Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

kutoka hapa Wash. state has first death under new suicide law - Yahoo! News Demokrasia gani hii? OLYMPIA, Wash. – A 66-year-old woman with terminal cancer has become the first person to die...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zetu wana JF; Naombeni msaada wenu katika suala zima la sheria za jinai. Ninasikia kwamba sheria huwa zinabadilishwa kutokana na sababu moja ama nyingine. Kwamba kitendo fulani huenda...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ijumaa ya tarehe 15 wiki hii, ilikuwa ni siku mbaya kwa wafanyakazi wa ZAIN TZ kwani ilishuhudiwa wafanyakazi 25 wakipewa barua za kuachishwa kazi kwa stahili ya kudhalilishwa. Wafanyakazi hao 25...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Kukatika na kurudi kwa kasi kwa umeme kumesababisha fridge na jiko tulilonalo liungue. Nifanyeje kuwa shitaki kwa ajili ya kutulipa fidia hawa Tanesco?! Inauma sana kuona hivi vifaa vinaharibika...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
EAC Presidents pose for a photograph. Tanzania is seeking reputable local and international consultancy firms to identify key legal areas for harmonisation of the national ID management system...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Nimepata taarifa rasmi kutoka kwa source yangu ndani ya LST kampasi ya DUCE kusitishwa kwa masomo pale kampasi ya DUCE kutokana na mgomo ulioanza wiki mbili zilizopita. Taarifa zinasema kwamba...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
SerikaliI inatarajia kuandaa muswada wa sheria kwa lengo la kuwahakikishia hifadhi na usalama zaidi watu wenye ulemavu nchini wakiwamo maalbino. Kwa sasa iko katika mchakato huo ambao baada ya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Washington DC city council has voted to recognise same-sex marriages conducted in other US states. Because Washington DC is not a state, the decision will now have to be approved by Congress...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mpaka sasa wananchi wameweza kuona ni kwa jinsi gani matatizo yanayoikumba nchi yetu yanazidi kuongeza licha ya kuwepo sheria, vyombo na taasisi mbalimbali za kisheria zenye nguvu na mamlaka ya...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kama msichana umeolewa na mwanaume ambaye tayari umemkuta na vitu vyake, I mean may be umemkuta na mali kama Nyumba, magari na vitu kama hivyo, na kila kitu kipo kwenye jina lake. je kwa kisheria...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Assalaam Alleikhum wana JF, Nakuombeni, yeyote anayejua chuo chochote na kutoka popote, kinachotambulika hapa TZ na kinatoa diploma au/na degree za sheria kwa njia ya correspondence/distance...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Watawala wasioheshimu utawala wa sheria, wanatawalaje? Mwandishi Wetu Aprili 29, 2009 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo KUNA kila dalili kuwa watawala wetu wana tatizo la kuheshimu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
EU judges want Sharia law applied in British courts By Daily Mail Reporter Last updated at 8:01 AM on 27th April 2009 Controversial: An EU plan is calling for family courts across Europe to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wananchi; nahisi sasa hii nchi inaelekea sipo;na kama raisi anashindwa kuwasimamia hawa anaowaajiri basi wananchi imefika saaa ya kuamka na kufanya yale tunayoyaitaji Hivi karibuni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Muswada wa Sheria ya DNA wapitishwa Thursday, April 23, 2009 11:53 AM BUNGE la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania imepitisha muswada wa sheria ya kusimamia matumizi ya Teknolojia ya DNA ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Issue: with technology taking its path in our daily lives, can Bakwata grant a divorce based on the text message? Saudi man divorces wife by text message Thu Apr 9, 10:19 am ET RIYADH...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mbunge wa Simanjiro Christopher Ole Sendeka ameongezewa shitaka la kumtishia kumpiga kwa bastola Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa CCM mkoa wa Arusha, James Ole Millya. Shitaka hili liliongezwa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mara nyingi nimekuwa nikiona kwenye 'traffic jam' madreva wa magari ya jeshi la polisi au JWTZ wakiwasha 'emergency lights' na kutanua na halafu wakishapita magari mengine yanawafuata nyuma na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu zangu wenye upeo mkubwa kwenye mambo ya kisheria, naomba mawazo yenu kwenye hii scenario hapa chini: Hapo zamani la kale baba yako kabla ya kufariki analikujulisha kwamba anashare kwenye...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Sheria za kumwajiri mtu,kibarua, mshahara na kadhalika zinaweza kupatikana wapi? Thank you.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom