Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Ni wazi bunge letu tukufu tulilolipa dhamana yakutuwakilisha linafanya kazi nzuri,lakini je imesimamia,inasimamia sheria zinazobana haki na maslai ya watanzania, kwa njia ya marekebisho ya vifungu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF, Kuna issue moja hapa huwa siielewi elewi hivi .... ni pale mtu anapoibiwa vioo vya gari kama labda site mirros na ambapo ukienda eneo la Gerezani (huwa wanaita mnadani) unavikuta vioo...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Mfanyakazi akipata kazi yenye maslahi zaidi anatoa taarifa (notisi) ya mwezi mmoja kwa mwajiri au mshahara badala ya taarifa na kuacha kazi, lakini mwajiri akipata mtu mwenye qualification zaidi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jirani yangu mwaka wa jana December aliripoti Polisi tukio la kutishiwa kuuwawa na mtu mmoja, pamoja na kuripoti mapema, Polisi walichukuwa muda kwenda kumkamata mtuhumiwa kitu kilichosababisha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jaji Mkuu: Bajeti finyu chanzo cha mlundikano wa kesi Send to a friend Tuesday, 01 March 2011 20:37 Fidelis Butahe NI jambo la kwaida kusikia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Aliyechoma Qur'an afungwa jela miezi 24 Send to a friend Tuesday, 01 March 2011 21:21 Salma Said, Zanzibar RAMADHANI Handa Tuma (28) Mkazi wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana Jf naomba ufafanuzi kuhusu malipo ya fidia kwa waathirika wa milipuko ya mabomu Mbagala & Gongo la Mboto, katika tukio la Mbagala wengi waliolipwa ni wenye nyumba zilizoathirika, je wapangaji...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mengi: Wafungwa watumike kufichua majambazi nchini na Mwandishi wetu, Moshi VYOMBO vya dola vimeaswa kuwatumia wafungwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
I have a legal problem and currently am in Morogoro, anyone with knowledge of Mo-town please direct me to an advocate.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mwakalebela aigaragaza Takukuru mahakamani Send to a friend Friday, 25 February 2011 21:22 Tumaini Msowoya, Iringa KESI ya pili ya kupokea rushwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Huyu Manji ni fisadi na wengi tunajua hilo. Huyu Manji anatetewa na Mabere Marando aliye mwanasheria wa CDM. Chadema inakemea ufisadi. Sasa uadilifu wa Mabere uko wapi, au pesa mbele maadili...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Msaada wakuu. unapigiwa simu kwa no ya cellfon kwamba unaitwa kiuoni kwa shitaka.Nataka kujua ni utaratibu gani unatumika kumwita mtu kituo cha police.Takuwa na uhakika gani kama huyo...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Naombeni jamani msaada, kwani nimekua nikikopa kwenye tasisi flani za fedha. Nilipofikia kukopa milioni 7 waliniambia nilete kwanza milioni 5 ili kufidia sh. 1500000 iliyobakia katika mkopo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hbr wana JF natafuta mtu mwenye softcopy ya JUTASTAT ya 2010, kwa maana mimi niliyonayo haina sheria nyingi ie zote ambazo zimetungwa kuanzia mwaka 2002 na kuendelea hazipo hata kama kuna malipo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Monday, 21 February 2011 21:34 ASEMA TANESCO, WIZARA YA MAJI WAMEKALIA NAO KUTI KAVU Ramadhan Semtawa WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli ametangaza msimamo wake mbele ya Kamati ya Bunge...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Manji sues govt over Dar prime beach plot Monday, 21 February 2011 23:32 By Bernard James The Citizen Reporter Dar es Salaam. Two years since the government permanently banned the sale or...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wana JF nisaidieni, hivi enforcement mechanisms za kulinda haki ya mtoto dhidi ya ajira hatarishi kama zilivo katika Sheria ya Mtoto ya 2009 zinakidhi haja? Je do they embrance each and...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huyu Prof Micahel Sandel wa havard napenda sana lecture zake Kwenye video hii anaongelea mambo Lying and principles Contract haya wansheria na wale mnaofutilia mambo ya dowans na mikataba...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
17 February 2011 Tanzania Electric Supply Company has filed a petition challenging the International Chamber of Commerce (ICC) ruling, awarding 94bn/- to Dowans which was commissioned to...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna kijana yupo gongo la mboto wazazi wake wote wawili wamelipuliwa na kufa kwa mabomu ya gongo la mboto, anatafuta wanasheria ili afungue kesi dhidi ya serikali kwa uzembe huu uliopindukia madai...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…