Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

SIKU 16 kabla ya kufanyika wananchi kupiga kura, askofu mkuu wa Kanisa la Anglikana, Dk Valentino Mokiwa amedai kuwa hivi karibuni alipelekewa rushwa ya Sh11 milioni na mtu asiyemfahamu ili...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mtu anapokuwa na kesi ya jinai mahakamani na anayemshitaki akaandika barua kwa hakimu (mahakamani) kuwa hana mpango wa kuendelea na kesi kwa maana wao wenyewe wamesuluhishana hivyo hakimu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Small budget stalls justice,says Minister Send to a friend Wednesday, 23 March 2011 22:50 By Florence Mugarula The Citizen Reporter, Dar es Salaam: Delays...
0 Reactions
1 Replies
842 Views
WAKATI bado anakabiliwa na kesi ya kufanya maandamano bila kibali mjini Arusha, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, ameingia matatani kwa mara nyingine, safari hii Mahakama ya Wilaya ya Hai...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Waungwana nimeshindwa kuhamisha habari toka kidau.blogspot ili tuijadili.Habari yenyewe inataka Dr.Slaa ashtakiwe kwa kumuita Rais fisadi.Naomba mtaalam anisaidie.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Learned brothers... Kuna maswali mbalimbali ningependa kuyaweka hapa kwa kusudi la kuyajadili na kupata mwangaza zaidi kuhusu hili swala zima la uraia. Hii imetokana hasa na debate kubwa iliyokuja...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Salaam wandugu! Wadau naombeni msaada wa kisheria kuwa;- 1. Ni kifungu gani cha katiba au sheria inayomzuia mtumishi kama daktari, mwalimu nk kugombea nafasi tajwa hapo juu? 2.Anapaswa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jaji Zenji awajibu wanasheria Send to a friend Sunday, 20 March 2011 21:01 Salma Said, Zanzibar JAJI Mkuu Zanzibar, Hamid Mahmoud amesema katiba ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
"binafsi ningeomba cv yake ingawa si mzuri sana kwenye sheria lakini watanzania wengi naona wamekaa kimya na haka kajamaa ""üpelelezi aujakamilika"" kikiwatesa kwa kula hela za watu hata kama mtu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mamilioni ya DECI yalikuwa yanatunzwa ofisini-Shahidi Na Rehema Mohamed SHAHIDI namba sita katika kesi ya DECI, SP Suleman Nyakulinga amesema fedha zilizokuwa zikikusanywa katika matawi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Na A.Salum, Wanajeshi wa JWTZ wametembeza kipigo kwa kila mtu katika maeneo ya Jangonmbe….na kuendelea: eti madam wa mmoja wa wanajeshi hao ameibiwa kipochi. Sasa tujiulize: kwanza tuna...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanajamii, nimekuwa nikijiuliza muda mrefu sasa na pia nimeuliza hata wa wasomi a sheria kirefu na asili ya abbreviation L.L.B(shahada ya kwanza ya sheria) lakini huwa sipati jibu. Ukiuliza...
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Kwa mujibu wa sheria, mfanyakazi akipata ujauzito anaenda likizo ya uzazi (maternity leave) kwa siku 84, je ikitokea bahati mbaya baada au wakati wa kujifungua mtoto akafariki bado ataendelea na...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
The United Nations Security Council has imposed sanctions on Libyan leader Muammar Gaddafi and referred Libya's crackdown on anti-government demonstrators to the International Criminal Court...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Je kipi kina uzito kati ya maadili na sheria katika kufanya maamuzi. Mfano Fundi bomba kaenda kutengeza kitu kwenye nyumba ya bibi kizee. kufika anamwambia bibi kize kifaa kidogo tu...
0 Reactions
3 Replies
35K Views
naomba kusaidiwa, je viwango vya mishahara ya tanzania ikoje, na je iwapo shirika linalipa chini ya kiwango cha serikali, hatua gani zichukuliwa? Na je iwapo katika shirika especially ya kigeni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajamii poleni kwa majukumu,mimi niliibiwa pikipiki yangu ila ilikua na bima ya compressive.kuna kijana wangu alikua anaitumia kwa shughuli ndogondogo za nyumbani mchana.jioni akimaliza shughuli...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ukienda mahakamani, unapocite sheria mbele ya Jaji unatakiwa kutumia kutumia chapter no, revised ed 2002 kwa mfano, The criminal procedure Act, Cap 20 RE 2002, Kwa upande mwingine Wabunge wetu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mfuko wa Jimbo kupingwa mahakamani Na Gladness Mboma MASHIRIKA sita yasiyo ya kiserikali yakiongozwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) yanatarajia kufungua shauri la...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom