Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habari zenu? Husika na kichwa cha habari hapo juu,naombeni video vha kuadopt mtoto yani naazaje hadi nimpate?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Learned Kutoweka Enabling provision sahihi Kwenye application sio fatal. Kwenye Hii Kesi Applicant hakuweka enabling provision inayoipa court jurisdiction na court ikasema hyo sio Omision siyo...
1 Reactions
2 Replies
525 Views
Habari za saa hizi Ndg zangu! Polen na majukumu, Samahani Sana Tena naombeni ushauri tu kwa anayeweza kunishauri. Nlipanga nyumba mwaka Jana mwezi wa 11 nikalipa kod ya miez 2 Mana niliomba...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna mama aliolewa na mume wake kwa ndoa ya kanisa katoliki,wakazaa na mumewe watoto wawili, then mume wake akamuacha kwao (kwa kina mwanaume) mume alipomaliza chuo hakurudi kumchukua mkewe...
3 Reactions
35 Replies
4K Views
hili suala kisheria likoje kwa mama mjane na watoto zake kugawna mirathi ambayo mume wake amefariki. kisheria hili suala likoje na lina fanywaje katika masuala mazima ya mgawo,mfano mume alikua na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa anaefahamu atujuze, hivi ni kwanini majaji wa mahakama hapa Tanzania hawaruhisiwi kujichanganya sana? Maana huwezi kuskia Majaji wanahudhuria sherehe, Misiba nk!?
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Khabari za mchana wanandugu wote humu ndani. Napenda kushare nanyi jambo moja ambalo linanitatiza sana na sijapata bado sijalipatia suluhisho kabisa Jambo lenyewe ni kuwa nna jamaa yangu alikuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Gazeti la Mwananchi katika toleo lake la Septemba 7, ukurasa wa mbele kabisa wametumia picha ya jaji Elinaza Luvanda katika habari yao ya 'Mwelekeo Mpya Kesi ya Mbowe'. Inafahamika kwamba picha...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Wanajukwaa naomba ufafanuzi wa kitalaamu kwa wenye ufahamu kabla sijaenda TUME YA USULUHISHI WA AJIRA. Niliajiriwa na kampuni moja hapa Dar nikapewa mkataba nitafanya hiyo kazi kama miezi 10...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini Sihitaji kuwachosha Wajuvi wa sheria tunaomba majibu ya maswali kadhaa yatokanayo mwenendo mzima wa kesi ya ugaidi inayomkabili MBOWE na wenzake ambao tayari walishafungwa Kuna watu 3...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Hivi ikitokea umemfumania mke wako akiwa na mtu mwingine unaweza kumshitaki Mahakamani mtuhumiwa kwa kutembea na mke wako wakati mke wako anajijua ni mke wa mtu? Hivi kesi ikienda Mahakamani hapo...
2 Reactions
61 Replies
20K Views
Ndugu wasomi wa Sheria, Naomba kufahamishwa juu ya mada husika hapo juu. Kama jibu ni ndiyo, adhabu yake ni ipi?
2 Reactions
118 Replies
26K Views
Salamu sana wanabodi wote, Mi ni mama nina watoto wanne, mmoja kati yao ni msichana. Kabla ya maisha haya nilikuwa kwenye ndoa ambayo tumetengana tena bila talaka kwa miaka zaidi ya kumi sana...
6 Reactions
57 Replies
10K Views
Mwanamke na mwanaume walianza kuishi pamoja kama mke na mume toka mwaka 2007 kama mke na mume na wakapata mtoto mmoja wakiwa kwenye Nyumba ya kupata. Ilipofika mwaka 2015 wakabahatika kujenga...
0 Reactions
2 Replies
687 Views
Wanajamvi, natumai mnaendelea salama na mapambano ya kila siku. Leo nimekutana na rafiki yangu ambaye alikuwa ni mfanyakazi katika taasisi moja ya serikali. Akaja akapata changamoto kazini...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu. Hii tabia ya Jesh la police kumkamata mtu na kumtangaza hadharan kwa uma kwamba ni mkosaji, mfano ni Jambaz, Gaidi, mwizi n.k. Na uma wote tukajua hivyo.. Ikidhibika mahakaman...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Historia kwa ufupi. Mzee wangu alioa mke wa kwanza na alikuwa amejenga nyumba kubwa na ndogo na akabahatika kuzaa nae watoto wanne wote wakiume (04). Baada ya hapo waliaachana na mama yangu...
3 Reactions
87 Replies
6K Views
Habari wakuu, Naomba mwenye publication yeyote inayohusu hiyo historia naomba msaada nimevutiwa kuyafahamu kiundani matukio haya. Natanguliza Shukrani zangu za dhati
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mdogo wangu amejikusanya na kununua kauwanja anakotaka kujenga nyumba ya kuishi ajabu wakati mafundi wanachimba msingi wamekutana na bomba kubwa la maji hali ambayo hatukuitarajia! Wadau tunaomba...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari Wanajamvi? Nilivyosikia majina ya Sabaya , IGP Siro nikasema lazima Mawakili wa utetezi have a strategy in play. Obvious Sabaya na Siro wata- turn hostile. Kwa maana nyingine ushahidi...
1 Reactions
0 Replies
709 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…