Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
UN(Umoja wa mataifa) haina vipengele katika " kanuni" zao za kutukamatia mafisadi ....?Nimeuliza Swali hili baada ya kugundua kuwa UN iliweza kuanzisha mahakama maalum kwa ajili ya Sierra Leone...
By Andante Okanya
and Cyprian Musoke
New Vision
THREE government institutions and a recruitment firm have been dragged to the High Court in Kampala over claims that 150 Ugandan women are...
Kuna habari ziliandikwa na gazeti la MWANANCHI jnne kwamba wafanyakazi 40 wa mgodi wa geita walifoji vielelezo na kujipatia mamilioni toka nssf huku wakiendelea na kazi kinyume cha sheria...
UPELELEZI wa kesi ya kutishia kuua kwa maneno iliyofunguliwa na mke wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, Dar es Salaam...
THE preliminary objection by the Attorney General to have the election petition by NCCR Chairman James Mbatia revoked was on Thursday overruled by the High Court.
In the petition, Mr Mbatia is...
Malaysia runs two parallel legal systems - civil and Shariah
A Christian lawyer in Malaysia has failed in her attempt to be allowed to practise in the Muslim Shariah courts.
Victoria Jayaseele...
TATIZO la udanganyifu wa umri na elimu limeibuka tena baada ya Mbunge wa Viti Maalumu kupitia UVCCM Zanzibar, Asha Muhamed Omar, kugundulika kuwa amefanya hivyo na kujipatia nafasi hiyo katika...
Wanajamvi nimekuwa nikifuatilia majukwaa mbalimbali kama vile siasa, uchumi, technologia na mengine ndani ya JF. Katika majukwaa yote hayo nimekuta hoja zikitolewa ama kama mtu anahitaji ufafanuzi...
A yupo kituo cha basi akisubiri kupata usafiri.
ikatokea ajali ya gari karibu na yeye!
B alikuwa msafiri ktk gari iliyopata ajali.
Kwenye ile ajali mkono wa B ukakatika na kumrukia A, na kumuua...
Monday, March 28 2011 at 00:00
A UK court has ordered a former hospital director to pay £25,000 ($41,000) to a Tanzanian woman she kept as a virtual slave.
Mwanahamisi Mruke, 47, was flown...
Nipo India nilikuja kupiga pepa, sasa baada ya pepa nikaona ngoja nisubirie majibu, sasa majibu yashatoka ila bahati mbaya i have one more pepa to write again...hapa ndipo tatizo linapoanza...
hivi jamani kuna sheria inayokataza mtu kutembea au kusafiri akiwa na fedha nyingi cash mfano anapoenda kupanda ndege, maana nimeshasikia baadhi ya watu wakizuiliwa kwenye viwanja vya ndege mara...
Ukijenga nyumba na kukaa hapo kwa muda mrefu, kisha baada ya miaka barabara ikachongwa na kupitia karibu sana nyumba hiyo kiasi cha kuacha hatua chache. Hapa sheria inasemaje kama nyumba hii sasa...
Polisi akikumata kwa kosa lolote wewe ukiwa dereva wa gari ndogo,saloon car,na kwa bahati mbaya lile kosa likawa linahitaji document au uthibitisho fulani ambao kwa muda huo hauwezi kupatikana na...
Jamani hizi ofisi zetu zenye uhusiano na serikali zinaajiri watu ambao ni incompetent kabisa, wananchi tunaichukia nchi yetu kwa ajili ya mambo haya. Hebu siku moja jitolee tu uende pale Law...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.