kujulikana that the company is not existing Is nt the advertsier bound to do...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
WADAU NAOMBA MNISAIDIE UFAFANUZI WA KISHERIA KUHUSU NI WAFANYAKAZI WANGAPI WA KIGENI WANAORUHUSIWA KUFANYA KAZI KATIKA KAMPUNI MOJA HAPA NCHINI?? HATA KAMA KAZI WANAZOFANYA ZINAWEZA KUFANYWA NA...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Hi Naombeni ushauri wenu: Kama mtu bado yuko kwenye probation ( offer Letter inasema six months probation time); na imekuwa 1.5 months of probation mpaka sasa hivi. Kazi yako ni recruiter...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nimekua msomaji mzuri sana wa vitabu hadithi za kubuni hususan vya mtiririko wa kina Marehemu Eddie Ganzel...baada ya wale wakongwe kupita kuna vijana wamekuja kuibuka hapa miaka ya karibuni ambao...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu wana JF Naomba kujulishwa hivi inakuaje mtu umeajiliwa katika kampuni ya mtu binafsi na wewe ukiwa ni Mwajiliwa wa kwanza katika ofisi hiyo yaani ndo umeanza nayo,sasa mwenye kampuni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Expatriates?? Hi I will appreciate your views on the following: From the little knowledge that i have on law; i think we are supposed to have Expatriates for the rare professions and not for...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hivi wana Jamii Forum kwani babu wa Loliondo asishitakiwe katka mahakama ya kimataifa? wengi watanishangaa kwa maoni yangu lakini naamini na ninachokisema na nitakisimamia. Babu wa loliondo...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
NAOMBA KUFAHAMU KAMA MFANYAKAZI AKIGUNDULIKA KUWA ANALIPA KODI KIDOGO KULINGANA NA MAPATO YAKE NI HTUA GANI ANAWEZA KUCHUKULIWA NA JE KODI INAYOTAKIWA KULIPWA INATAKIWA ITOKANE NA MAPATO YOTE AU...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana jamii, Salaamu, jamaa yangu alikuwa na kesi mahakama ya Ardhi sasa anasema siku ya kusomwa hukumu alitajiwa tarehe tofauti na wakili. Baadaye alikuja kugundua kuwa hukumu ilishasomwa kama...
0 Reactions
4 Replies
8K Views
Na Esther Mbussi WAKILI Edson Mbogoro anayemtetea Mbunge wa Ubungo (CHADEMA), John Mnyika katika kesi ya kupinga matokeo iliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo, Hawa Ng’umbi, amesema...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu. Naomba msaada wenu wa nini nifanye. Nimefanya kazi kampuni moja binafsi kwa miaka miwili, nilikuwa nikikatwa malipo ya PPF kwa muda wote huo hadi pale nilipoamua kuacha kazi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kabla ya kusababisha mauaji huyu jamaa amewatumia polisi wa wazo ku fubricate kesi hewa na mpaka sasa unapoisoma thread hii kuna kijana na mafundi wake ujenzi wako segerea kwa kesi hiyo kwa zaidi...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
habar yenu wakuu. Napenda kuuliza kuhusu double jeopardy ambayo ipo kwenye fifth amendment ya US constitution. Kwa wale wasiofaham ni kwamba incase ukasingiziwa umeua halaf ukafungwa,ukitoka jela...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom